
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, akizungumza na wananchi wa PembaMnazi, Kigamboni jijini Dar es Salaam; alipofanya ziara ya kazi kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme, Julai 3, 2018.
Na Veronica Simba – Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu amefanya ziara katika Wilaya ya Kigamboni, mkoani Dar es Salaam na kuwaelezea wananchi wa eneo hilo watakavyonufaika na Mradi mpya wa umeme unaoitwa Peri-Urban.
Alifanya ziara hiyo jana, Julai 3, 2018 akiwa ameambatana na maafisa mbalimbali kutoka wizarani, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Akizungumzia mradi huo mpya, Naibu Waziri alisema kuwa Serikali imeuanzisha mradi huo mahsusi kwa lengo la kupeleka umeme katika maeneo yanayokua kwa kasi.
“Kutokana na kasi ya ukuaji wa maeneo mbalimbali, ikiwemo Kigamboni, kumekuwepo na ongezeko la uhitaji wa viwanda pamoja na mahitaji mengine ya wananchi. Hivyo Serikali imeonelea vema kuanzisha Mradi huu mpya maalum kwa ajili ya maeneo hayo na utatekelezwa sambamba na miradi mingine ya umeme inayoendelea.”

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mbele-katikati) akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa Serikali wilayani Kigamboni na maafisa kutoka wizarani, TANESCO na REA; wakati wa ziara yake wilayani humo Julai 3, 2018 kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme pamoja na kuzungumza na wananchi.
Ameongeza kuwa mradi huo mpya utazinduliwa hivi karibuni ambapo kazi ya kusambaza umeme itaanza kutekelezwa mwezi Agosti mwaka huu.
“Kinachoendelea kwa sasa ni mchakato wa kufanya tathmini. Mpaka mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu, tutakuwa tumeshamteua Mkandarasi wa kutekeleza miradi hiyo,” alisema.
Naibu Waziri aliwataka wananchi kujiandaa ipasavyo ili Mradi utakapoanza kutekelezwa katika maeneo yao, waweze kuunganishiwa.
Aidha, aliwaasa kuwa makini na matapeli wanaojinadi kufanya kazi TANESCO na kuwatoza malipo zaidi ya yale yaliyoainishwa na Serikali.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu na Ujumbe wake wakiangalia daraja lililokatika katika mtaa wa Tundwi Songani, Kata ya PembaMnazi, Wilaya ya Kigamboni, wakati wa ziara yake kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme, Julai 3, 2018. Hii ni moja ya changamoto ambazo wananchi wa eneo hilo walimwomba awafikishie kwa Waziri husika ili awasaidie.
Awali, akitoa taarifa ya hali ya umeme katika eneo la Kigamboni, kwa Naibu Waziri, Meneja husika wa TANESCO, Mhandisi Hadija AbdalaHemed, alibainisha kuwa, katika kipindi cha mwaka huu wa bajeti, Shirika hilo linatarajia kutekeleza miradi 23 ya kusambaza umeme katika Wilaya ya Kigamboni. Aidha, alisema kuwa, jumla ya vijiji 35 vitapatiwa umeme kupitia Mradi wa Peri-Urban.
Mradi huo wa kusambaza umeme wa Peri-Urban unatekelezwa katika Mkoa wote wa Pwani pamoja na baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam, ikiwemo Kigamboni.
Katika ziara yake Kigamboni, Naibu Waziri alitembelea na kukagua maendeleo ya Kituo cha kupooza umeme cha Dege, kutembelea na kuzungumza na wananchi wa Mtaa wa Minondo, Gorani, Mwasonga pamoja na Mtaa wa Pemba Mnazi.
Pingback: viagra
Pingback: erectile dysfunction medicines
Pingback: erectile dysfunction drugs
Pingback: online ed pills
Pingback: generic cialis
Pingback: canada online pharmacy
Pingback: pharmacy online
Pingback: canada pharmacy
Pingback: Buy cialis online
Pingback: Buy cialis
Pingback: levitra 20 mg
Pingback: generic vardenafil
Pingback: levitra 10mg
Pingback: casino slots
Pingback: online casinos real money
Pingback: sildenafil 20 mg
Pingback: casino real money
Pingback: online gambling
Pingback: quick cash loans
Pingback: loans online
Pingback: payday loans online
Pingback: viagra 100mg
Pingback: cialis 20
Pingback: rtg casinos for us players
Pingback: money casinos
Pingback: new cialis
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: aristocrat slot machines for ipad
Pingback: chumba casino
Pingback: best real casino online
Pingback: slot machine games
Pingback: sildenafil 20
Pingback: generic name for viagra
Pingback: liquid tadalafil
Hi there, i read your blog occasionally and i own a similar one and i
was just curious if you get a lot of spam feedback?
If so how do you protect against it, any plugin or anything you can advise?
I get so much lately it’s driving me insane so any help is
very much appreciated.
Visit my website; bovada deposit bonus poker
buy viagra online canada http://viagraeiu.com/
hydroxychloroquine otc https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
During sexual arousal, chemical element oxide
(NO) is discharged from steel terminals and epithelium cells
in the principal sum cavernosum. NO activates guanylate cyclase to
commute deoxyguanosine triphosphate (GTP) into cyclical
guanosine monophosphate (cGMP), triggering a cGMP-dependant shower
of events. The accumulation of cGMP leads to smooth-muscleman slackening in the corpus cavernosum and increased
parentage menses to the member. https://www.lm360.us/
I know this web page presents quality dependent articles and extra
data, is there any other web site which provides these stuff in quality? https://www.wisig.org/
Excellent beat ! I wish to apprentice even as you amend
your site, how could i subscribe for a blog web site?
The account aided me a appropriate deal. I had been a
little bit familiar of this your broadcast provided vivid clear concept http://grassfed.us/
is cialis sold over the counter in canada http://cialistodo.com/ cialis and nuvigil
Pingback: cephalexin no prescription
Pingback: online casino games real money
Pingback: zovirax 800 mg canada
Pingback: cheap zyvox 600mg
Pingback: tadalafil prices
Pingback: furosemide 40mg medication
Pingback: how to purchase escitalopram 20mg
Pingback: spironolactone without a doctor prescription
Pingback: cost of meclizine
celexa cheap
viagra by mail
cheap kamagra supplier Situg Kig
Pingback: how to purchase loratadine
Pingback: buy warfarin 2mg
Pingback: desmopressin without prescription