Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu imetoa Shilingi bilioni 500 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kuhudumia mizigo ili kuongeza ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), Erick Hamisi wakati wa mkutano wa wadau wa bandari unaofanyika Jijini Tanga ambapo alisema uwekezaji huo unaokwenda kufanyika katika bandari hiyo ni mkubwa ambao utafungua fursa kwa nchi na maziwa makuu kwa matumizi ya bandari hiyo.
Alisema kuwa kuna mradi wa ujenzi wa bandari kavu ya Kwara ambapo watapeleka mizigo ya nje katika nchi za Maziwa Makuu (Transit) baada ya Serikali kuwekeza fedha hizo ambazo pia zitatumika kununulia vifaa ili kuwezesha ufanisi huo.
Pages: 1 2
ed dysfunction treatment ed medications online ed pills otc
stromectol price usa stromectol price usa stromectol for humans for sale
https://ortopedicheskij-matras-krivoj-rog.kr.ua/o-kompanii-emm/ Купить матрас ортопедический в кривом роге на
dark web markets dark market 2022