
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kabla ya kuzindua Kipindi cha awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF III) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka Viongozi wote wa Serikali waliochukua fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini nchini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na kuzitumia isivyo sahihi kuzirejesha mara moja kwani serikali haipo tayari kuona fedha hizo zikitumika kinyume na malengo yaliyowekwa.
Akizngumza katika hafla ya uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) leo Jumatatu (Februari 17, 2020) Jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema katika zoezi la Serikali ilibaini changamoto mbalimbali katika mfuko huo ikiwemo malipo kwa kaya hewa nchini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF iii) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
Rais Magufuli alisema kupitia zoezi la uhakiki wa kaya masikini lililofanyika kuanzia Novemba 2015 hadi Juni 2017, Serikali iliweza kubaini uwepo wa kaya hewa 73,651 ambapo kaya 22034 zilithibitika kuwa wanakaya wake si masikini, kaya 18,700 ambazo hazikujitokeza mara mbili kupokea ruzuku na kaya 9903 zilizohamia vijiji/ mtaa/shehia ambapo mpango haujaanza.
‘’Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda naye pia anasema aliwahi kunufaika na TASAF na alisema alizitumia katika safari yake ya kwenda Dodoma katika masuala yake, sasa naomba fedha hizo uzirudishe mara moja kama ulizitumia katika matumizi hayo uliyoyasema’’ alisema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli alizitaja Halmashauri 10 zilizoathirika zaidi na kaya hewa ni Songea Manispaa (2,991), Chamwino (1,840), Kinondoni (1,538), Ilala (1,476), Moshi Manispaa (1,071), Arusha Mjini (851), Temeke (2,012), Dodoma Mjini (1,334), Buhigwe (862) na Morogoro (954), na kuongeza kuwa hiyo ni aibu sana kwa viongozi wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri hizo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF iii) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
Aliongeza kuwa zipo baadhi ya halmashauri 10 zilizojitahidi kudhibiti vitendo vya kaya hewa na kuwa na iidadi ndogo ya kaya hewa na kuzitaja halmashauri hizo ni pamoja na Pangani (149), Kilolo (211), Unguja (242), Igunga (76), Mtwara Mikindani (25), Rorya (207), Mkinga (140), Babati Mji (45), Geita Mjini (56) na Chunya 140.
Kwa mujibu wa Rais Magufuli alisema mara baada ya Serikali kubaini kasoro na changamoto zilizojitokeza awali, katika kipindi cha pili cha Awamu ya tatu ya TASAF (2020-2023) Serikali imekusudia kupunguza kiasi cha ruzuku kutoka asilimia 67 hadi 38, ambapo ruzuyku hiyo itatolewa kwa wazee wasiojiweza, watoto wadogo na kwa watu wenye kiwango kikubwa cha ulemavu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Kitabu cha Utekelezaji wa Mpango huo wa TASAF III kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya kuuzindua katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
‘’Awamu hii mpya tumepanga kuitekeleza katika halmashauri zote 185 na Wilaya 11 za Zanzibar na asilimia 60 ya fedha, sawa na shilingi trilioni 1.22 zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo takribani 30,000 kwenye vijiji na mitaa 16,596 Tanzania Bara na shehia 388 kule Zanzibar’’ alisema Rais Magufuli.
Aliitaja miradi hiyo ni pamoja na sekta ya afya (Tsh Bilioni 121.736), elimu (Tsh. Bilioni 365.209), maji Tsh (Bilioni 585.937), barabara (Tsh Bilioni 49.668) na mazingira (Tsh Bilioni 96.416), ambapo katika kutekeleza miradi hiyo kipaumbele kitatolewa kutoka kwa watu wenye nguvu wanaotoka kwenye kaya maskini, ambapo Serikali inatarajia kuzalisha ajira na kuwapatia ujuzi pamoja na stadi za kazi watu wapatao milioni 1.2.
Kwa upande wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), George Mkuchika alisema katika kipindi cha pili cha Awamu ya Tatu ya TASAF, Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa changamoto zote zilizojitokeza katika awamu ya kwanza zinapatiwa ufumbuzi ikiwemo kufikia asilimia 30 ya kaya zilizobaki katika maeneo yote nchini.
Anaongeza kuwa kipindi cha kwanza cha Awamu ya tatu ya TASAF iliyoanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2013 imekamilika Desemba mwaka 2019, ambapo asilima 70 ya walengwa wote wamenufaika na mfuko huo kwa kuwawezesha wananchi wa kipato cha chini kuweza kubuni miradi iliyowawezesha kujikwamua kiuchumi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kabla ya kuzindua Kipindi cha awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF III) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Abood Mohamed alisema utekelezaji wa miradi ya TASAF umekuwa ni wenye mafanikio makubwa kwa upande wa Zanzibar ambapo katika awamu ya kwanza iliyoanza mwaka 200-2005 jumla ya miradi 75 iliyogharimu kiasi cha Tsh Bilioni 3 ilitekelezwa na Serikali.
