Na Tito Mselem Arusha,
Waziri wa Madini Doto Biteko ametoa siku moja kwa Wafanyabiashara wote wa Madini Mkoani Arusha kuhamishia shughuli zao ndani ya Soko na watakao bainika kununua madini nje ya Soko watachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kufutiwa leseni zao na kufikishwa Mahakamani.
Hatua hiyo inafuatia ziara ya kushtukiza ya Waziri Biteko aliyoifanya Sokoni hapo Novemba 13, 2019 na kubaini changamoto za wanunuzi Wakubwa wa Madini kutolitumia Soko hilo na badala yake wameendelea kununua Madini nje ya Soko.
Katika zira yake hiyo, Waziri Biteko ameambatana na viongozi mbalimbaliwa Serikali pamoja na Wizara ya Madini akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila, Mwenyekiti wa Tume ya Madini Prof. Idris Kikula, Mkuu wa Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna na wengine.

Waziri wa Madini Doto Biteko (wapili kushoto) akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila (wapili kulia), Prof. Idris Kikula wakwanzaa kushoto na Sam Mollel (wakwanza kulia)
Pia, Waziri Biteko amemtaka Mkandarasi anayeendelea na ujenzi katika Soko hilo ahakikishe anamalizia haraka ujenzi huo huku wafanyabiashara wakiwa wanaendelea na shughuli zao katika Soko hilo.
Aidha, Waziri Biteko amemuagiza Mwenyekiti wa Tume ya Madini Prof. Idris Kikula kumuondoa Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Arusha, Robert Erick kwa kushindwa kusimamia ipasavyo shughuli za Madini Mkoani humo.
Afisa Madini huyo anadaiwa kuwaachia wafanyabiashara wakubwa wa Madini Mkoani Arusha kufanya biashara ya Madini maofisini mwao tofauti na maelekezo ya Serikali iliyowataka wafanye biashara hiyo kwenye Masoko ya Madini ambapo ofisi nne tu ndizo zilikuwa wazi wakati Soko hilo lina ofisi za wafanyabiashara wakubwa 40 lakini kwa zaidi ya miezi minne hawajahamia katika ofisi hizo.

Baadhi ya Wafanyabiashaya ya Madini walioshiriki katika Mkutano wa Waziri wa Madini Doto Biteko uliofanyika Novemba 13 katika eneo la Soko la Madini la Mkoa wa Arusha.
Alisema jukumu hilo la kusimamia kufanya biashara ndani ya Soko hilo na kuwachukulia hatua wafanyabiashara wenye madini majumbani mwao ni jukumu la Afisa Madini, lakini kazi hiyo kwa sasa inafanywa na Waziri hatua ambayo haikubaliki kabisa, wakati wa kulindana umepitwa na wakati sio kwa Serikali hii iliyopo madarakani.
Waziri Biteko alisema kuwa, biashara ya Madini ya Tanzanite Mkoani Arusha imeshuka kwa asilimia kubwa na wanaofanya biashara hiyo wanajulikana lakini hawachukuliwi hatua na kwamba ofisi yake haiko tayari kuona ubadhilifu wa aina hiyo.
Pamoja na mambo mengine, Waziri Biteko amesema kuwa haoni sababu za msingi za wafanyabiashara wakubwa wa Madini Mkoani Arusha kushindwa kufanya biashara katika Soko la Madini lililoandaliwa na Serikali na badala yake wafanyabiashara hao wanafanya biashara katika ofisi zao.
Amewaeleza wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo wa Madini Mkoani Arusha kuwa haitaji kupigiwa makofi kwani yeye anasimamia kanuni na sheria namba 20 ya Madini inayosema kuwa kila mfanyabiashara wa Madini awe Mdogo ama Mkubwa anapaswa kufanya biashara ndani ya Soko la Madini na sio vinginevyo.
Ameongeza kuwa, Wafanyabiashara wakubwa waliomba muda wa mwezi mmoja katika kufanya biashara ndani ya Soko hilo na Wizara iliongeza muda huo waliohitaji lakini hadi sasa ni zaidi ya miezi minne hakuna mfanyabiashara mkubwa aliyekuwa akifanya bishara katika Soko hilo na badala yake wanafanya biashara katika ofisi zao na wanamiliki kilo nyingi za madini kinyume cha utaratibu.
Waziri amesema anazo taarifa za uhakika baadhi ya wafanyabiashara wakubwa 97 wana ofisi za madini Arusha na Nairobi na wanafanya ujanja ujanja ili wafanye biashara hiyo kwa njia haramu na kuikosesha Serikali mapato hilo halikubaliki watachukuliwa hatua kali ikiwemo kufilisiwa mali zao na kufikishwa Mahakamani.
Akizungumzia suala la wafanyabishara Wadogo wa Madini amesema ofisi yake ina idadi ya wafanyabishara wenye leseni 263 lakini wanaofanya biashara hiyo mtaani ni zaidi ya watu 1,300 hali inaonesha wazi kuwa zaidi ya wafanyabiashara 1037 wanafanya biashara bila ya kuwa na leseni na Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Arusha analijuwa hilo lakini ameshindwa kusimamia majukumu yake ya kazi.
Pamoja na mambo mengine Waziri Biteko amesisitiza uaminifu katika sekta ya madini.
