
Moja ya Kifaa cha kampuni inayojenga Reli ya Kisasa, SGR ya Yapi Merkez kikiunganishaji Reli hiyo katika moja ya zaiara ya Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Makataibu tawala takribani 400, Mei 14, 2019.
Na. Paschal Dotto
Ni Takribani Miaka 120 ambapo historia iliandikwa, mwaka 1912, Serikali ya Kikoloni nchini iliamua kuimarisha sekta ya usafirishaji Kwa kujenga Reli, ambapo njia zake ziliunganisha Miji hasa maeneo ya kilimo, uzalishaji na kibiashara, reli kuu kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza, hatimaye Kigoma na Tanga.
Ni dhahiri sasa tunaona Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akifanya mageuzi makubwa Kwa kujenga reli ya kisasa, maarufu SGR (Standard Gauge Railway) ambapo kwa vyovyote tutasogeza nyuma zaidi kuhusu historia ya reli nchini, kwani Rais anatakeleza Ujenzi wa Reli ya Kisasa, Standard Gauge Railway (SGR) kwa maslahi makubwa kiuchumi.
Katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya SGR awamu ya pili, Morogoro-Makutupola, iliyofanyika 14, Machi, 2018, Rais Magufuli aliwakumbusha Watanzania kuwa Tanzania imekuwa nchi ya pekee Barani Afrika katika kutekeleza mradi huo mkubwa kwa pesa za walipa kodi wake.
“Kwa bahati nzuri, hivi karibuni tulitembelewa na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na alishuhudia kwamba Tanzania tumetayarisha fedha zetu wenyewe, kwa nguvu zetu wenyewe, na walipa kodi ni watanzania wenyewe, Tsh Trilioni 2.8 na kutangaza tenda zilizokuwa wazi, makampuni zaidi ya 40 yalijitokeza kuwania tenda, na bahati nzuri kampuni kutoka Uturuki ikashinda tenda hii,” alisema Rais Magufuli na kuongeza kuwa Uturuki itatupa mkopo wa masharti nafuu kwa awamu zingine za ujenzi, Rais akaongeza, “ kwa hiyo Tanzania tunaweza”,
Rais Magufuli aliwataka watanzania kutambua fursa za upitapo mradi wa SGR na kuwataka wafanyabiashara wakubwa, wadogowadogo, mama ntilie, kunufaika wakati wa ujenzi na mara baada ya ujenzi, na kwamba itakuwa nguzo kubwa kwa usafarishaji kwenye maeneo hayo na nchi nzima.
“Katika uchumi wa nchi yoyote duniani, Sekta ya Usafirishaji ni muhimu sana, kwa hiyo Serikali kuchukua hatua madhubuti ya kuimarisha sekta ya usafirishaji kwa kujenga reli ya kisasa, SGR, ni moja ya Mwarobaini wa kutatua changamoto ya usafirishaji mizigo na kulinda usalama wa barabara”. Alisikika mmoja wa wahandisi akiwaeleza waliowatembelea.

Baadhi ya Watalaam wanaoshirika ujenzi wa Reli ya Kisasa, SGR kutoka Tanzania na Kampuni ya Ujenzi ya Yapi Merkezi wakishuhudia zoezi la uunganishwaji wa reli ya Kisasa katika ziara ya Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Makataibu tawala takribani 400, Mei 14, 2019.
Mageuzi ya Rais Magufuli yanalenga kuwaimarisha wananchi, si tu wafanyabiashara bali hata wasafiri kwa utekelezaji wa ujenzi wa Reli ya kisasa, SGR yenye kasi ya 160km/saa utakuwa na faida kuwabwa kwani masaa 2.5 Dar es Salaam-Morogoro na masaa tisa kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, ni dhahiri kutakuwa na Furaha kubwa kwa watu kuwahi kufika Mwanza mapema badala ya saa saba usiku au kulala Shinyanga.