Akizungumza katika hafla hiyo, Rais Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein katika hotuba yake iliyosomwa Naye Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi alisema wananchi wa Zanzibar wamenufaika kwa kiasi kikubwa na miradi ya TASAF ambapo kwa sasa wananchi kutoka ndani na nje ya nchi, wamefika Zanzibar kwa ajili ya kujifunza mafanikio hayo yaliyopatikana.
Dkt. Shein alisema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano na wadau wote wa maenndeleo ili kuhakikisha kuwa awamu ya tatu ya TASAF itafanikiwa na kuleta tija iliyokuwa kwa wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga alisema katika kipindi cha kwanza cha awamu ya tatu ya TASAF, kiasi cha Tsh trilioni 1.46 kimetumika ambapo utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini umefanyika katika Mamlaka za Serikali 159 kwa Tanzania Bara pamoja na Wilaya zote 11 kwa upande wa Zanzibar.
‘’Utekelezaji wa kipindi cha kwanza cha Awamu ya tatu ya TASAF katika Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini nchini ulijikita katika kutoa ruzuku kwa masharti, kutoa ajira ya muda, kuongeza kipato, kujenga na kuboresha miundombinu na kujenga uwezo katika ngazi zote za utekelezaji’’ alisema Mwamanga.
Pingback: Canadian pharmacy viagra pfizer
Pingback: cialis pills
Pingback: cialis 20 mg
Pingback: buy cialis canada
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: viagra 100mg
Pingback: buy ed pills online
Pingback: cheap erectile dysfunction pills online
Pingback: erection pills viagra online
Pingback: cialis 10mg
Pingback: pharmacy online
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: buy vardenafil online
Pingback: levitra coupon
Pingback: levitra for sale
Pingback: cialis internet
As the admin of this web page is working, no doubt very rapidly it will be well-known, due
to its quality contents.
I think what you posted was actually very reasonable.
However, what about this? suppose you were to write a awesome post title?
I mean, I don’t wish to tell you how to run your blog, however
suppose you added a headline to maybe get folk’s
attention? I mean Rais Magufuli: Viongozi Waliochukua Fedha Za Tasaf
Kinyume Na Malengo Wazirejeshe Haraka | JAMHURI YA MUUNGANO
WA TANZANIA is a little vanilla. You might peek at Yahoo’s front page and note how they
create article titles to grab viewers to click. You might try adding
a video or a related picture or two to get people interested about everything’ve written.
Just my opinion, it would make your blog a little livelier.
2CSYEon cheap flights
You’re so interesting! I do not think I’ve read through anything like that before.
So good to find another person with unique thoughts on this subject matter.
Really.. many thanks for starting this up. This
website is one thing that’s needed on the internet, someone with a bit of
originality! 3aN8IMa cheap flights
mba thesis help with writing thesis thesis statement help
cialis for sale http://loncialis.com/ cialis online pharmacy
cialis soft http://jocialisrl.com/ cialis online
viagra plus http://ajviagra.com/ cheap viagra uk
tadalafil tablets 20 mg http://jacialis.com/ cialis for sale
do you need a prescription for cialis liquid tadalafil cialis 5mg
how to write thesis http://thesiswritinghelpfvb.com/
generic tadalafil cialis daily cialis professional
tadalafil dosage http://sjcialis.com/ cialis no prescription
paper writers http://writemypaperbuyxvv.com/ paper writers
п»їwrite my paper paper writer do my paper
essay writers for hire http://customessaywritershb.com/ best custom essay site
buy essay cheap cheap essays to buy cheap essay papers
custom essay writing custom college essays buy essays
customer service essay http://essaywritingservicefav.com/ essays on community service
fake essay writer academic custom essays persuasive essay writer
Somebody essentially lend a hand to make critically articles I would
state. This is the first time I frequented your web page and so far?
I amazed with the research you made to create this particular post amazing.
Magnificent job!
cialis sale tadalafil 20mg cialis no prescription
cheapest generic viagra how to get viagra viagra generic
how long does it take for cialis to work can you take cialis in the morning and viagra at night canadian cialis
viagra brand viagra sale online viagra price
cialis 20 mg goodrx cialis buy cialis online safely
tadalafil 20mg discount cialis cheap cialis
viagra overnight 100mg viagra generic viagra cheap
generic viagra walmart how to take viagra buy viagra
new viagra free viagra without prescription soft tabs viagra
cialis online pharmacy cialis 20mg cialis brand
side effects of viagra viagra patent viagra
п»їviagra buy viagra online cheap generic viagra walmart
tM74rp Pretty! This was an extremely wonderful article. Thank you for providing this information.
wow, awesome blog post.Really looking forward to read more. Keep writing.
What as up, just wanted to tell you, I enjoyed this blog post. It was helpful. Keep on posting!
There is apparently a bunch to know about this. I think you made certain nice points in features also.
Truly a good deal of very good advice. https://englishessayhelp.com/
You made some clear points there. I looked on the internet for the topic and found most people will consent with your blog.
