
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (KBF), Bi. Joyce Fissoo akizungumza alipokuwa ameambatana na Msanii wa Filamu nchini Yvonne Cherrie maarufu kama Monalisa kwa ajili ya kutoa shukrani kwa wajumbe wa kamati ya tamasha la muziki na sanaa za maonesho jana jijini Dar es Salaam. Shukrani hizo zimetokana na wajumbe hao kumpa maneno ya kheri na busara msanii huyo hatimaye kurejea nchini na ushindi wa nafasi Msanii Bora wa Kike Afrika.
Na: Mwandishi Wetu
Wasanii wa filamu nchi washauri kuheshimu na kutahmini mawazo na busara za wazee pindi wanapopata wasaa wa kukutana nao.
Rai hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo alipokaribishwa kutoa neno wakati wa tukio fupi la Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherryl ‘‘Monalisa” kutoa shukrani kwa wajumbe wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania.
Fissoo alisema kuwa imekuwa ni desturi kwa baadhi ya vijana kuchukulia ushauri au mawazo yanayotolewa na wazee au watu wa makamu kuwa umepitwa na wakati hivyo hautakuwa na manufaa kwao.

Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherry maarufu kwa jina la Monalisa akitoa neno la shukrani kwa wajumbe wa kamati ya tamasha la muziki na sanaa za maonesho jana jijini Dar es Salaam. Shukrani hizo zimetokana na wajumbe hao kumpa maneno ya kheri na busara msanii huyo hatimaye kurejea na ushindi wa nafasi Msanii Bora wa Kike Afrika. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania, Faza Lusozi Paul na kulia ni mama mzazi wa Monalisa, Bibi. Suzan Lewis.

Mwenyekiti wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania, Faza Lusozi Paul akizungumza jambo mara baada ya Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherry maarufu kwa jina la Monalisa (wapili kulia) kutoa neno la shukrani kwa wajumbe wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania jana jijini Dar es Salaam. Shukrani hizo zimetokana na wajumbe hao kumpa maneno ya kheri na busara msanii huyo hatimaye kurejea na ushindi wa nafasi Msanii Bora wa Kike Afrika. Wakwanza kulia ni mama mzai wa Monalisa, Bibi. Suzan Lewis.
“Nikuombe mwanangu Monalisa nenda ukawe balozi mwema, waanbie wenzako waenzi na kuheshimu busara za wazee, naamini kwa kufanya hivyo mtayaona mafanikio ya kazi zenu,”
Aidha mama Fissoo ameongeza kuwa Monalisa amekuwa msanii wa mfano wa kuigwa hasa katika nyanja ya maadili kitu ambacho wasanii wengi wanapaswa kuzingatia .

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za dansi nchini, Mzee King Kikii akitoa nasaha kwa Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherry maarufu kwa jina la Monalisa (hayupo pichani) mara baada ya msanii huyo kutoa neno la shukrani kwa wajumbe wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania jana jijini Dar es Salaam. Shukrani hizo zimetokana na wajumbe hao kumpa maneno ya kheri na busara msanii huyo hatimaye kurejea na ushindi wa nafasi Msanii Bora wa Kike Afrika. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (KBF), Bi. Joyce Fissoo.

Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherry maarufu kwa jina la Monalisa (kushoto) akipongezwa na mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho ambaye pia Bi. Asha Kabigili wakati masinii huyo alipofika katika kamati hiyo kwa ajili ya kutoa shukrani zake jana jijini Dar es Salaam. Shukrani hizo zimetokana na wajumbe hao kumpa maneno ya kheri na busara msanii huyo hatimaye kurejea na ushindi wa nafasi Msanii Bora wa Kike Afrika. Wapili kutoka kushoto ni mama mzazi wa Monalisa, Bibi. Suzan Lewis na Mwanamuziki wa Vijana Jazz Band ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo Bi. Anna Waole.
Naye Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherryl ‘‘Monalisa” amesema kuwa anajisikia faraja kufika mbele ya watu ambao kwa namna moja ama nyingine walimtia moyo huku akiwa na ushindi ambao anaamini kuwa pamoja na juhudi zake binafsi maneno ya busara ya wazee hao yalimpa ari iliyosababisha kurejea akiwa mshindi.
“Nidhahiri kuwa maneno yenu ya busara ndiyo yametia chachu nikarejea nchini nikiwa mshindi wa Msanii Bora wa Kike Afrika, hivyo kwa kipekee sina budi kuwashukuru kwa duwa zenu na nitahakikisha naendelea kuenzi busara zenu,” alisema Monalisa.