Pingback: viagra england
Pingback: cialis savings card
Pingback: cialis price costco
Pingback: buy cialis
Pingback: Free viagra samples
Pingback: viagra cialis
Pingback: cialis pills
Pingback: erection pills that work
Pingback: generic ed pills
Pingback: online ed medications
Pingback: pharmacy online
Pingback: canada online pharmacy
Pingback: pharmacy online
Pingback: cialis visa
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: levitra
Pingback: vardenafil price
Pingback: order levitra
Pingback: virgin casino online nj
Pingback: real money casino online
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: online slots
Pingback: casinos
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: payday loans
Pingback: online payday loans
Pingback: viagra pills
Pingback: best real money casinos
Pingback: cialis internet
Pingback: online casino europe
Pingback: LuckyCreek
Pingback: cialis buy
Pingback: cialis internet
Pingback: new cialis
Pingback: blackjack sites real money
Pingback: rivers casino
Pingback: real money casino games
Pingback: non prescription viagra
Pingback: viagra online prescription
Pingback: cheap viagra generic
Pingback: cialis cialis online
Pingback: buy viagra online cheapest
Pingback: buy viagra canada
Pingback: buy viagra online cheap
Pingback: viagra prescription
Pingback: cialis tadalafil
viagra connect near me
how can i get viagra?
buy viagra online cheap
what woukd happen if a female took viagra
buy viagra canada
cost viagra cvs
Pingback: tadalafil online
viagra skin cancer
order viagra https://viaonlinebuy.us/ buy real viagra online
what happens when a girl takes viagra
what does viagra do to men
generic viagra cost viaonlinebuy.us viagra prices
viagra work for women
kelly hu viagra commercial
levitra https://viaonlinebuy.us buy viagra on line
what is female viagra
#impotus viagra
https://www.v1agrabuy.com/# – generic viagra cost
viagra cost without insurance
Pingback: buy viagra online no prescrip
viagra in canada
viagra
what happens if you take viagra and cocaine together
why can a smoker not take viagra
best place to buy viagra online forum
how to get a free trial of viagra
viagra cheapest
purchase viagra online
she said no after i took viagra
Pingback: where to buy generic viagra in shanghai
what are the main side effects of viagra
viagra online https://www.v1agrabuy.com buy viagra pills
viagra commercial 2016
cipla viagra
https://viaonlinebuy.us/# – buy viagra online
viagra under tongue film
viagra cost per pill https://mymvrc.org/
Pingback: order cialis online canada
viagraeiu.com http://viagraeiu.com/
drogas don saludero_viagra en colombia precio
like viagra
what is other name of viagra generic
viagra boys band
how to use viagra 100mg tablets
viagra for diabetics
when was viagra created
viagra tablets
by viagra on line
Pingback: viagra prices
buy hydroxychloroquine online uk https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Hi there, just wanted to mention, I loved this post.
It was practical. Keep on posting! http://grassfed.us/
what household use does viagra have
online viagra viaonlinebuy.us online viagra
how long.does it take for viagra to start working
Pingback: buy generic viagra
how much is viagra in cancГєn 2019
https://trusttnstore.com/# – viagra sale
cheap viagra online usa
canadian pharmacy viagra
PDE5 is an enzyme launch in the first place in the legato muscleman of
the corpus cavernosum that selectively cleaves and degrades cGMP to 5′-GMP.
PDE5 inhibitors are standardised in social system to cGMP; they competitively bind to PDE5 and curb cGMP hydrolysis, gum olibanum enhancing
the effects of NO. This gain in cGMP in the suave brawniness cells is responsible for for prolonging an erection. http://lm360.us/
Pingback: viagra buy
maximum viagra dosage
https://1borsa.com/3dlgz# – buy cialis online
literotica mom helps son who takes dads viagra
When I originally commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I
receive 4 emails with the same comment. Perhaps there is
an easy method you can remove me from that service?
Appreciate it! http://cleckleyfloors.com/
french over the counter cialis
cheap viagra 100mg
generic cialis 100 mg Situg Kig
viagra plus testofen
buy viagra
viagra and kidney disease
100 milligrams of viagra
cialis pills
can i take another viagra 4 hours after i take the first one?
viagra vs
cialis online https://ecuadortenisclub.com/3f3oa tadalafil
how to get free viagra
generic cialis available in usa
cialis 10mg or 20mg
discretly order viagra Situg Kig
Pingback: cialis tablets
how to get viagra nonprescription can i get viagra
generic cialis canada pharmacy https://aviib.com/ free viagra samples canadian pharcharmy online viagra
how much does generic viagra cost how quickly does viagra take effect
Pingback: viagra sex
viagra overnight shipping
female viagra pills https://edzxc.com/ generic sildenafil
viagra and ecstasy what makes viagra work
Pingback: catapres 100mcg pills
Pingback: celexa united kingdom
Pingback: doubleu casino online casino
Pingback: titan insurance company
Pingback: did cialis go generic
Pingback: zanaflex uk
Pingback: visit this site right here
cheaper viagra or cialis
mexico viagra
generic cialis nederland Situg Kig
Pingback: cheap zovirax
Pingback: zyloprim 300mg without a prescription
Pingback: furosemide 40 mg online
Pingback: escitalopram 20 mg canada
ed meds family pharmacy peoples drug store
Pingback: aripiprazole medication
Pingback: spironolactone 100mg usaspironolactone generic
Pingback: glimepiride 1mg for sale
people’s pharmacy erectile dysfunction canadian pharmacy cialis
Pingback: donepezil for sale
Pingback: how to purchase anastrozole