
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (kushoto), akimkabidhi pesa ya kulipia gharama za kuunganishiwa umeme mzee mwenye umri wa miaka 109, Ramadhan Manga, mkazi wa kijiji cha Muungano, Morogoro Vijijini kutokana na uzalendo aliouonesha, kuruhusu mazao yake yakatwe kupisha njia ya umeme, pasipo kudai fidia. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya kazi, Agosti 28, 2019.
Na Veronica Simba – Morogoro
Serikali imetoa rai kwa kampuni zinazotandaza mfumo wa nyaya za umeme kwenye majengo maarufu kama ‘wiring’ kuangalia uwezekano wa kupunguza gharama zao hususan kwa wananchi walioko vijijini ili waweze kuzimudu.
Rai hiyo ilitolewa Agosti 28 mwaka huu na Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu, wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani Morogoro.

Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (kushoto), akimhamasisha mkazi wa Msonge, Morogoro Vijijini, kuutumia umeme aliounganishiwa kuboresha biashara yake ya kuchakata mafuta ya mawese, kwa kununua mashine ndogo badala ya kutumia mkono, ili kuboresha kipato chake. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya kazi, Agosti 28, 2019.

Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (mbele), akiwa amefuatana na ujumbe wake wa viongozi na wataalamu wa serikali, kwenda kuzungumza na wananchi wa kijiji cha Muungano, Morogoro Vijijini (hawapo pichani), akiwa katika ziara ya kazi, Agosti 28, 2019.
Alisema kampuni hizo zinatakiwa kutambua kuwa serikali imezitengenezea fursa kutokana na kupeleka miundombinu ya umeme maeneo ya vijijini, la sivyo wasingepata wateja hivyo nazo zinawajibika kuangalia hali za wananchi hao kwa kuiga mfano wa serikali ambayo imewapunguzia gharama za kuunganisha umeme kutoka shilingi 177,000 hadi kufikia 27,000 tu.
“Hizi bei za laki mbili hadi tatu, kwakweli siyo rafiki kwa wananchi wengi wa vijijini ambao serikali imewapunguzia gharama za kuunganishiwa umeme kutokana na uwezo wao. Sasa hawa wenzetu watafakari, itafika mahala umeme utafika, wananchi wanaounganishwa ni wachache na wao watakosa biashara.
Naibu Waziri aliiomba Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), kuangalia namna ya kusaidia jambo hilo. “Hatuna nia ya kuwadhibiti moja kwa moja, lakini waangalie ili bei ziendane na hali za watanzania vijijini pamoja na malengo ya kiserikali,” alifafanua.

Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (wa pili-kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni ya State Grid Electrical & Technical Works Ltd, WinGod Siyao (wa pili-kulia), anayetekeleza mradi wa umeme Morogoro Vijijini kuhusu hatua iliyofikiwa katika kazi hiyo. Naibu Waziri alikuwa katika ziara ya kazi eneo la Tununguo, wilayani humo, Agosti 28, 2019.

Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (katikati), na ujumbe wake, wakikagua miundombinu ya umeme katika kijiji cha Tambuu, Wilaya ya Morogoro Vijijini, alipokuwa katika ziara ya kazi, Agosti 28, 2019.
Katika hatua nyingine, Naibu Waziri aliwataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme vijijini nchini kote kuongeza kasi na kusema kuwa serikali haitawaongezea muda bali itaendelea kusimamia makubaliano baina yao, kwamba ifikapo Desemba mwaka huu, wawe wamekamilisha ujenzi wa miundombinu husika na kubaki kazi za kuwaunganisha wateja.
Aidha, alitoa rai kwa wananchi vijijini ambao wameshafikiwa na miundombinu ya umeme wachangamkie fursa kwa kulipia shilingi 27,000 tu ili waunganishwe na kuutumia umeme kujiletea maendeleo.
“Wakati mwingine inatunyong’onyesha tunapokuta baadhi ya maeneo watu wana uhitaji mkubwa wa umeme lakini miundombinu haijawafikia na sehemu nyingine mradi umefika, watumiaji wachache.”