“Ujenzi wa Reli hii (SGR), kwa Tanzania siyo chaguo bali ni lazima, kwani hatua hii ilitakiwa ifikiwe zamani, lakini sasa Rais Magufuli ameamua kutufikisha kwenye teknolojia mpya katika sekta ya usafirishaji, kwani matatizo mengi ya barabara yanatokea kwababu ya mizigo mizito, hakuna reli imara ya kubeba mizigo hiyo, kwa hiyo ujenzi wa Reli hii ni maamuzi sahihi kwa Serikali yetu.”, Anaeleza Mkurugenzi TRC, Masanja Kadogosa.
Kadogosa anasema, Reli hiyo ambayo inatumia nishati ya umeme imekuja wakati mwafaka ikiwa Serikali inatekeleza mradi mkubwa wa kuzalisha umeme wa Mto Rufiji (Rufiji Hydroelectric Power), wenye kutoa Megawati 2,115, kwa hiyo treni hiyo itapata umeme wa kutosha.
“SGR, Ni mradi mkubwa ambao unatekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufulu kwa kutumia fedha za walipa kodi wake kwahiyo ni vyema watu wakafahamu kuwa kodi yao inaenda wapi Trilioni 7 siyo mchezo”, alisema Kadogosa.
Ili kutekeleza adhima ya kuutangaza mradi huo kwa wananchi, Mei 17, 2019, Jopo la Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri pamoja na Makatibu Tawala takribani 400 wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Seleman Jafo walitembelea kuona mradi huo ili kupeleka ujumbe kwa wananchi.
Kabla ya Safari hiyo Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa aliwapitisha kidogo wageni wake katika shule ndogo kuhusu mradi ili kutambua umuhimu wa Mradi huo kwenye sekta ya usafirishaji na kwa wananchi.
Masanja alieleza kuwa Reli hiyo inayojengwa inaenda kufuta zana mbalimbaliikiwemo ile historia ya kikoloni, kuwa reli iliyopo ilijengwa na wakoloni, lakini pia ujenzi wa Reli hiyo sasa unaenda kuimarisha sekta ya usafirishaji.
Serikali inatekeleza ujenzi huo Kwa Kipande cha Dar es Salaam-Morogoro, Morogoro-Makutupola na badae kutekeleza ujenzi huo hadi Mwanza, kilometa 1,219.
Kadogosa alisema kuwa Reli hiyo, SGR inauwezo wa kubeba tani milioni, 10,000, kwa mkupuo sawa na malori 500 yenye tani 20, Treni tano zenye tani 10,000 na kuwa na kasi kubwa ya 160km/saa, tofauti na ya sasa ambayo inakasi ya 30km/saa, kwa Afrika itakuwa ni Reli pekee yenye uwezo mkubwa kama huo, tani Miliomi 10-17 zitasafirishwa kwa mwaka, kwa hiyo SGR ni mwamba sekta ya usafirishaji nchini.
Aidha, Kadogosa alieleza kuwa ujenzi wa Reli (SGR), Dar es Salaam-Morogoro unatekelezwa na Kampuni kutoka Uturuki, Yapi Merkezi takribani Trilioni 2.7, lakini kwa sehemu nyingine ni Yapi Merkezi na Portuguese Construction Group Motel-Engil.
kukamilika kwa mradi huo kutakuwa na ufanisi mkubwa kwenye sekta ya usafirishaji nchini kwa kubeba mizigo tani nyingi lakini pia kasi yake katika kusafirisha abiria, kutoka Dar es Salaam- Dodoma treni itakuwa inafanya safari mara nane kwa siku, kwa hiyo ni hatua kubwa kwa sekta ya usafirishaji.
Kadogosa alizitaja baadhi ya Faida za Mradi huo Kwa sasa kwa wananchi na uchumi wa nchi kwa ujumla kwani kwa sasa watanzania walioko sehemu za ujenzi wanafaidika na kupeleka malighafi za ujenzi, mama ntilie kupika chakula na biashara zingine,
“Takribani mifuko ya simenti milioni, 9,200,000 ambayo ni sawa na tani 600, nondo kilo milioni 115 sawa na tani 1500 na mataluma 1,400,000, kutoka kwa wasambazaji wa malighafi hizo takribani 500, wafanyakazi 10, 000, huku asilimia 94 ya wafanyakzi hao ni watanzania, pia asilimia 48 ya wataalam ni watanzania, kwa hiyo pamoja na mradi huu kuwa nguzo imara ya usafirishaji nchini, SGR imekuja kutoa Fursa za ajira kwa watanzania”, Alisema Kadogosa.
