
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu (Wenye Ulemavu) Mhe. Stella Ikupa akifurahia jambo na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Nagma Giga wakati wa ziara ya kamati hiyo kujinea miradi ya uwezeshaji vijana inayotekelezwa na Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu.
Na. Mwandishi Wetu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Yaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika kuwawezesha vijana takribani 3440 kukuza ujuzi wao kupitia programu ya Ukuzaji ujuzi inayotekelezwa na Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu .
Akizungumza wakati wa ziara hiyo Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Nagma Giga amesema kuwa mradi huo ni muhimu katika kuiwezesha nguvu kazi ya Taifa hasa vijana kuwa na ujuzi stahiki.
“Tunaipongeza Serikali kwa mkakati huu utakaowezesha kupanua wigo wa ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi katika nchi yetu”alisema Giga.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Antony Mavunde akisisitiza umuhimu wa kuwawezesha vijana kukuza ujuzi kupitia programu maalum inayosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu , hayo yamejiri wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ilipotembelea na kujionea wanufaika wa programu hiyo katika Wilaya za Dodoma Mjini na Chamwino mwishoni mwa wiki.
Mradi wa mafunzo ya ufundi stadi kwa Vijana unatekelezwa kupitia chuo cha ufundi stadi DONBOSCO kwa ufadhili wa Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu ambapo katika mwaka wa fedha 2019/2020 vijana elfu 10,000 wanatarajiwa kunufaika na mpango huo.
Akizungumza wakati wa ziara ya Wabunge hao mwishoni mwa wiki Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi,Vijana na Ajira Mhe. Antony Mavunde amesema kuwa dhamira ya Serikali ni kuhakikisha kuwa nguvu kazi ya Taifa inakuwa na ujuzi unaoendana na mahitaji ya ujenzi wa uchumi wa Viwanda.
Aliongeza kuwa kuwajengea uwezo Vijana kwa kuwapa ujuzi stahiki kunawawezesha kujiajiri na kuzalisha ajira hali inayowawezesha kuchangia katika kukuza uchumi na kuchangia maendeleo ya Taifa.
Naye Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa amesema kuwa Vijana wanayo nafasi kubwa ya kuchangia katika kuleta mageuzi ya kiuchumi kupitia ujuzi wanaopata kupitia programu hiyo.

Sehemu ya wanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha DON BOSCO wanaonufaika na mpango wa Serikali kuwaongezea ujuzi vijana kupitia programu maalum inayotekelezwa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu.
“Pamoja na changamoto ya ajira kwa vijana, Serikali yetu sikivu imeendelea kuwapa kipaumbele vijana katika kutatua changamoto zinazowakabili ikiwemo suala la ukosefu wa ajira kupitia utekelezaji wa programu hii itawezesha vijana wengi kujiajiri na kuchangia kukuza uchumi”
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Ally Msaki amesema kuwa uwezeshaji Vijana umepewa kipaumbele kupitia programu hiyo na utaratibu huo ni endelevu kwa dhamira yakuwafanya vijana wachangie katika kukuza uzalishaji na tija.
Wakizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo Katika Chuo cha Ufundi Stadi DONBOSCO cha Jijini Dodoma baadhi ya wanufaika akiwemo Bi. Esther Ngallya amepongeza juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano kuwawezesha Vijana kujikwamua kiuchumi kupitia programu ya kukuza ujuzi inayotekelezwa kupitia chuo hicho.

Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Ally Msaki akizungumza wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ilipotembelea na kujionea wanufaika wa programu hiyo katika Wilaya za Dodoma Mjini na Chamwino mwishoni mwa wiki.
Akiafafanua amesema kuwa Serikali imebadili mwelekeo wa maisha ya Vijana walionufaika na Programu hiyo ambao wanauwezo mkubwa kwa sasa nyanja za umeme, ujenzi, tarazo,useremala, umeme, ufundi bomba na nyingine nyingi.
Dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano ni kuwawezesha Vijana kupitia programu mbalimbali ikiwemo ya kukuza ujuzi na ile ya ujenzi wa vitalu nyumba katika kila Halmashauri ambapo vijana 100 katika kila halmashauri wanajengewa uwezo ili waweze kutekeleza azma ya kuchangia katika kukuza uchumi na ujenzi wa viwanda.
Pingback: cialis 10mg
Pingback: cialis online canada
Pingback: Buy viagra from canada
Pingback: Viagra overnight shipping
Pingback: cialis canada
Pingback: cialis coupon
Pingback: when will cialis be over the counter
Pingback: viagra for sale
Pingback: viagra generic
Pingback: erectile dysfunction medications
Pingback: buy ed pills
Pingback: top ed pills
Pingback: buy cialis online
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: vardenafil 20mg
Pingback: levitra 10 mg
Pingback: levitra dosage
Pingback: online gambling
Pingback: online payday loans
Pingback: cash advance online
Pingback: viagra pills
Pingback: cialis internet
Pingback: cialis internet
Pingback: best real money online casinos
Pingback: lasvegas casino
Pingback: cheap viagra online
Pingback: casino slots
cheap pet meds without vet prescription – compare ed drugs
Pingback: viagra cost
where can i buy viagra: viagra 100mg
which types of generic viagra to trust
buy viagra online cheap https://viaonlinebuy.us when to buy viagra
express scripts viagra
http://metformintop.com/ – metformin hcl 500mg
Pingback: buy viagra now
viagra and nitrates
online viagra
herbal viagra cvs
http://metformintop.com/ – metformin 1000 mg online
is cialis generic available – cialis
Its like you learn my mind! You seem to understand a lot about this, such as you wrote the e-book in it or something. I believe that you could do with some p.c. to power the message home a bit, however instead of that, this is great blog. A fantastic read. I’ll definitely be back.
cialis without a doctor’s prescription – cheap cialis
best liquid cialis: tadalafil
how much did shareholders make on viagra
why doesn’t viagra work for me on sertraline
where to buy viagra superforce in louisville ky area
:
how many times can you ejaculate while on viagra
buy viagra cheap http://www.v1agrabuy.com buying generic viagra online
200 mg viagra
I’m not sure where you are getting your information, but great topic. I needs to spend some time learning more or understanding more. Thanks for wonderful info I was looking for this info for my mission.
ed cures Cheap Erection Pills
cheap pills online medication for ed dysfunction
canadian pharmacy generic viagra – canada viagra generic viagra without a doctor prescription
viagra amazon – how much is viagra is there a generic viagra
sildenafil 60: sildenafil 50 mg tablet coupon 100mg sildenafil no prescription
Pingback: viagra
cialis cost show cialis working – cialis prices 20mg
how much does generic viagra cost 2018
viagra https://viaonlinebuy.us/ viagra for sale
how fast does x5 effective viagra work
canadian pharmacy generic viagra: buy sildenafil where can i buy viagra
ed products
how much does viagra cost in australia
what is the average dose of viagra
what is the organic viagra
Pingback: sildenafil
viagra spokeswoman brunette
Bridgeport Family Pharmacy
how to buy viagra over the counter
buy prescription drugs without doctor https://canadianpharmacystorm.com buy ed pills
what ed works best if viagra is not working
cialis prices http://www.microlink.ro/a/10hkl online cialis
viagra pfizer rezeptfrei
I love it whenever people come together and share thoughts. Great website, stick with it!
pain meds without written prescription
https://canadarx24.com/#
prescription drugs without doctor approval
the effects of cialis on women
http://tadedmedz.online
cialis and interaction with ibutinib