Wananchi wa Kijiji cha Tambuu, Morogoro Vijijini, wakitawanyika, baada ya kushuhudia tukio la Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu (hayupo pichani), kuwasha rasmi umeme kijijini hapo, Agosti 28, 2019.
Vilevile, Naibu Waziri aliwasisitiza mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ngazi ya wilaya na mikoa, kuendelea kutekeleza agizo la serikali la kuwaunganishia umeme wananchi wa vijijini kwa bei ya shilingi 27,000 tu pasipo kuwalipisha nguzo na vifaa vingine.
Pia, alitoa onyo kwa mameneja kuacha kuwajibu wananchi wanaopeleka maombi ya kuunganishiwa umeme kwa gharama iliyoainishwa na serikali, kuwa bado hawajapata waraka husika. Alisema, Waraka wameshaupata na umeainisha gharama hiyo itumike kwa maeneo ya vijijini.
“Ni marufuku hiyo lugha ya kwamba waraka haujafika, au kwamba hiyo ni siasa, au kwamba hii ni ndani ya mita 30 au 40,” alisisitiza.
Alisema, suala la msingi wanalopaswa kufanya mameneja hao ni kuwaelewesha wananchi kwamba maombi yao yamepokelewa na wanapanga mikakati ya kuwafikishia huduma ya umeme maana ni wajibu wao kutumia ubunifu na kujipanga namna ya kuwafikia wateja, hususan wenye mahitaji ya nguzo nyingi.
Aliwahakikishia watanzania kuwa agizo la kulipia shilingi 27,000 tu kuunganishiwa umeme vijijini linatekelezeka na kwamba wale wanaohitaji nguzo nyingi wanapangiwa mpango wa kufikiwa, bali wote watahudumiwa kwa bei hiyo.
Kwa upande wake, Kaimu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Lawrence Maro, alisema ofisi yake imepokea maelekezo yote ya Naibu Waziri na kuahidi kuwa watayatekeleza kikamilifu.
“Tangu agizo la kuwaunganisha wateja wa vijijini kwa shilingi 27,000 litolewe, tumeshaunganisha wananchi 3,195 katika kipindi cha mwezi Mei, Juni na Julai mwaka huu. Tunaendelea na zoezi hilo, hivyo wananchi wenye uhitaji njooni mtuone na tutawahudumia,” alisema.
Katika ziara hiyo ya siku mbili, Naibu Waziri aliwasha umeme katika vijiji kadhaa pamoja na kuzungumza na wananchi wa maeneo ambayo hayajafikiwa na miundombinu ya umeme ambapo aliwaeleza mikakati iliyopangwa na serikali kuwafikishia huduma hiyo.
Pingback: cialis pills
Pingback: cialis pill
Pingback: Rx generic viagra
Pingback: Canadian healthcare viagra sales
Pingback: cialis savings card
Pingback: viagra generic
Pingback: viagra 100mg
Pingback: canada pharmacy
Pingback: cvs pharmacy
Pingback: cialis visa
Pingback: vardenafil online
Pingback: online levitra
Pingback: vardenafil usa
Pingback: real casinos online no deposit
Pingback: viagra 100mg
Pingback: online casino games real money
Pingback: online casino games real money
Pingback: cialis 20mg
Pingback: cash payday
Pingback: cash advance
Pingback: quick cash loans
Pingback: viagra for sale
Pingback: play online casino real money
Pingback: cialis internet
Pingback: what are some good online gambling sites
Pingback: cialis internet
Pingback: online casinos real money
Pingback: cialis generic
Pingback: 20 cialis
Pingback: live roulette no deposit required
Pingback: what is viagra
Pingback: online casinos real money
Pingback: online casino games
Pingback: casino online
drugs for ed – levitra without a doctor prescription
Pingback: buy cialis online reddit
Pingback: tadalafil citrate
http://metformintop.com/ – metformin buy australia
Pingback: viagra buy
information about viagra
buy viagra online cheap
how long does viagra take
Pingback: buy cialis online
at what moment should i take viagra
where to buy viagra in cancun mexico
viagra coupons cvs
mom,dad and viagra video
generic viagra for sale viaonlinebuy.us viagra
does viagra make your dick bigger
Pingback: viagra pills 100 mg