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Bibi. Joyce Fissoo (waliokaa kushoto) na Msanii wa Bongo Movie Yvone Cherry maarufu kwa jina la Monalisa(wanne kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Tamasha la Muziki na Sanaa za Maonesho Tanzania jana Jijini Dar es Salaam.(Na: Mpiga Picha Wetu)
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Yvonne Cherry maarufu kwa jina la Monalisa ameshinda tuzo ya The African Prestigious Awards (APA) 2017 kwenye kipengele cha Msanii Bora wa Kike barani Afrika.
Pingback: buy viagra online
Pingback: cialis savings card
Pingback: viagra 100mg
Pingback: erection pills online
Pingback: erectile dysfunction medication
Pingback: best ed pills non prescription
Pingback: order cialis
Pingback: rx pharmacy
Pingback: cialis generic
Pingback: cheap vardenafil
Pingback: buy levitra
Pingback: online casino real money no deposit
Pingback: slot machine games
Pingback: viagra discount
Pingback: online casinos for usa players
Pingback: free slots online
Pingback: cialis dosage
Pingback: cash loan
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: live baccarat
Pingback: clement
Pingback: Best Online Casinos 2020
Pingback: cialis 20
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: online casinos
Pingback: real online casino
Pingback: buy generic viagra online
Pingback: cheapest viagra
Pingback: tadalafil 20mg
viagraeiu.com http://viagraeiu.com/
lm360.us http://lm360.us/
hydroxychloroquine brand name in india https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
best place buy viagra online australia
https://cialisaaap.com/
buy ventolin inhaler online uk Situg Kig
Hello there! Do you know if they make any plugins to safeguard
against hackers? I’m kinda paranoid about losing everything I’ve worked hard on. Any suggestions? https://www.wisig.org/
Nice post. I used to be checking constantly this weblog
and I am inspired! Very helpful info specifically the remaining phase 🙂 I care for
such information much. I used to be looking for this certain information for a
long time. Thank you and best of luck. http://grassfed.us/
purchase viagra
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
yasmin buy online usa
viagra brand 50mg
g4 sildenafil pharmagen Situg Kig
cheap ventolin inhaler
cialis prices walmart
cialis v viagra cost differential Situg Kig
Pingback: ceftin without prescription
male ed drugs erectial disfunction ed cures that work
cvs viagra generic viagra 100mg viagra
goodrx viagra viagra cheap generic viagra
Pingback: online casino slots no download
online viagra buy generic drugs no prescription viagra
Pingback: best casino online
cialis daily cost walgreens
cialis vs viagra effectiveness
cialis super review about Situg Kig
Pingback: zestril 5mg usa
Pingback: about his
how often can you take 100mg of viagra
pfizer viagra in india
donde comprar cialis generico Situg Kig
buying cialis australia
to buy viagra in toronto
purchase cialis in south africa Situg Kig
best drugstore moisturizer medical pharmacy cheap erectile dysfunction pills online
Pingback: spironolactone 25 mg tablets
Pingback: meclizine coupon
cialis medicamento controlado fastest delivery of generic cialis cialis nps
rx cialis coupon
where to buy viagra in perth
kann wien viagra kaufen Situg Kig
prednisone sinusite prednisone steroid for sale prednisone 20 mg mfg watson
prednisone used for what buy prednisone online cheap can you take benadryl with prednisone
cialis requiere receta medica original cialis low price dosis correcta cialis