
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Haarrison Mwakyembe akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Waandishi wa Habari Wanawake kuhusu unyanyasaji wa Kijinsia kwenye vyombo vya habari, lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Na Judith Mhina
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrisom Mwakyembe amezindua kitabu cha Gender and Media Handbook in Tanzania wakati wa maadhimisho ya miaka miwili ya Mtandao wa Wanahabari Wananawake Tanzania na Maafisa Uhusiano.
Akizindua kitabu hicho katika ukumbi wa Kibo ndani ya hoteli i ya Kimataifa ya Hyatt Regence – The Kilimanjaro leo Jijini Dar-es-salaam Waziri Dkt Mwakyembe amesema “Wana habari mtakuwa vibarua mpaka lini”.
Hebu tujaribu kutekeleza sheria mbili ya Habari na ile ya haki ya kupata taarifa, ambapo Tanzania ni kati ya nchi chache ambazo zimeiga kiila kitu kilichoandikwa kwenye sheria husika ya kimataifa, badala yake wanaleta mada yao pendwa ya jinsia moja, hatuwezi kukubali. Amesema Waziri Mwakyembe.
Akijibu risala iliyosomwa na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanahabari Wananawake Tanzania na Maafisa Uhusiano- Tanzania Women Media and Public Relation Networ,. Bevin Bhoke Chacha Mwita ambaye amesema kuwa waandishi wa habari wanawalke wananyanyaswa kijinsia katika vyumba vya habari . Hii ikiwa ni pamoja na kutolipwa mshahara stahiki kulingana na sifa walizonazo, kutopandishwa madaraja, lugha chafu na kubaguliwa katika majukumu ya kazi kama waandishi wa kiume na kujikuta wengi wao wakiwa waadhirika wa kunyanyaswa kijinsia.
Waziri mwakyembe aliongeza kwa kusema “Tunaomba wahisani watenge nusu ya fedha wanazotoa ili kuangalia masilahi ya waandishi wa habari na kuboresha mazingira ya kazi kutokana na kuwa na vitendea kazi duni katika vyombo vyao vya Habari.
Ninashangaa waandishi wa Habari ambao wanashangilia kuwa na taaluma isiyo na mpangilio, sheria wala kanuni, katika kuimarisha taaluma yao na ndio maana leo hii mnalalamika masilahi madogo yasiyolingana na kazi mnayofanya au hatopata mishahara kabisa .

Mwakilishi wa UN Women Nchini, Bi. Hodan Addou akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Waandishi wa Habari Wanawake kuhusu unyanyasaji wa Kijinsia kwenye vyombo vya habari, lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Akisisitiza jambo hilo Waziri amesema “Ni agfadhali kuwa na vyombo vya Habari vichache vinavyojali na lulinda masilahi ya Waandishi wa Habari kuliko kuwa na vyombo vingi ambavyo , haviangalii masilahi ya waandishi wa Habari, kuwalipa mishahara stahiki kwa wakati .
Akitoa agizo kwa kukabiliana na suala la kupiga vita unyanyasaji kijinsia Waziri Mwakyembe amesema kuwa nimefurahi kwa kuwa mmeonyesha namba mbili maalum za simu ambazo yeyote atakayenyanyaswa kijinsia azipige ili kupata msaada. Aidha, Wizara yangu naiagiza kuwa na namba maalum ya simu ambayo mtanipigia mimi moja kwa moja na kuwatangaza wale wote wanaomnyanyasa wanahabari wanawake ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria ili kukomesha vitendo vya unyanyasaji kwenye vyumba vya habari.
Akisisitiza agizo hilo amesema dirisha la Waziri lipo wazi kwa kila mtu bila mashariti yeyote na naomba wanahabari walitumie kweli kweli, mimi nikiwa kama mzazi na kiongozi ni lazima kuhakikisha suala hili linakuwa historia.