Kadogosa alisema kuwa mradi huo ni mkubwa na uwezo wake ni wa juu, na sasa matatizo ya usafarishaji nchini yatapata suluhu kubwa, kuimarisha na kulinda barabara nchini.
Katika sekta ya usafirishaji wa mizigo hasa ile mikubwa inayotoka bandarini kwenda sehemu zingine za nchi na mengine nje ya nchi, kwani kuwepo kwa Reli imara itasababisha utendaji kazi wa bandari kuwa na ufanisi mkubwa, “Bandari inategemea kuwepo kwa miundombinu imara kwa upande wa nchi kavu, hakuna ufanisi wa Bandari bila kuwa na Reli imara, Serikali imeliona hilo ndiyo maana ikaamua kutekeleza haraka ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na Reli yetu hii inabeba mizigo mingi Takribani Tani Milioni 17 kwa mwaka, hakuna Reli kama hii Barani Afrika” Kadogosa.
Pingback: generic viagra cost
Pingback: is there a generic cialis
Pingback: viagra 100mg
Pingback: online ed medications
Pingback: cheap erectile dysfunction pill
Pingback: cialis for sale
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: Buy cialis
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: sugarhouse casino online
Pingback: discount viagra
Pingback: online slots real money
Pingback: live casino slots online
Pingback: cialis online
Pingback: personal loans
Pingback: loans online
Pingback: cash advance
Pingback: viagra 100mg
Pingback: cialis 20
Pingback: cialis internet
Pingback: real money blackjack app iphone
Pingback: Bovada
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: new cialis
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: clydesfog
Pingback: viagra reviews
Pingback: online casino real money
Pingback: real money casino games
Pingback: casino game
Pingback: real online casino
Pingback: cheapest viagra online
Pingback: cheap generic viagra
prescription drugs without doctor approval – generic ed pills
Pingback: order viagra
ed clinics – pharmacy online
Pingback: viagra buy
viagra prices: viagra pills
Pingback: buy viagra on line
Pingback: levitra
can you wait more than one hour after take viagra
how to buy viagra online https://viaonlinebuy.us/ generic viagra online
viagra in action
what is better cilias or viagra
viagra connect where to buy
what is the best website to buy viagra
low priced viagra canada pharmacies
viagra canada
viagra gay
cheap viagra canadian pharmacy
https://viaonlinebuy.us/# – viagra for sale
teva generic viagra
http://metformintop.com/ – metformin pill
I like what you guys are up too. This sort of clever work and exposure! Keep up the good works guys I’ve incorporated you guys to our blogroll.
http://ventolintop.com/ – purchase ventolin inhaler
does walgreen or cvs sell viagra
generic viagra online
want to buy viagra
para que es el viagra
viagra price https://viaonlinebuy.us canadian viagra
what is the composition of viagra
free cialis – cialis
plaquenil for sale – hydroxychloroquine buy online
how do i get viagra
https://viaonlinebuy.us/# – brand viagra
where can i buy viagra single packs
Pingback: best place to buy viagra online without a prescription
viagra with cials
viagra and amlodipine
is viagra over the counter in usa
how to take cialis: cialis online
who created viagra
where is viagra manufactured
safer option than viagra
I really like what you guys are usually up too. This kind of clever work and reporting! Keep up the wonderful works guys I’ve incorporated you guys to our blogroll.
canadian pharmacy generic viagra
where to buy viagra connect in gainsville, ga?
