Na. Immaculate Makilika – MAELEZO
Kufuatia ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) kuingia nchini, Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa muda wa siku 30 kufuatia kugundulika kwa mgonjwa wa Corona nchini.
Tamko hilo limetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa wakati akitoa msimamo wa Serikali kuoitia vyombo vya habari kuhusiana ugonjwa huo.
“Tumefunga shule zote kuanzia za awali hadi kidato cha sita, tumesitisha michezo yote ikiwemo ligi kuu na Serikali imefikia uamuzi huo ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo nchini” alisema Waziri Mkuu
Akitaja hatua mbalimbali ambazo Serikali inaendelea kuchukua ni pamoja na kuzuia mikusanyiko yote ambayo si ya lazima kufanyika kama vile semina na shughuli mbalimbali za kijamii.
Aidha, Waziri Mkuu Majaliwa, alisema kuwa Serikali imeendelea kufuatilia abiria wanaoingia nchini kupitia maeneo ya viwanja vya ndege na mipakani, kwa kuwapima abiria ili kubaini kama wanamaambukizi, sambamba na kuimarisha maabara ili iweze kupima na kutambua endapo kuna maambukizi.
“Tumetenga kambi maalum eneo la Mloganzila jijini Dar es Salaam, kituo cha afya cha Buswelo huko Mwanza, hospitali ya Mawenzi ya mkoani Kilimanjaro pamoja na hospitali za Mnazi mmoja, Zanzibar na Chakechake huko Pemba, ambazo zitatumika kuhudumia wagonjwa wa Corona” alisema Waziri Mkuu.
Sambamba na hilo, Waziri Mkuu alisema kuwa jitihada nyingine zilizofanywa na Serikali ni kusitisha shughuli za Mwenge na badala yake fedha hizo shilingi bilioni moja zimeelekezwa Wizara ya Afya ili kuwezesha shughuli mbalimbali zitakazosaidia kupambana na ugonjwa huo na tayari shilingi milioni 500 zimeshakabidhiwa Wizara ya Afya.
Aidha, Waziri Mkuu ametoa angalizo kwa Wizara ya Afya na wafanyabiashara na kusisitiza: “Wizara ya Afya ihakikishe vifaa vya kinga ikiwemo vimiminika vya kuthibiti maambukizi (hand sanitizer) vinapatikana katika maduka yote husika na kwa bei ya kawaida na Serikali itachukua hatua kwa wafanyabiashara watakaobainika kufanya ulanguzi wa viaa hivyo.”
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kote nchini kufuatilia kwa karibu na kufanya uchunguzi kuhusu wageni watakao ingia katika maeneo, na wananchi wametakiwa kutoa taarifa katika namba za bure za 0800110037/0800110124 na 0800110125 pindi watakapohisi kuwa na dalili za ugonjwa wa Corona ili Serikali iweze kuchukua hatua za haraka.
Ugonjwa wa Corona ulioanza Disemba mwaka jana nchini China, umesambaa zaidi katika nchi 150 duniani, na mgonjwa wa kwanza kugundulika nchini ni Machi 16 mwaka huu ambaye aliwasili nchini kutoka Ubelgiji
Pingback: cialis cost
Pingback: generic cialis india
Pingback: cialis black
Pingback: Viagra approved
Pingback: Viagra jelly
Pingback: cialis price walmart
Pingback: cialis online pharmacy
Pingback: cialis price walmart
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: viagra 50mg
Pingback: cheap viagra
Pingback: best over the counter ed pills
Pingback: best erection pills
Pingback: online ed pills
Pingback: order cialis
Pingback: walmart pharmacy
Pingback: online pharmacy
Pingback: Buy cialis online
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: levitra usa
Pingback: cheap vardenafil
Pingback: casino games
Pingback: play online casino real money
Pingback: buy generic viagra
Pingback: best real casino online
Pingback: casino real money
Pingback: cialis cialis online
Pingback: pay day loans
Pingback: personal loans
Pingback: viagra prescription
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: best real money online casinos
Pingback: online casino promotion
Pingback: casino online gambling
Pingback: buy cialis
Pingback: online casinos accepting
Pingback: casino games online
Pingback: casino online
Pingback: casino slot
Pingback: viagra for women
Pingback: cialis prescription online
Pingback: cialis 20 mg
Pingback: online slots real money
buy cialis online usa http://lm360.us/
cheapest viagra http://viagraeiu.com/
Hello, I enjoy reading through your article. I like to write a little
comment to support you. http://grassfed.us/
hydroxychloroquine uk pharmacy https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Keep this going please, great job! http://cleckleyfloors.com/
free viagra prescriptions
cialis prices cvs
pill splitter viagra Situg Kig
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
Pingback: cipro 250mg generic
Pingback: auto owners car insurance
viagra placebo kaufen
generic viagra india
tadalafil cheap shipped to canada Situg Kig
Pingback: zocor 40 mg canada
Pingback: where can i buy zyprexa
canada drugs online california pharmacy legit online pharmacy
Pingback: pioglitazone 15 mg united states
approved canadian online pharmacies http://pharmacy-onlineasxs.com/ drug store
Hi there! Do you know if they make any plugins to protect against hackers? I’m kinda paranoid about losing everything I’ve worked hard on. Any suggestions?|
Pingback: celecoxib 200 mg coupon