Naye Mwenyekiti wa Mtandao wa wanahabari wanawake na maafisa uhusiano Bi Chacha ameongeza kwa kusema kuwa wanawake wana
Katika hizi siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia katika vyumba vya Habari Mshauri wa masuala ya wanawake wanahabari Bi Pili Mtambalike amesema “Wanahabari wanawake wananyanyaswa kijinsia ikiwa ni pamoja na kutengwa kwa kupewa kazi nyepesi ikilinganiswha na waandishi wa kiume katika vyombo vya habari kutokana na kutokujiamini

Mwandishi wa Habari Mkongwe, Pili Mtambalike akichangia mada katika Jukwaa la Waandishi wa Habari Wanawake kuhusu unyanyasaji wa Kijinsia kwenye vyombo vya habari, lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Aidha , katika vyombo vingi vya Habari utafiti unaonyesha kuwa wahariri wengi ni wa jinsia ya kiume japo wapo wanawake ambao wanastahili kuwa wahariri na wanalingana hata kwa taaluma walizonazo ila hawapewi madaraka na hata hawapandishwi madaraja kama wenzao wa jinsia ya kiume.
Vilevile waandishi wanahabari wachanga wakike wananyanyaswa kingono na waliowengi wanafanya kazi kwenye vyombo hivyo kama correspondence na kulipwa kulingana na stori ambayo haiwatoshelezi kimaisha. Pia, Lugha wanazotumia wahariri katika vyumba vya habari ni lugha chafu za kudhalilisha na vitisho.
Akiongelea upande wa pili kama ushauri kwa wanahabari wachanga wanawake amesema kuwa ipo tabia ya wanahabari hawa wa kike wachanga kujiendekeza ili wapate wepesi wa kufanya kazi bila kuwa wabunifu kujituma na kuhakikisha wanajifunza kila mara ili kukomaa kitaaluma.
Pili Bi Mtambalike amesema kuwa ipo haja ya kuwa na sera ya jinsia katika vyombo vya Habari na kuhakikisha sera hizo zinatumika . Utafiti uliofanywa katika vyombo 23 vya Habari sita tu ndio vilikuwa na sera inayoeleweka ambayo haitumiki.
Hivyo tunaomba Jukwaa la Wahariri Tanzania –TEF liangalie namna gani linaweza kuleta usawa wa kijinsia katika kuwa na idadi sawa ya wahariri kwa kuwa wanawake walio wengi wanaishia katika ngazi ya Wahariri wasaidizi . Akitoa Takwimu amesema asilimia 26 ya wanawake ndio wahariri wasaidizi waliosalia wote ni jinsia ya kiume wakiwemo wahariri wakuu wa jinsia ya kiume.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Haarrison Mwakyembe, akikata utepe kuzindua kitabu cha Masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye vyombo vya habari katika jukwaa la Waandishi wa habari wanawake, lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Pia, unyanyasaji huu wa wanawake unafanyika hata kwenye upande wa vyanzo vya Habari ambavyo kwa wanawake ni asilimia 36 ,a silimia 64 ya vyanzo vya Habari hutokana na wanaume. Hivyo tunaomba hata wanawake wanahabari walione hili na kuhakikisha wanawahoji wanawake wenzao kama chanzo cha Habari badala ya kujikita zaidi kwa wanaume. Amesema Bi Mtambalike.
Naye Mhariri Mtendaji Bakatri Machumu ambaye hakuweza kufika katika hafla hiyo na kuwasilisha taarifa yake kupitia video iliyorekodiwa amesema kuwa kutokana na uzoefu wangu katika tasnia ya Habari waandishi wanawake ni wabunifu na wananafasi kubwa ya kuangalia wanawake ambao wako katika jamii na kusaidiana.
Naye Muwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Bibi Hodan Addou amesema “ Vyombo vya Habari ni kati ya vyombo vyenye nguvu kubwa hivyo vitumike katika kuhakikisha vinaondoa kabisa suala zima la unyanyasaji na udhalilishaji wa kijinsia katika vyomvo vya Habari”.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Haarrison Mwakyembe na Mwakilishi wa UN Women nchini, Bi. Hodan Addou, wakionyesha nakala ya kitabu cha Masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye vyombo vya habari, kilichozinduliwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo katika Jukwa la Waandishi wa Habari Wanawake lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Pia, ameongeza kwa kusema kuwa ni lazima kuhakikisha wanahabari wanawake wanashiriki kikamilifu katika kuhakikisha wanatumia taaluma yao bila vikwazo ili kuwaletea maendeleo mtu momoj ammoja na Taifa kwa ujumla.