what happens after viagra patents is expired
what works better than viagra
buy viagra online cheap
what to expect when husband takes viagra
how does ingesting viagra affect women
viagra harden dick asstr
viagra video before and after
viagra prijs
buy viagra http://www.v1agrabuy.com buy viagra cheap
how to buy viagra on amazon
viagra generic generic viagra
cialis vidalista cheap cialis
where is the expiration date on viagra package
generic viagra pills
what is the right dose for viagra
viagra brother or sister or daughter or son or mother or father
is there a viagra for females
watermelon natural viagra
viagra side effects heart
generic viagra without subscription walmart https://www.v1agrabuy.com buy viagra cheap
how long does the effects of 25 mg viagra last
where to buy viagra online – viagra without a doctor prescription otc viagra
how many drs actually prescribe viagra for blood pressure
viagra pills https://viaonlinebuy.us/ online viagra
viagra similar
what is a viagra connect assessment
https://viaonlinebuy.us/# – buy generic viagra
viagra coad
I simply couldn’t go away your site prior to suggesting that I actually loved the standard information an individual supply in your guests? Is gonna be again continuously to check up on new posts
what is better viagra cialis or levitra
who discovered viagra
why is viagra covered by health insurance
interaction amlodipine and viagra
https://viaonlinebuy.us/# – viagra 100mg
necesito receta para comprar viagra en estados unidos
how does viagra inhibit pde5
buy generic viagra viaonlinebuy.us viagra online
viagra 50mg online
liquid cialis source reviews 30 day cialis trial offer – cialis 100 mg lowest price
Pingback: Cialis 60 mg prices
buy generic viagra: viagra viagra without a prescription
buy medication online
female viagra walgreens
hims viagra
can you buy viagra ub florida without a prescribtion
how much viagra to take bodybuilding
generic viagra https://trusttnstore.com/ viagra cheap
viagra how to use
why does the military pay for viagra
viagra water
what is viagra super active
Hello! Someone in my Myspace group shared this website with us so I came to check it out. I’m definitely enjoying the information. I’m book-marking and will be tweeting this to my followers! Wonderful blog and terrific design.
how much does the pentagon spend on viagra
cialis online https://ecuadortenisclub.com/3f3oa click this site
cvs pharmacy viagra
viagra prix en pharmacie france viagra generique livre sous 48h viagra sans ordonnance
viagra cialis combo pack
buy viagra online
how soon before sex do you take viagra
generic pills for ed buy generic pills
who is the woman in the viagra commercial
viagra substitutesildenafil coupons https://popularedstore.com/ tadalafil generic at walgreenscheap cialis
what does it mean when it takes a long time for viagra to work
do you need prescription for viagra in bahamas?
tadalafil tablets viagra dosage https://edphrm.com/ sildenafil citrate 20 mg
cost of viagra in military online viagra pharmacy
does health insurance cover viagra quora when does generic viagra come out
marley generics sildenafil https://popularedstore.com/ cialis for sale
husbands too embarrassed to get viagra how do i get it farmacias batres chimaltenango precio del viagra
what is the difference bet cialis and viagra
buy tadalafil https://ingogf.com/ when will generic viagra be available sildenafil citrate 100mg generic
how do i know if i need viagra
Pingback: tadalafil 5mg
fda approved generic viagra viagra and blindness
stendra vs viagra https://edphrm.com/ viagra samples generic viagra sildenafil citrate
viagra without a perscription how many milligrams of viagra do i need
NueJra http://pills2sale.com/ viagra cialis buy
Pingback: celebrex 200mg online
Pingback: casino online games
generic viagra without a doctor prescription buy ed pills online buy generic viagra
cheap erectile dysfunction pill
Pingback: casinos
how long will viagra last how much does viagra cost at rite aid what is an alternative to viagra that works? what does viagra do to man
Pingback: state car insurance quotes
Pingback: wellbutrin 300 mg online pharmacy
Pingback: where can i buy zanaflex
Pingback: zyprexa 20 mg otc
Pingback: zyvox uk
Pingback: sildenafil prices
Pingback: escitalopram 5mg for sale
Pingback: where can i buy aripiprazole 20mg
canadian online pharmacies cheap viagra online canadian pharmacy online pharmacy without scripts
canadian drug pharmacy medical pharmacy ed drugs
Pingback: where can i buy leflunomide
Pingback: donepezil 5 mg otc
Pingback: where to buy irbesartan 150mg
Pingback: buspirone 10 mg coupon
Pingback: cefuroxime price
Pingback: citalopram united states
Pingback: prochlorperazine over the counter