
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa hafla ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi maji katika Jimbo la Chalinze. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Chalinze, Mhandisi Christer Mdomba, kulia ni Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo.
Frank Mvungi.
Takriban wakazi 234,398 wa Chalinze watanufaika na mradi wa upanuzi wa mtambo na ujenzi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi unaolenga kuondoa changamoto ya upatikanaji wake katika Jimbo hilo.
Akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa hafla ya kukagua maendeleo ya mradi huo, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge amesema kuwa Serikali inaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo na kumtaka mkandarasi kuongeza kasi katika kutekeleza mradi huo.
“Dhamira ya Serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata maji safi na salama ndio maana tumeweka wataalamu wetu hapa kumsimamia mkandarasi ili afanye kazi kwa ubora na kwa kasi kama ambavyo Waziri Mkuu aliagiza alipotembelea mradi huu mwezi Machi mwaka huu”, alisisitiza Lwenge.

Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa DAWASA, Mhandisi Romanus Mwangingo akitoa maelezo ya utekelezaji wa mradi kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi maji katika Jimbo la Chalinze.
Akifafanua, Mhandisi Lwenge amesema kuwa hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo awamu ya tatu ni ulazaji wa mabomba ya kusafirisha na ya kusambaza maji, ujenzi wa matanki 19, na ujenzi wa mtambo wa kusafishia maji ambao unaendelea.
Kazi nyingine zinazoendelea katika kutekeleza mradi huo ni ujenzi wa vituo 351 vya kuchotea maji ambapo vituo 27 vimekamilika,vituo 226 vipo katika hatua mbalimbali na vituo 98 havijaanza kujengwa.
Akizungumzia hatua zinazochukuliwa na mkandarasi wa mradi huo, Mhandisi Lwenge amesema kuwa ni kuongezeka kwa upatikanaji wa vifaa kwa wakati katika eneo la mradi, kuongeza wafanyakazi na maeneo ya kazi na kuteua mwakilishi wa kampuni anayeweza kutoa maamuzi kwa niaba ya kampuni inayotekeleza mradi.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo akizungumza wakati wa hafla ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi kutoka mto Wami pamoja na matenki ya kuhifadhi maji katika Jimbo la Chalinze. Kushoto ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Majid Mwanga.

Moja ya tenki la maji linalojengwa katika chanzo cha maji cha mto Ruvu ikiwa ni sehemu ya mradi huo.
Aidha, Waziri Lwenge amesema kuwa Serikali itatoa ufumbuzi wa changamoto ya wananchi wa Jimbo hilo kulipia malipo ya huduma (service charge) hata pale wanapokuwa hawajapata huduma hiyo ili kuwe na utaratibu mzuri unaowezesha wananchi kulipia huduma pale wanapotumia tu na si vinginevyo.
Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo hilo, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema yeye binafsi anaishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa namna inavyoshughulikia changamoto zinazowakabili wananchi wa Jimbo hilo ikiwemo ya maji.
“Naridhika na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Awamu ya Tatu ya mradi huo ambao ukikamilika utasidia kwa kiwango kikubwa kuondoa changamoto ya upatikanaji wa maji katika jimbo hili hivyo wananchi wataweza kuongeza kasi katika shughuli za maendeleo”, alisisitiza Ridhiwani.
Akifafanua amesema anaunga mkono juhudi za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo .
Mnamo mwezi Machi mwaka huu, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa alifanya ziara ya kutembelea mradi huo na kukagua shughuli za ujenzi wa miundombinu ya mradi huo Awamu ya Tatu na baada ya ziara aliagiza mkandarasi anayetekeleza mradi huo ambaye ni Overseas Infrastracture Alliance (OIA)Pv Ltd kutoka India mwenye ubia na Kampuni ya Pratibha Industries nayo ya India kukamilisha kazi hiyo ,mkandarasi wa mradi huo ameshalipwa shilingi 38,716,375,627 ikiwa ni asilimia 42 ya gharama ya mradi.
Uhaba wa maji safi na salama umelikumba jimbo la Chalinze kwa kipindi kirefu. Kwa sasa wanaopata huduma ya maji safi na salama ni 220,241, mradi ukikamilika, watakaopata huduma hiyo watafikia jumla ya 234,394.
Pingback: generic viagra cost
Pingback: cialis over the counter
Pingback: cialis price
Pingback: viagra generic
Pingback: non prescription ed pills
Pingback: ed drugs
Pingback: ed medication
Pingback: generic cialis online
Pingback: best online pharmacy
Pingback: canada pharmacy
Pingback: Cialis in usa
Pingback: generic vardenafil
Pingback: cheap levitra
Pingback: online vardenafil
Pingback: casino slots
Pingback: viagra price
Pingback: casinos
Pingback: online slots real money
Pingback: buy real cialis online
Pingback: pay day loans
Pingback: short term loans
Pingback: cash advance online
Pingback: viagra prescription
Pingback: buy cialis
Pingback: cialis buy
Pingback: cialis internet
Pingback: buy cialis
Pingback: buy cialis
Pingback: generic for cialis
Pingback: Planet7
Pingback: online gambling for android
Pingback: viagra without doctor
Pingback: slots real money
Pingback: slot machine games
Pingback: online casino games for real money
Pingback: online gambling
Pingback: order viagra
Pingback: viagra pill
Pingback: tadalafil generic
Pingback: tadalafil cialis
Pingback: buy real cialis online
Pingback: cialis buy
I know this web page gives quality depending content and other stuff, is there any
other website which presents these kinds of data in quality?
Here is my webpage; bovada poker regulated
buy cialis http://lm360.us/
Tie convert is cypher else all the same it is entirely placing
the other person’s internet site data link on your Sri Frederick Handley Page at desirable
billet and early individual wish also do Sami in abide of you. http://www.stdstory.com/
can you buy hydroxychloroquine over the counter https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
hi!,I like your writing very much! share we keep in touch extra approximately
your post on AOL? I need an expert on this house to unravel my problem.
Maybe that’s you! Looking forward to look you. https://buszcentrum.com/
buy lexapro online usa
viagra
viagra online pharmacy ireland Situg Kig
I seriously love your blog.. Excellent colors &
theme. Did you develop this amazing site yourself?
Please reply back as I’m hoping to create my very own site and want to know where you got this
from or what the theme is called. Cheers! https://www.wisig.org/
Thanks , I have recently been searching for info approximately this subject for a long time and yours is the best I have
came upon till now. But, what in regards to
the bottom line? Are you sure about the source? http://grassfed.us/
canada express delivery viagra
viagra professional uk
viagra online best site to buy from Situg Kig
safest site to buy viagra online
cialis 20 mg dosage
viagra purchase in canada Situg Kig
Pingback: cheap catapres
Pingback: real money casino games
Pingback: wellbutrin 150 mg purchase
Pingback: zocor 20 mg without a prescription
Pingback: buy zovirax 200mg
Pingback: zyloprim price
Pingback: sildenafil united kingdom
Pingback: tadalafil price
Pingback: escitalopram online pharmacy
Pingback: aripiprazole tablets
Pingback: glimepiride 4mg canada
Pingback: atomoxetine nz
viagra pill 100 cialis where do they sell viagra
what is the active ingredient in cialis
viagra coeur viagra acheter viagra generique en france
où acheter du viagra
microdosing modafinil modafinil for sale alternatives to provigil and nuvigil
which is better for weight loss modafinil wakalert modvigil artvigil