Akiongelea kauli mbiu ya mwaka katika maadhimisho ya miaka miwili ya Mtandao wa Wanahabari Wananawake Tanzania na Maafisa Uhusiano. Unaosema “Changamkia Fursa sasa” Grabbing Opportunity now Katibu wa Kamati Mtandao wa Wanahabari Wananawake Tanzania na Maafisa Uhusiano, Bi Leah Mushi amesema nafasi za mafunzo ambazo hutolewa na wadau mbalimbali wa sekta wa Habari wakiwemo Wanawake wa Umoja wa Mataifa, pamoja na Shirika la Mitandao ya Habari- Internews.
Aidha, kuna fursa nyingi za mafunzo ya Mitandao ya kijamii na pia wanatoa vitendea kazi kwa waandishi wachanga wake kwa waume ili waweze kujitegemea katika kufanya kazi zao na kujiendeleza kitaaluma.
Naye Afisa Uhusiano wa Kituo cha Umoja wa Mataifa nchini Tanzania Bi Stela Vuzo, amesema kuwa huu ni wakati muafaka kwa wanahabari wachanga wanawake Tanzania kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo kwa ajili ya kusimamia taaluma ya Habari na kujiendeleza, ikiwa ni pamoja na kupata kazi sehemu mbalimbali duniani na kuacha kulalamika kuhusu masilahi na mishahara midogo.

Mwakilishi wa UN Women nchini, Bi. Hodan Addou, akiandika anayoyasikia wakati wa Jukwaa la Waandishi wa Habari Wanawake lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.
Haya tunayoyaona sasa inatokana na mfumo dume ambao tumeuishi kwa miongo kadhaa ambayo adhari zake zinajitokeza , hivyo sio kitu cha ajabu katika jamii zetu, na hayatokei kwenye tasnia ya Habari peke yake bali ni mfumo wa malezi kwenye jamii zetu ambao unatakiwa ukemewa, upigwe vita na uache kubagua mtoto wa kike na yule wa kiume. Amesema Mhariri Jesse Kwayu.
Iko haja ya Wadau wa Tasnia ya Habari kuongeza kwa pamoja na kuona umuhimu wa sheria , kanuni na taratibu tulizojiwekea ili kuifanya sekta ya Habari iwe na mfumo madhubuti unaowafaidisha wana taaluma ya Habari kwa jumla.
Pingback: generic viagra cost
Pingback: buy cialis from canada
Pingback: generic albuterol inhaler for sale
Pingback: viagra for sale on internet
Pingback: naltrexone 50 mg tablets
Pingback: cialis 20mg price
Pingback: when will cialis go generic
Pingback: viagra and alcohol
Pingback: viagra generic
Pingback: viagra generic
Pingback: mens ed pills
Pingback: ed pills
Pingback: buy chloroquine
Pingback: new ed pills
Pingback: buy generic cialis
Pingback: rx pharmacy
Pingback: cvs pharmacy
Pingback: Buy cialis online
Pingback: levitra 10mg
Pingback: vardenafil cost
Pingback: levitra for sale
Pingback: real money casino online usa
Pingback: viagra pills
Pingback: casino moons online casino
Pingback: slots online
Pingback: careprost eyelash growth solution
Pingback: generic cialis 20mg
Pingback: online loans
Pingback: personal loans
Pingback: personal loans
over the counter male enhancement walmart http://www.cialij.com/
Pingback: best real money online casinos
Pingback: viagra 100mg 100 tabs $100
Pingback: 20 cialis
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: new cialis
Pingback: cialis 20
Pingback: online casino real money usa
Pingback: top rated online gambling casino
Pingback: buy hydroxychloroquine online
bimatoprost generic best price https://carepro1st.com/
Pingback: best online casino usa
Good day! Do you use Twitter? I’d like to follow you if that would be ok.
I’m definitely enjoying your blog and look forward to
new updates.
For most up-to-date information you have to go to see world wide web and on web I found this web site as a finest
website for most recent updates.
This piece of writing provides clear idea
designed for the new viewers of blogging, that truly how to do blogging
and site-building.
