
Afisa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Isihaka Sharifu akitoa Mada kuhusu umuhimu wa kulipa Kodi, katika Semina ya Vijana iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana Tanzania (TYVA), Jijini Dar es Salaam.
Na.Mwandishi Wetu-DSM
Vijana wapewa elimu kuhusu kuanzisha biashara ili kujikwamua na uchumi kwa kuchangamkia fursa zilizoko kwenye maeneo yao na kujua umuhimu wa kodi katika biashara ili kuwezesha taifa kupata mapato na wao kupata faida.
Akizungumza katika Semina ya Vijana iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana Tanzania (TYVA), Afisa Elimu na Huduma kwa Walipa Kodi kutoka TRA, Isihaka Sharifu alisema kuwa Serikali imerekebisha baadhi ya Sheria za kodi hususani kwa vijana wanaofungua kampuni au biashara mpya.

Baadhi ya Washiri wa Semina ya Vijana, kuhusu umuhimu wa kulipa Kodi, iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana Tanzania (TYVA), Jijini Dar es Salaam, wakifuatilia Mada zilizokuwa zikitolewa kwenye Semina hiyo, Mwishoni mwa Wiki.
Sharifu alisema kuwa kwa sasa Sheria ya kodi imejikita kuwasaidia vijana wanaoanzisha kampuni na biashara mpya kwani imeweza kugusa msamaha wa kodi kwa miezi sita tofauti na awali ambapo biashara mpya zilikuwa zinalipiwa kodi baada ya miezi mitatu.
“ Kwa sasa Sheria inasema ukiwa unafungua biashara yako au kampuni mpya kwa sasa unatakiwa kulipa kodi baada ya miezi sita, kwa hiyo hii itawasaidia vijana wengi ambao wanania ya kuanzisha biashara, nawasihi vijana wenzangu tumieni Fursa hiyo kujikwamua kiuchumi”, Alisema Sharifu.
Katika Semina hiyo ambayo kauli mbiu yake ilikuwa ‘Nguvu ya Kodi’ Sharifu alipaeleza kuwa TRA inatekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano kuwakwamua vijana hasa wajasiriamali wadogo ambao wanafanya biashara zao kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini.

Afisa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Isihaka Sharifu akitoa Mada kuhusu umuhimu wa kulipa Kodi mbele ya Washirik wa Semina ya Vijana iliyoandaliwa na Umoja wa Vijana Tanzania (TYVA), Jijini Dar es Salaam.
Alisema kuwa kodi inayotozwa kwa wafanya biashara wenye mauzo kuanzia milioni 0 hadi 100 imegawanyika katika makundi manne ambayo ni mauzo kuanzia 0 mpaka milioni 4 ambao hawatozwi kodi, mauzo ya milioni 4 mpaka 7.5 wanatozwa 100,000, milioni 7 mpaka 11 wanatozwa 250,000 na milioni 11 mpaka 14 wanatozwa 450,000 tofauti na hapo zamani ambapo walikuwa wanatozwa 546,000, kwa hiyo vijana wanatakiwa kuchangamkia fursa hiyo.
Kwa upande wake, Afisa Vijana kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Temeke, Anna Marika alisema kuwa vijana wanatakiwa kuwa wazalendo kwa kutimiza wajibu wao kwenye suala la kulipa kodi kama Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anavyoagiza.
“Nimefurahi kwa Semina hii kwani watoa mada wamekuja na Mada nzuri zinazoelimisha ulipaji Kodi, wito wangu kwa vijana ni kwamba wanatakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi kama Rais alivyoagiza kuchukua vitambulisho ili wasipate shida kwenye maeneo yao ya kufanyia Biashara”, Alisema Marika.
Marika aliongeza kuwa kwa Wilaya ya Temeke wamejikita zaidi katika kuwasaidia vijana, wanawake na walemavu kujikwamua kimaisha kama Ofisi ya Rais –TAMISEMI ilivyoagiza kuwa asilimia 10 ya mapato ya halmashauri ijikite kwenye kuwasaidia vijana, wanawake na walemavu.
