
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay akizungumza na wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabaro jana. Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Kamati hiyo wapo kkatika ziara ya makabidhiano ya uongozi kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga na Mratibu wa MKURABITA, Bibi. Seraphia Mgembe.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay akizungumza na wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabaro jana. Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Kamati hiyo wapo kkatika ziara ya makabidhiano ya uongozi kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga na Mratibu wa MKURABITA, Bibi. Seraphia Mgembe.

Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Angelina Kwinga akizungumza wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani wilayani humo na Kamati ya Uongozi ya MKURABITA chini ya Mwenyekiti wake Balozi Daniel Ole Njolay (katikati) jana wilayani Urambo. Kulia ni Mratibu wa MKURABITA, Bibi. Seraphia Mgembe.

Mwenyekiti wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) aliyemaliza muda wake Kapteni mstaafu John Chiligati akisisitiza jambo wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabora na Kamati ya Uongozi ya MKURABITA chini ya Mwenyekiti wake Balozi Daniel Ole Njolay (hayupo pichani) jana wilayani Urambo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Angelina Kwinga na Makamu Mwenyekiti mpya wa MKURABITA Bibi. Imaculate Senje (Kushoto).

Mratibu wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Bibi. Seraphia Mgembe akisisitiza jambo wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabora na Kamati ya Uongozi ya MKURABITA chini ya Mwenyekiti wake Balozi Daniel Ole Njolay (kushoto) jana wilayani Urambo. Kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Margreth Nakainga.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Margreth Nakainga akisisitiza jambo wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabora na Kamati ya Uongozi ya MKURABITA chini ya Mwenyekiti wake Balozi Daniel Ole Njolay (wa pili kushoto) jana wilayani Urambo. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Angelina Kwinga na Mratibu wa MKURABITA Bibi. Seraphia Mgembe.

Makamu Mwenyekiti wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) aliyemaliza muda wake Profesa Ado Lupala akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabora na Kamati ya Uongozi ya MKURABITA chini ya Mwenyekiti wake Balozi Daniel Ole Njolay (kulia) jana wilayani Urambo. Kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Angelina Kwinga , Mwenyekiti maliyemaliza muda wake Kapteni mstaafu John Chiligati na Makamu Mwenyekiti mpya Bibi. Imaculate Senje.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Urambo Bi. Angelina Kwinga wakipitia taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Urasimishaji katika Halmashauri ya wilaya ya Urambo wakati wa kikao baina ya wafanyabiashara wanufaika wa Mpango wa Urasimishaji Rasilimali na Biashara za Wanyonge (MKURABITA) wilayani Urambo mkoani Tabaro jana. Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Kamati hiyo wapo katika ziara ya makabidhiano ya uongozi kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay akielezea jambo alipotembelea Kituo cha Pamoja cha Urasimishaji Biashara wilayani Urambo mkoani Tabora jana. Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Kamati hiyo wapo katika ziara ya makabidhiano ya uongozi kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa MKURABITA aliyemaliza muda wake Profesa Ado Lupala, Makmau Mwenyekiti mpya Bibi. Irene Senje, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Kapteni mstaafu John Chiligati, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Urambo Bibi. Margreth Nakainga na Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Isack Nkeyemba. Kituo hicho cha pamoja kimewezeshwa na MKURABITA kwa lengo la kuwarahisishia wananchi kurasimisha biashara zao kupitia usajili.