Pingback: online casino real money us
Pingback: online slots for real money
Pingback: canadian pharmacy viagra
I enjoy what you guys tend to be up too. This type of clever work and coverage!
Keep up the excellent works guys I’ve included you guys to
blogroll. 2CSYEon cheap flights
What’s up, I would like to subscribe for this weblog to take
hottest updates, therefore where can i do it please
help out. cheap flights 2CSYEon
Pingback: purchase viagra
I don’t even know how I ended up right here, but I assumed this post was once great.
I don’t understand who you’re but certainly you’re going to a well-known blogger when you aren’t already.
Cheers!
Pingback: viagra cost
Pingback: liquid tadalafil
azithromycin dosage https://azithromycinx250.com/
viagra over counter walmart https://mymvrc.org/
amoxil 500 mg tabs https://amoxycillin1st.com/
cephalexin 500mg capsule antibiotic for humans https://keflex.webbfenix.com/
cialis 40 mg tablet http://lm360.us/
cost for cialis per pill
cialis tadalafil
generic viagra usa bank trnasaction Situg Kig
Pingback: cialistodo.com
You generic cialis notwithstanding sale online go for Viagra 50mg (or Viagra Overdrive) from a everyday without the rise cialis online niggardly a pressure. buy sildenafil Czbznb ovvskx
droga5.net http://droga5.net/
See can be accomplished 1 to mexican pharmacy online patient to state sexually. 50mg viagra Pknzqu ltxtpf
Pingback: Viagra 120mg united states
The humps in your gut can turn your regional. play casino Tmzcyu qoglkv
Pingback: cost of Viagra 50mg
is there a generic equivalent for cialis
cialis
yellow cialis is it pill Situg Kig
daily cialis for sale
goodrx cialis
professional viagra pills Situg Kig
Pingback: Viagra 25mg online pharmacy
It fractures in to hard stuff up the proximal lad artery, so it. doubleu casino online casino Scincc fthsev
Limit the hands after two events. paperwriter Xcgxax spuwde
You campus that you last wishes as not, and intent not improve. cheap viagra online Digirq vbotjr
It is in reality a nice and helpful piece of information. I am
satisfied that you simply shared this useful information with us.
Please stay us up to date like this. Thanks for sharing. https://azhydroxychloroquine.com/
Tactile stimulation Device nasal Regurgitation Asymptomatic testing GP Chemical abuse Effect Abet gadget I Rem Behavior Diagnosis Hypertension Manipulation Nutrition Customary Remedial programme Other Inhibitors Autoantibodies essential grant Healing Other side Blocking Anticonvulsant Group therapy less. cheap viagra Jsxjyz blieat
When inured to, if you’re reversed by restitutive in every way your patient. amoxicillin 500 mg Xqwryi nkqalf
Wow that was odd. I just wrote an extremely
long comment but after I clicked submit my comment didn’t
show up. Grrrr… well I’m not writing all that
over again. Anyhow, just wanted to say wonderful blog! http://cleckleyfloors.com/
As you buy from a valued special dander (catch a glimpse of in the sky), those infections are implicated and are the unmodified caste cialis online you believe procure cialis online the vet. buy furosemide Xbtdmb dklxox
Pingback: allegra 180mg pills
pharmacy education in usa https://canadiantrypharmacy.com – canadian pharmacy
pay levitra using paypal
viagra under tongue
purchase generic finasteride Situg Kig
I really love your site.. Great colors & theme.
Did you build this site yourself? Please reply back as I’m planning to
create my own personal blog and would love to find out
where you got this from or just what the theme is called.
Kudos! http://www.bee-rich.com/
Wonderful data, Cheers., kamagra uk https://kamagrahome.com kamagra
online assignment help http://onlineplvc.com/ Vvprib vwyhvj
Pingback: tamoxifen 20 mg usa
my best friend essay writing Cialis free samples Ylqvor nxoupr
Pingback: Biaxin 250 mg no prescription
canadian pharmacy viagra real canadian pharmacy Gnjmad isuaic
Pingback: catapres 100mcg cost
http://tadalaed.com/ – buying tadalafil online safely Rvnogh huymmh
Pingback: how to buy celexa 10mg
Pingback: cephalexin 500 mg pharmacy
Pingback: wellbutrin united states
http://canadianvolk.com
Pingback: buy zestril
The majority of of the commentary on this web site dont make sense.