This website truly has all the info I needed about this subject and didn at know who to ask.
you continue to care for to stay it sensible. I can not wait to read
Regards! Quite a lot of tips.
how to be a good writer essay courses online website that write essays for you
Kudos! A lot of posts!
mexican pharmacy online medications mexican pharmacy online cvs online pharmacy
Appreciate it, A lot of postings!
bad college essays courses online professional cv writing service
Many thanks, Good information!
best custom essay sites writing my essay seo content writing services
I think this is a real great post. Keep writing.
You stated that adequately!
online drugs mexican pharmacy online canada pharmacies without script
It is best to take part in a contest for top-of-the-line blogs on the web. I will suggest this web site!
Nicely put, Kudos. canadian pharmacy viagra generic canadian pharmacy viagra panacea pharmacy
Superb info. Cheers!
prescription drug price comparison approved canadian pharmacies online
This is nicely said! !
I will right away seize your rss as I can at find your e-mail subscription hyperlink or e-newsletter service. Do you ave any? Kindly let me know in order that I could subscribe. Thanks.
Right now it appears like Drupal would be the preferred blogging platform obtainable at the moment. (from what I ave read) Is that what you are working with in your weblog?
Very good blog article.Really thank you! Will read on
canadian viagra buying viagra online buy viagra online
Say, you got a nice blog post.Much thanks again. Will read on
very nice publish, i actually love this web site, carry on it
viagra over the counter walmart buy viagra generic how much viagra should i take the first time?
how to get viagra without a doctor canadian pharmacy viagra viagra online canada
You expressed that well! best custom essay https://essayextra.com law essay writing service
Im no professional, but I think you just made a very good point point. You naturally know what youre talking about, and I can really get behind that. Thanks for staying so upfront and so sincere.
sildenafil without a doctor’s prescription buy prescription drugs without doctor cvs prescription prices without insurance
Try to remember the fact that you want to own an virtually all comprehensive older getaway.
Major thankies for the article post.Really thank you! Fantastic.
Merely a smiling visitant here to share the love (:, btw great pattern.
I really liked your article.Much thanks again. Will read on
It as really a great and useful piece of information. I am satisfied that you just shared this useful tidbit with us. Please stay us up to date like this. Thank you for sharing.
very nice post, i certainly love this website, keep on it
This page definitely has all the information I wanted concerning this subject and didn at know who to ask.
Really informative article post.Really thank you! Much obliged.
Wow, marvelous blog layout! How long have you been blogging for? you make blogging look easy. The overall look of your web site is excellent, let alone the content!
It is hard to uncover knowledgeable men and women within this topic, nevertheless you be understood as guess what takes place you are discussing! Thanks
Thanks so much for this, keep up the good work
This is a beautiful shot with very good lighting.
What as up, just wanted to say, I loved this article. It was funny. Keep on posting!
SHINeeWorld PHILIPPINES Goods Notice SWPH Goods
Pretty! This was a really wonderful post. Many thanks for providing this info.
Wow, great blog.Really looking forward to read more. Awesome.
There exists noticeably a bundle to comprehend this. I suppose you might have made distinct good points in features also.
drug store news ce best drugstore concealer canadian pharmacy cialis
24 hr pharmacy california pharmacy pharmacy discount card
Incredible! This blog looks just like my old one! It as on a totally different subject but it has pretty much the same page layout and design. Wonderful choice of colors!
Im obliged for the article.Much thanks again. Great.
You ought to be a part of a contest for one of the best websites on the net. I will recommend this web site!
I truly appreciate this post. I have been looking all over for this! Thank goodness I found it on Bing. You ave made my day! Thanks again
ppi claims ireland How can u add a flash slide show to your blogspot?
Im no professional, but I imagine you just made an excellent point. You clearly comprehend what youre talking about, and I can really get behind that. Thanks for staying so upfront and so genuine.
I really liked your article post.Much thanks again.
I truly enjoy looking through on this internet site, it holds excellent content. Beware lest in your anxiety to avoid war you obtain a master. by Demosthenes.
Looking forward to reading more. Great blog. Great.
I visited various websites but the audio feature for audio songs current at
Wow! Thank you! I continually needed to write on my site something like that. Can I include a part of your post to my blog?
Major thanks for the article.Really thank you! Want more.
Very informative blog.Much thanks again. Will read on
online dating free,free dating websites
free online dating websites,free dating site
[url=”http://freedatingste.com/?”]free dating online[/url] http://freedatingste.com/
You created a variety of nice factors there. I did a lookup within the theme and located almost all people will agree with your web site.
You could definitely see your skills in the paintings you write. The world hopes for more passionate writers such as you who aren at afraid to mention how they believe. All the time follow your heart.
Wow! In the end I got a webpage from where I know
Wanted posting. Loads of excellent writing here. I wish I saw it found the site sooner. Congrats!
So pleased to possess located this post.. My browsing efforts seem total.. thanks. Liking the article.. appreciate it Respect the entry you furnished..
It as challenging to find educated persons by this topic, nonetheless you sound in the vein of you already make out what you are speaking about! Thanks