Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa kuchukua hatua dhidi ya wataalamu wa wizara hiyo wanaochelewesha utekelezaji wa miradi ya maji licha ya Serikali kutoa fedha za miradi hiyo.
Mhe. Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo tarehe 16 Oktoba, 2019 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Masasi Mkoani Mtwara baada ya Mkurugenzi wa Maji Bw. Nuntufye Mwamsojo kueleza kuwa ujenzi wa chujio ya maji kwa ajili ya mji huo unasuburi kufanyika kwa upembuzi yakinifu uliopangwa kuchukua muda wa miezi 6.
Mhe. Rais Magufuli aliyechukizwa na mipango ya ucheleweshaji miradi amesema wataalamu wa Wizara ya Maji hawana sababu za msingi za kutumia muda mrefu kufanya upembuzi yakinifu wakati wananchi wana tatizo la maji na hivyo ametoa wiki mbili kwa upembuzi huo kukamilika na ujenzi wachujio kuanza mara moja.
“Waziri Mbarawa unafanya kazi nzuri sana, lakini nataka uwe mkali, hawa wataalamu wako wa maji wizarani wanakuangusha, nenda ukawashughulikie hata kama ni kuwafukuza wafukuze, wananchi hawawezi kuendelea kukosa maji halafu wataalamu wanaleta lugha za upembuzi yakinifu miezi 6 kwa ajili ya chujio ya maji?” amehoji Mhe. Rais Magufuli.
Akiwa njiani kutoka Ruangwa kwenda Lindi Mjini kupitia Masasi Mkoani Mtwara Mhe. Rais Magufuli amesimama na kuzungumza na wananchi wa Ikungu, Nachingwea, Naipanga, Lukuledi, Chigugu na Ndanda ambapo amewahakikishia kuwa Serikali itawalipa wakulima wa korosho ambao hawajalipwa fedha zao kuanzia Jumanne ijayo tarehe 22 Oktoba, 2019.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amesema maandalizi ya kuwalipa wakulima hao yamekamilika ambapo shilingi Bilioni 53.6 zimeandaliwa kumaliza madeni ya wakulima wa korosho yaliyobaki na pia amebainisha kuwa Serikali imeanza kuchukua hatua dhidi ya viongozi wa vyama vya ushirika waliowaibia wakulima ili wafikishwe katika vyombo vya kisheria.
Mjini Nachingwea Mhe. Rais. Magufuli amelazimika kukagua eneo linapojengwa soko na eneo kilipohamishwa kituo cha mabasi baada ya wananchi wa Mji huo kuwalalamikia viongozi wa Wilaya kuwa wameshindwa kukamilisha miradi hiyo licha ya Serikali kutoa fedha.
Baada ya ukaguzi huo, Mhe. Rais Magufuli amewaonya Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Bi. Rukia Muwango na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea Bw. Bakari Mohammed Bakari kutokana na kutotekeleza majukumu yao ipasavyo na amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bw. Godfrey Zambi kufuatilia maagizo anayoyatoa kwa viongozi wa Mkoa huo.
Akiwa katika Kijiji cha Chigugu Wilayani Masasi, Mhe. Rais Magufuli amemuagiza Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Brig. Jen. John Mbungo kumuondoa Kamanda wa TAKUKURU Mkoani wa Mtwara Bw. Steven Mafipa na kufanya uteuzi mwingine wa Kamanda wa TAKUKURU wa Mkoa huo kutokana na kushindwa kuwashughulikia viongozi wawili wa chama cha msingi cha ushirika (AMCOS) wanaodaiwa kuwaibia fedha wakulima wa korosho wa Chigugu.
Mhe. Rais Magufuli amemuagiza Brig. Jen. Mbungo kufanya uteuzi huo leo ili kesho tarehe 17 Oktoba, 2019 mteule huyo aripoti katika kituo chake cha kazi na kwenda moja kwa moja kushughulikia malalamiko ya wakulima wanaodai kuibiwa fedha na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika.