Wow, great blog post.Much thanks again. Cool.
online viagra order uk no prescription
viagra discount coupon
buy generic tadalafil 20mg Situg Kig
This web site is mostly a stroll-through for the entire info you needed about this and didn
magnificent issues altogether, you just received a new reader. What would you recommend in regards to your submit that you just made some days ago? Any certain?
There as definately a lot to learn about this issue. I love all the points you have made.
Keep up the wonderful piece of work, I read few blog posts on this web site and I believe that your site is real interesting and has got bands of wonderful information.
This is very interesting, You are a very skilled blogger. I have joined your feed and look forward to seeking more of your excellent post. Also, I ave shared your site in my social networks!
Major thanks for the article.Really looking forward to read more. Really Cool.
levitra 10mg pharmacy
best viagra online pharmacy
levitra pill identification Situg Kig
Pingback: zyloprim 300mg uk
So that as one So that tends to move in the corner. Adam compares the three big players, michael kors handbags,
May you please prolong them a bit from next time? Thanks for the post.
Real fantastic information can be found on site. I can think of nothing less pleasurable than a life devoted to pleasure. by John D. Rockefeller.
I’аve read several good stuff here. Certainly value bookmarking for revisiting. I surprise how so much effort you place to create the sort of great informative website.
Ita??a?аАааАТаЂ s actually a nice and helpful piece of information. I am happy that you simply shared this helpful info with us. Please keep us up to date like this. Thanks for sharing.
You have brought up a very fantastic details , regards for the post.
This site was how do you say it? Relevant!! Finally I ave found something that helped me. Kudos!
You must take part in a contest for among the best blogs on the web. I will recommend this web site!
buy cialis online us
mountain west apothecary viagra
how can i pay for gevaric viagra with paypal Situg Kig
It as straight to the point! You could not tell in other words!
https://vardenafilz.com
There is visibly a bundle to realize about this. I suppose you made some good points in features also.
Thank you for your blog post.Really thank you! Want more.
Thorn of Girl Great info is often found on this world wide web website.
I truly appreciate this blog.Really looking forward to read more. Awesome.
You have remarked very interesting points! ps nice internet site.
on a website or if I have something to add to the discussion.
Pingback: pioglitazone tablet
Pingback: spironolactone otc
online drugstore pharmacy ed medications canadian pharmacies online
Pingback: fexofenadine 180 mg cheap
Im having a little problem. I cant get my reader to pick-up your feed, Im using msn reader by the way.
that I have really enjoyed browsing your blog posts.
This excellent website really has all of the information I wanted concerning this subject and didn at know who to ask.
I think the admin of this website is truly working hard in support of his site, since here every data is quality based data.
medicine for erectile 24 hours pharmacy drug rx
It?s an important Hello! Wonderful post! Please when I could see a follow up!
cialis dosierung 5 mg
viagra price
buy lamisil online canada Situg Kig
Pingback: meclizine usa
Im grateful for the blog.Really looking forward to read more. Much obliged.
pharmacy discount card pharmacy rx cheap rx
This is one awesome blog.Really looking forward to read more. Really Great.
Pingback: order anastrozole 1mg
I think other web-site proprietors should take this web site as an model, very clean and wonderful user genial style and design, as well as the content. You are an expert in this topic!
generic kamagra names – https://kamapll.com/ generic vardenafil online
I think this is a real great blog post. Great.
Pingback: olmesartan 20 mg usa
Interesting post reminds me of another gem. Adding manpower to a late software project makes it later. Attributed to Laws of Computer Programming
Wow, fantastic blog format! How long have you been blogging for? you made running a blog look easy. The full look of your web site is excellent, as well as the content!
There is evidently a bundle to realize about this. I assume you made certain good points in features also.
There is noticeably a bundle to find out about this. I assume you made sure good factors in features also.
Really enjoyed this blog.Really thank you! Want more.
on some general things, The site style is ideal, the articles is really
It as nearly impossible to find experienced people about this subject, but you sound like you know what you are talking about! Thanks