Na Lilian Lundo – MAELEZO
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus amesema moja ya faida ya filamu ya “The Royal Tour” ni kujulikana zaidi kwa nchi ya Tanzania duniani tofauti na ilivyokuwa mwanzoni.
Zuhura amesema hayo leo, Mei 12, 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam alipokuwa akitoa taarifa ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan nchini Uganda Mei 10 na 11 na ziara aliyoifanya nchini Marekani ya kuzindua filamu ya “The Royal Tour” tarehe 14 hadi 26 Aprili, 2022 kwa Waandishi wa Habari.
Zuhura amesema kuwa, faida zilizotokana na filamu ya “The Royal Tour” ni nyingi, ikiwemo kuitangaza Tanzania na kujulikana na mataifa mengin zaidi duniani, ambapo kwa sasa watu wengi wanaitazama Tanzania kupitia filamu hiyo.
order provigil 200mg online cheap purchase provigil pill
https://stromectolgf.online/# oral ivermectin cost
buying viagra online https://sildenafilmg.com/
generic viagra walmart
https://buytadalafil.men/# buy tadalafil online paypal
buy cipro cheap ciprofloxacin generic price