
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza wakati alipomwakilisha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango katika uzinduzi wa machapisho ya uchambuzi wa bajeti katika sekta ya jamii iliofanyika leo jijini Dodoma.
Na Jacquiline Mrisho
Serikali imeweza kufanya tahtmini na kubaini kuwa jitihada zilizofanyika zimeweza kupunguza udumavu na vifo vya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano kwa asilimia 50.
Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dodoma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipokuwa akimuwakilisha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango katika uzinduzi wa machapisho ya uchambuzi wa bajeti katika sekta ya jamii.
Waziri Ummy amesema kuwa katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na upungufu wa viwango vya matatizo ya lishe kwa baadhi ya viashiria ambapo moja ya viashiria vya kupungua kwa matatizo ya lishe ni kushuka kwa tatizo la udumavu, uzito pungufu pamoja na ukondefu wa mwili miongoni mwa watoto.

Baadhi ya washiriki waliohudhuria ufunguzi huo wakisikiliza hotuba kutoka kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa machapisho ya uchambuzi wa bajeti katika sekta ya jamii iliofanyika leo jijini Dodoma.
“Kama tunavyofahamu udumavu huathiri ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili na kupunguza uwezo wa kufanya vizuri shuleni pamoja na kupunguza ufanisi wake katika maisha ya utu uzima, hivyo kutokana na juhudi za Serikali na wadau mbalimbali tumeweza kupunguza udumavu kwa kiwango cha asilimia 50 ambapo kwa sasa kuna wastani wa watoto watatu wenye udumavu kati ya watoto 10 walio chini ya umri wa miaka mitano,” alisema Waziri Ummy.
Waziri Ummy ameongeza kuwa ingawa bado kuna changamoto kubwa miongoni mwa kundi la watoto kwa sababu ya idadi yao kuwa kubwa, kushuka kwa kiwango cha udumavu ni jambo la kujivunia kwani hali hiyo inaonesha kuwa jitihada za kupambana na tatizo hilo zimezaa matunda.
Akizungumzia kuhusu machapisho hayo, Waziri Ummy amefafanua kuwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na UNICEF walifanya uchambuzi wa bajeti katika sekta mtambuka ya jamii hususan katika Elimu, Afya, Virusi vya Ukimwi, Maji na Usafi wa mazingira na lishe kwa lengo la kuboresha upangaji na utekelezaji wa masuala ya Mama na Mtoto katika mipango na Bajeti.
Akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa za Michezo, Susan Mlawa amesema kuwa machapisho hayo yanatoa Muhtasari wa Bajeti katika sekta mtambuka ya maendeleo ya jamii kwa kipindi cha kati ya mwaka wa fedha 2013/2014 na 2017/2018.
“Machapisho hayo yameelezea kuhusu kubaini kiasi cha fedha zilizotengwa na kutolewa katika bajeti kwa maeneo muhimu ya sekta ya jamii ambayo ni Elimu, Afya, Virusi vya Ukimwi na Ukimwi, Lishe, Maji na Usafi wa mazingira, kutoa Muhtasari wa Bajeti, kuishauri Serikali katika Sera, Mipango na bajeti yenye kuzingatia kuwapatia watoto makuzi bora na ulinzi kwa Mama na watoto katika jamii pamoja na kutoa elimu kwa wadau mbalimbali,” alisema Susan.
Akiwawakilisha wadau wengine, Mwakilishi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF), Maniza Zaman amesema kuwa shirika hilo limekuwa likifuatilia kwa karibu matumizi ya fedha za Umma zinazoelekezwa kwa watoto.
Zaman amefafanua kuwa katika kutekeleza na kuzingatia dira ya Serikali 2025 inayolenga ukuaji wa viwanda na kufikia uchumi wa kati, kumekuwa na hitaji la kuboresha huduma za afya, elimu pamoja na kuondoa changamoto zinazowakabili watoto na vijana nchini ili waweze kuimarisha afya zao pamoja na kuchangia katika maendeleo ya taifa hivyo mapendekezo yaliyotolewa katika machapisho hayo yanalenga kutekeleza lengo hilo.
Machapisho hayo yameandaliwa na Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikisha Wizara za Kisekta; Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Tume ya UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC).