Alisema Wilaya ya Temeke imetanga asilimia nne kwa vijana, asilimia nne kwa wanawake na asilimia mbili kwa walemavu, huku wakilenga kuboresha utoaji wa huduma kwa kutoa vifaa vya kazi kwa vikundi mbalimbali kama vile pikipiki, Chelehani,vifaa vya mziki na magari ya kuzoa takataka na kusomba matofali.
Alitolea mfano wa kikundi cha wanawake waliopewa chelehani 50 na wataanza kurejesha mikopo baada ya miaka miwili na wakimaliza mkopo vifaa vile vinakuwa mali ya kikundi.
“Niombe sasa kwa wale vijana ambao mnaisha Temeke, haijarishi unatoka Wilaya gani hapa Dar es Salaam au mkoani, mkirudi kwenu kachangamkieni fursa hii ili kuwawezesha kujikimu kimaisha na kupata faida kubwa ya kuendesha uchumi wenu”, Alisistiza Marika.
Pingback: cialis price walmart
Pingback: Buy viagra brand
Pingback: ed pills online
Pingback: top erection pills
Pingback: ed meds online without doctor prescription
Pingback: buy cialis
Pingback: canada online pharmacy
Pingback: generic cialis online
Pingback: order levitra
Pingback: vardenafil 20 mg
Pingback: pala casino online
Pingback: slot games online
Pingback: viagra from india
Pingback: best online casino usa
Pingback: empire casino online
Pingback: cialis prescription online
Pingback: installment loans
Pingback: cash advance
Pingback: personal loans
Pingback: generic cialis
Pingback: live casino slots online
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: hard rock casino online
Pingback: marilynn
Pingback: casino online
Pingback: real online casino
Pingback: slot games
Pingback: cheapest viagra
Pingback: generic viagra online
Pingback: tadalafil 10mg
nrCWXX http://pills2sale.com/ levitra nizagara
Your cash is being counted buy generic cialis canada Even though the band have come into some criticism recently for “selling out”, this debut album is raw, raucous and the product of four young men quite simply locking themselves in a basement “with their instruments and a big bad of weed”. Quite simply, IT IS the sound of youth and young manhood.
Cool site goodluck 🙂 sinequan seroquel Despite what anyone may say, we are going to be going down the budget impasse road yet again sometime soon. That not only increases the risk of default, it raises and extends the pause in consumption and investment the budget morass has already caused. All of this makes it possible that Fitch Ratings, which put the U.S. on ratings watch for a possible downgrade of its AAA-rating, will actually pull the trigger.
Sorry, I’m busy at the moment buy xenical orlistat uk Nevertheless, Griffin has proven to be a remarkable and dedicated athlete, and his progress is also indicative of an evolving calendar of expectations when it comes to ACL injuries, which traditionally have required a year or more of rehab. Griffin’s timeframe is similar to that of Minnesota Vikings running back Adrian Peterson, who led the league in rushing last season after tearing an ACL the previous December.
I quite like cooking cytoxan lupus side effects Speaking last night he said: “I’ve yet to see the finer details of the PwC report but it highlights what we’ve been saying about the changing nature of the high street. I believe it’s better to manage that transformation on a more orderly basis than sit back and watch it happen.”
I’d like to send this parcel to viagra sales melbourne “I had no idea that I was going to be a conductor,” Pappano, who takes up the baton this week for Verdi’s rarely performed, 4-1/2-hour-long “Les Vepres Siciliennes” (The Sicilian Vespers), which is making a long overdue Royal Opera debut on Thursday night in the great Italian composer’s 200th birthday year.
It’s serious augmentin generico mylan prezzo The missiles were fired from outside of the area, most likely Damascus military airport. An analysis of video evidence and interviews with doctors and victims points to sarin exposure, according to the report.