Na Mwandishi Wetu, MAELEZO
Serikali imesisitiza umuhimu wa mafunzo zaidi kwa wataalamu wa ukaguzi na udhibiti ili kuhakikisha dawa zinazoingizwa na kutengenezwa nchini zina ubora kwa kuzingatia viwango na vigezo vilivyowekwa.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Ulisubisya Mpoki amesema kuwa moja ya changamoto kubwa zinazozikabili nchi nyingi barani Afrika katika kuwapatia wananchi wake huduma bora za afya ni ukosefu wa wataalamu wa kutosha wa ukaguzi wa dawa hivyo mafunzo ya wataalamu hao hayana budi kupewa kipaumbele.
“Tanzania tunaagiza asilimia themanini ya mahitaji yetu ya dawa na kutengeneza kiasi kilichobaki hivyo suala la weledi katika ukaguzi na udhibiti wa dawa ni jambo linalopaswa kupewa umuhimu mkubwa” Dk. Mpoki alisema.
Katibu Mkuu huyo amesema hayo leo wakati akifungua rasmi mafunzo ya siku tisa ya ulinganishaji wa viwango vya dawa kwa wakaguzi na wataalamu wa udhibiti wa dawa kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayofanyika katika kituo Mahsusi cha Kanda cha Ukaguzi na Udhibiti wa Dawa kwa Afrika Mashariki kilichopo Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi ya Afya, Muhimbili.
Kwa hivyo amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia kwa makini mafunzo hayo kwa kuwa yatawaongezea uwezo wa kuhakikisha dawa zinazotumiwa wananchi wa nchi zao ni zenye ubora na salama.
“Tumieni fursa ya mafunzo haya kuhakikisha mnapata ujuzi wa kutosha utakaowawezesha kufanya maamuzi sahihi katika kuamua ubora wa dawa katika nchi zenu” Dk. Mpoki alisisitiza.
Aliongeza kuwa kuanzishwa kwa kituo hicho ni hatua muhimu ya kukabiliana na changamoto hiyo na kueleza utayari na dhamira ya Serikali ya kuendelea kukiunga mkono kituo hicho ili kiweze kutimiza majukumu yake.
Wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Hiiti Sillo amesema lengo la kituo hicho ni kufundisha wataalamu wengi zaidi kutosheleza mahitaji ya nchi wanachama ili kuhakikisha kazi ya ukaguzi na udhibiti wa ubora wa dawa unaimarika katika nchi hizo.
Alifafanua kuwa katika Programu ya Ulinganishi wa Dawa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, TFDA ndio taasisi kiongozi wa kuratibu na kusajili dawa.
Aliongeza kuwa uamuzi wa TFDA kupewa dhamana hiyo unatolaka na uwezo wa kitaalamu na miundombinu iliyopo nchini katika kutekeleza jukumu hilo.
Mkurugenzi Mkuu huyo alibainisha kuwa kituo hicho ambacho kilianzsihwa mwaka 2014 na kuanza shughuli zake mwaka 2015 na kinaendeshwa kwa pamoja kati Jumuiya ya Afrika Mashariki, TFDA na Shule ya Phamasi ya Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili.
Pingback: viagra or viagra
Pingback: generic cialis canada
Pingback: Approved viagra pharmacy
Pingback: best ed pills at gnc
Pingback: new ed pills
Pingback: buy erection pills
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: Buy cialis online
Pingback: vardenafil cost
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: real money casino games
Pingback: generic viagra reviews
Pingback: casino online games
Pingback: free slots
Pingback: cash loans
Pingback: loans online
Pingback: slot machines
Pingback: roberttismups
Pingback: best real casino online
Pingback: cialis buy
Pingback: cialis buy
Pingback: cialis internet
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: golden nugget online casino
Pingback: best casino online
Pingback: slot games
Pingback: cheap viagra online canadian pharmacy
cheap viagra online canadian pharmacy buy generic viagra online best over the counter viagra
viagra without a doctor prescription canada no prescription viagra cheap generic viagra
hard erections cialis generic cialis for sale cialis and interaction with ibutinib
viagra cost viagra generic viagra online for sale
ed meds online viagra without a doctor prescription walmart viagra without doctor prescription amazon