Muonekano wa Jengo linalotumika kama Ofisi za Kituo cha Pamoja cha Urasimishaji Biashara katika Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora. Kituo hicho kimewezeshwa chini ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) kwa lengo la kuwarahisishia wananchi upatikanaji wa huduma za usajili wa biashara zao kwa kuwaweka wahusika wote wa usajili (TRA, Brella, Afisa Biashara na Taasisi za Kifedha) katika jengo moja.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay (kushoto) akiangaia jinsi mashine ya kukamua mafuta ya Alizeti inavyofanyakazi walipomtembelea mmoja ya wanufaika wa MKURABITA wilayani Urambo mkoani Tabora jana. Mwenyekiti huyo na wajumbe wa Kamati hiyo wapo katika ziara ya makabidhiano ya uongozi kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Margreth Nakainga, mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya MKURABITA, Bibi. Anna Mwasha, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Kapteni mstaafu John Chiligati na Mreatibu wa MKURABITA, Bibi. Seraphia Mgembe.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay (wa tatu kulia) na wajumbe wa Kamati yake wakikagua bustani ya mmoja wa wananchi wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora aliyenufaika na MKURABITA Bw. Gilbert Kihumo (wa pili kulia) jana wilayani humo. Mwenyekiti huyo na wajumbe wake wapo katika ziara ya makabidhiano ya uongozi na majukumu kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kutoka kushoto ni Mratibu wa MKURABITA, Bibi. Seraphia Mgembe, Mtaalamu Mshauri toka Kampuni ya GODTEC, Makamu Mwenyekiti wa MKURABITA, Bibi. Irene Senje na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Bibi. Margreth Nakainga.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Balozi Daniel Ole Njolay (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Kampuni ya Urambo Wazalendo na wajumbe wa Kamati yake mara baada ya kupokea taarifa yao jana wilayani Urambo. Mwenyekiti huyo na wajumbe wake wapo katika ziara ya makabidhiano ya uongozi na majukumu kutoka kwa Kamati iliyomaliza muda wake mapema hivi karibuni. Kampuni hiyo imeanzishwa na baadhi ya wanufaika wa MKURABITA wilayani Urambo kupitia elimu waliyopewa na MKURABITA kwa kushirikiana na Kampuni ya Kukuza Biashara ya GODTEC. (Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO, Urambo).
Pingback: Canadian pharmacy viagra pfizer
Pingback: cialis from india
Pingback: printable cialis coupon
Pingback: cialis discount
Pingback: Buy viagra internet
Pingback: Rx generic viagra
Pingback: is there a generic cialis available in the us
Pingback: cialis generic name
Pingback: where to buy cialis online
Pingback: is there a generic cialis available?
Pingback: viagra for sale
Pingback: viagra generic
Pingback: impotence pills
Pingback: pharmacy online
Pingback: Buy cialis online
Pingback: online vardenafil
Pingback: vardenafil 20 mg
Pingback: win real money online casino for free
Pingback: online casino real money paypal
Pingback: viagra online
Pingback: free slots
Pingback: empire casino online
Pingback: buy cialis online safely
Pingback: instant loans
Pingback: loans for bad credit
Pingback: betty
Pingback: online casino australia illegal
Pingback: buy cialis
Pingback: best real money online casinos
Pingback: new cialis
Pingback: online gambling
Pingback: online casinos
Pingback: casinos
Pingback: online slots for real money
Pingback: what is sildenafil
Pingback: buy viagra
Pingback: sildenafil vs tadalafil
Pingback: online casino games
Spot on with this write-up, I really believe that this site needs a great deal more
attention. I’ll probably be back again to see more, thanks for the
info!
Feel free to visit my page … https://internetcasinodude.com/
rLoyna that I really would want toHaHa). You certainly put a
some really interesting information, well written and broadly speaking user pleasant.
wow, awesome blog post.Really thank you!
lol. So let me reword this. Thanks for the meal!!
You made some decent points there. I looked on the internet for the subject and found most guys will consent with your blog.
I will right away snatch your rss feed as I can at in finding your email subscription hyperlink or e-newsletter service. Do you have any? Kindly let me recognize so that I may subscribe. Thanks.
I truly appreciate this post.Much thanks again. Keep writing.
generic Woodchuck mayhem was UUI on bifocal the jus in online cialis is requisite in identifying realizable into progression renal from the.
viagra coupons viagra generic name for viagra
viagra canada viagra cheap generic viagra
Usually I don at read article on blogs, but I wish to say that this write-up very compelled me to check out and do it! Your writing style has been amazed me. Thanks, very nice post.
cialis online pharmacy order cialis generic tadalafil vs cialis
reasons for ed what are ed drugs drug store online
viagra generic cheap viagra is there a generic for viagra
best ed pills that work
Pingback: online casino games real money
amoxicillin without a doctor’s prescription mexican pharmacy without prescription pet meds without vet prescription canada
comfortis without vet prescription
https://canadarx24.com/#
generic viagra without a doctor prescription
Pingback: citalopram prices
canada price on cialis interactions for cialis
normal dose cialis
Pingback: clozapine 100 mg generic
tinder date , tindr https://tinderdatingsiteus.com/