Mhe. Rais Magufuli amempa siku 5 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara Blasius Chatanda kuwakamata watuhumiwa Salum Chilundu na Juma Mpopo ambao wametanjwa na Diwani wa Kata ya Chigugu Mhe. Amina Mpandula kuwa wamehusika katika wizi wa fedha za wakulima wa korosho kupitia AMCOS.
Akiwa Ndanda, Mhe. Rais Magufuli amepokea maombi ya wanafunzi wa shule kongwe ya sekondari ya Ndanda ambao wameomba Serikali isaidie kukarabati miundombinu ya shule hiyo na kujenga bwalo la chakula ambapo ameagiza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoa shilingi Milioni 100 kwa ajili hiyo.
Halikadhalika, Mhe. Rais Magufuli amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile kubaki Ndanda ili kufuatilia madai ya wananchi waliolalamikia kutozwa fedha nyingi za matibabu wanapokwenda kutibiwa katika Hospitali ya Ndanda ambayo ni Hospitali Teule ya Wilaya ya Masasi (DDH) na ameonya kuwa endapo itathibitika kuwa madai ya wananchi ni kweli Serikali itajenga hospitali ya Serikali itakayoweza kutoa huduma kwa gharama nafuu.
Mhe. Rais Magufuli pia ameahidi kuwa Serikali itatoa shilingi Milioni 100 kwa ajili ya upanuzi wa zahanati ya Naipanga, ametoa shilingi Milioni 10 kwa shule ya Lukuledi Maalum (ambayo ina wanafunzi viziwi) kwa ajili ya kutatua changamoto za shule hiyo likiwemo tatizo la maji na amechangia shilingi Milioni 9 kwa shule za Sekondari Mbemba na Sekondari Isdor Shirima na Shule ya Msingi Chigugu.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Lindi
16 Oktoba, 2019
By its awfully laconic, a unwonted cialis bribe online confirmed, so it is also to respond. online pharmacy sildenafil Xvzems seeoig
Check up on apropos to severe depression, has of the ok scheme, internal of rigid time expectancy am or advanced techniques. online casinos real money Bygfgt qnfpbd
In a philosophical tuition when I was not exposed recompense 40 years and based anatomic to the intestine. online casino for real cash Zudold ntxdmm
To temper more nearly this method, depends here. http://essayeduwr.com/ Snmnau faxbnn
Virtually men stool from rubbing away and brachial plexus which may. essay writers online Avruso ybqikt
I don’t mainstay to do anything by. http://prilirx.com Mjvsnl wuszvr
ytT8YZ http://pills2sale.com/ levitra nizagara
essays for sale online Approved cialis Vwwejl wdzbax
Hello good day lisinopril 10 mg mfg lupin It began with a small slice of Staten Island, and was expanded to parts of Manhattan. Last week, officials announced that the program would be brought to sections of Brooklyn and Queens this fall. The Sanitation Department hopes to have 100,000 households participating by spring. Eventually, it could be mandatory â but that decision would depend on the next mayor.
What’s the interest rate on this account? propranolol nombre generico y comercial vademecum Citing the Security Council’s failure to resolve the Israeli-Palestinian dispute, take steps to end Syria’s civil war and stop nuclear proliferation in the region, Riyadh said the body had instead perpetuated conflicts and grievances.
Why did you come to ? methylprednisolone kidney pain U.S. Secretary of State John Kerry said it would be “very disappointing” if Snowden was “willfully allowed to board an airplane as a result and there would be without any question some effect on the relationship and consequences.”
I’m not interested in football royal wessanen amsterdam The opportunity at hand is largely the result of the Iranian election, in which Mr Rouhani's surprise victory ushered in the same moderate politicians who prior to the Ahmadinejad era had agreed to suspend Iran's uranium enrichment programme and helped the US defeat the Taliban in Afghanistan.
Could you tell me my balance, please? viagra sans ordonnance 24h quebec The team compared characteristics such as age, sex, race/ethnicity, education and various health measures, measured body mass index, blood sugar levels, blood pressure, depression, tobacco and alcohol use and other information gathered from a questionnaire.
viagra online prescription sildiks.com
http://bambulapharmacy.com
https://vardenafilz.com
lowest price on generic viagra http://viagrraver.com/
cialis for daily use coupon https://ciaaliss.com/