http://metformintop.com/ – metformin generic cost
Pingback: tadalafil 40 mg
can viagra cause a stroke
viagra cost
viagra when first sold
Pingback: real online casino
l-arginine l-citrulline viagra
cheap viagra generic https://viaonlinebuy.us cheap viagra
female viagra in energy drink prank porn
You made some decent points there. I checked on the web for more info about the issue and found most people will go along with your views on this web site.
Pingback: buy viagra from cvs
30 mg cialis what happens: cialis online
how much does the military spend on viagra
mercadolibre viagra
when will viagra become generic
clomid uk: buy clomid
Pingback: http://droga5.net/
lm360.us http://lm360.us/
zithromax capsules price: buy cheap generic zithromax
sildenafil 100mg coupons walgreen https://www.jueriy.com/
viagra fast shipping
where can i fet viagra online
why would a woman take viagra
Pingback: where to buy genuine viagra in bangkok
viagra online canada: viagra online usa
after using viagra how hard of an erection
buy viagra no prescription
how does sildenafil citrate 20mg compare to viagra 100mg
online viagra prescription generic viagra
Pingback: cheap Viagra 25 mg
which is cheaper viagra or cialis
viagra pills https://viaonlinebuy.us/ online viagra
what was the main reason young college men used viagra recreationally:
Pingback: Viagra 100mg generic
how soon after surgery can i take viagra
online viagra viaonlinebuy.us viagra
who is bob for viagra
Awing! Its authentically awe-inspiring article, I consume got a good deal bring in estimate on the
topic of from this article. http://www.stdstory.com/
best place to buy generic viagra online: generic viagra pills viagra professional
ambien without a doctor’s prescription: ed natural treatment best canadian pharmacy online
Pingback: Viagra 50mg online pharmacy
low cost generic viagra https://mymvrc.org/
It’s going to be finish of mine day, but before end I am reading this fantastic paragraph to increase my knowledge. http://grassfed.us/
buy viagra uk
buy hydroxychloroquine online uk https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
herbal replacement for viagra/cialis/levitra… cialis coupons printable – liquid cialis source reviews
Appreciation to my father who informed me on the topic of this weblog,
this web site is actually amazing. https://buszcentrum.com/
Hello, I enjoy reading through your article. I wanted to write a little comment to support you. https://www.wisig.org/
Pingback: cheap cialis
she likes my viagra
where to buy viagra in canada
buying viagra online uk
viagra 150 mg dose
generic viagra trusttnstore.com online viagra
viagra how to buy
Pingback: canadian pharcharmy online viagra
viagra doses 200 mg viagra without prescription goodrx viagra
Pingback: tadalafil tablets
when is the best time to take cialis cialis where to get cialis sample
what type of drug is viagra
sildenafil citrate generic viagra 100mg https://cialisdendi.com/ cialis viagra online
can taking viagra cause damage irish viagra
Pingback: catapres canada
erectile medication bimix erectile pills over the counter erectile doctors
Pingback: cipro 1000mg uk
Pingback: online casino games real money
Pingback: slot machine
Pingback: order zyloprim
Pingback: where can i buy zyprexa
Pingback: tadalafil 60mg pharmacy
Pingback: furosemide 40 mg online pharmacy
canada pharmacy online the drug store online pharmacy viagra
canada pharmacy reviews canada online pharmacy family pharmacy
viagra 100mg erfahrungsberichte
viagra without subscription
viagra generic vs pfizer Situg Kig
Pingback: cefuroxime 500 mg for sale