Pingback: Best way to take viagra
Pingback: cialis prices
Pingback: cialis price walmart
Pingback: otc cialis
Pingback: Pfizer viagra
Pingback: cialis savings card
Pingback: cialis for sale
Pingback: how much does cialis cost at walmart
Pingback: generic cialis cost
Pingback: printable cialis coupon
Pingback: cheap viagra
Pingback: best ed pills at gnc
Pingback: ed meds online without doctor prescription
Pingback: otc ed pills
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: buy levitra online
Pingback: online casino usa
Pingback: real money casino app
Pingback: viagra discount
Pingback: real online casino
Pingback: casino online slots
Pingback: cialis buy cialis
Pingback: quick cash loans
Pingback: cash loans
Pingback: pay day loans
Pingback: viagra pills
Pingback: buy cialis
Pingback: what is the best online bingo site
Pingback: cialis internet
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: real money casinos
Pingback: online casinos usa
Pingback: slot machines
Pingback: real money online casino
Pingback: casino online
Pingback: cheap generic viagra
Pingback: sildenafil generic
Pingback: viagra prescription
Pingback: cheapest viagra
Pingback: buy viagra online canada
Pingback: cialis buy cialis
which pharmacy has viagra for cheap
when to take viagra
should viagra be taken with food
where can you pick up viagra pills
https://viaonlinebuy.us/# – when to take viagra
what do disney world and viagra have in common?
mdma and viagra
viagra overnight delivery usa
can viagra cause cancer
Its like you read my thoughts! You seem to know a lot about this, such as you wrote the guide in it or something. I feel that you just could do with a few p.c. to pressure the message house a little bit, however instead of that, that is excellent blog. A fantastic read. I will definitely be back.
where to purchase viagra
viagra samples
female viagra prank on girlfriend nate garner
Pingback: where to buy viagra over the counter in canada
Pingback: gambling games
Pingback: online gambling
viagra pyronies disease
puscifer “v” is for viagra. the remixes
which is better viagra cialis or levitra
Thank you for the auspicious writeup. It in fact was a amusement account it.
Look advanced to far added agreeable from you! By the way, how can we communicate?
Also visit my page; bovada nba rookie of the year (https://internetcasinodude.com/)
what is the name of the company that makes viagra
how to buy viagra
gnc viagra
viagraeiu.com http://viagraeiu.com/
At this moment I am going away to do my breakfast, afterward having my breakfast
coming yet again to read more news. http://grassfed.us/
hydroxychloroquine antiviral https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Pingback: online viagra
buy viagra online reddit
cheap viagra viaonlinebuy.us cheap viagra
how to purchase generic viagra from india – cenforce
viagra name brand price
pictures of generic viagra
how do i know if my viagra is working
how does viagra work on your body
buy viagra https://viaonlinebuy.us cheap viagra
how to get prescribed viagra thru va
It’s hard to find well-informed people for this topic, but you sound like you know
what you’re talking about! Thanks https://azhydroxychloroquine.com/
Pingback: viagra 100mg
Historically, a limited understanding of the biology
mechanics of erections restricted the handling of ED to vacuum-bottleneck devices, medicine implants,
intracavernosal injections, and intraurethral suppositories.4 Since its advent,
the sort of agents known as type-5 phosphodiesterase (PDE5) inhibitors has revolutionized the
management of ED. PDE5 inhibitors throw get the first-short letter therapy for ED, as recommended by the Solid ground Urological Connexion (AUA) and the European Tie of Urogenital
medicine http://lm360.us/
Pingback: cialis 20mg
what are the side effect of viagra
sildenafil
what works as good as viagra
It’s actually a great and helpful piece of info. I’m satisfied that you shared
this helpful information with us. Please keep us up to date like
this. Thank you for sharing. http://cleckleyfloors.com/
purchase viagra
viagra cheap
who funds viagra
medicine keflex 500 mg https://keflex.webbfenix.com/
viagra increase size
pop over to these guys
viagra how young is too young
anti viagra pill
viagra for women https://goeedl.com/ viagra erection after ejaculation
can i use revatio as viagra? how much is viagra per pill at cvs
viagra on rx how old do you have to be to take viagra
buy sildenafil citrate 100mg online https://ingogf.com/ viagra 100mg
how effective is outdated viagra
Pingback: how to buy catapres
Pingback: zanaflex 2mg tablets
Pingback: find more info
Pingback: buy zyloprim
Pingback: where can i buy zyprexa
cefixime by mail mexico https://ceefexime.co/
Pingback: furosemide usa
universal drugstore п»їviagra online canadian pharmacy online pharmacy drugstore
canadian pharmacy generic viagra sex ed cheap rx
online pharmacy drugstore cheap viagra online canadian pharmacy 24 hr pharmacy near me
Pingback: fexofenadine united kingdom
california pharmacy erectile dysfunction drug canadian pharmacy cialis
drug rx best ed medication cheap rx
Pingback: meclizine 25 mg nz
Pingback: buspirone 10 mg coupon