Na Jonas Kamaleki
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kulihutubia na kulivunja Bunge la 11 jijini Dodoma kesho Juni 16, 2020.
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu katika kutoa huduma Serikalini, kuboresha huduma za afya, elimu, miundombinu ya barabara, madaraja na reli na kufufua Shirika la Ndege (ATCL).
Vile vile, Rais Magufuli alisema kuwa atashughulikia migogoro ya ardhi ikiwemo ya wakulima na wafugaji, kupambana na dawa za kulevya, kuinua sekta za madini, mifugo, kilimo na uvuvi, kuwezesha ujenzi wa viwanda na kupambana na ujangili.
Mhe. Rais kesho atakuwa na uwanja mpana wa kuzungumzia mafanikio yaliyofikiwa na Serikali ya Awamu ya Tano kwani mengi yaliyoahidiwa yametekelezwa ambapo azma ya Serikali ya kufikia uchumi wa kati unaotegemea viwanda ifikapo 2025 itafanikiwa.
Serikali ya Awamu ya Tano imefufua ATCL kwa kununua ndege 11 ambapo ndege nane zimeshaanza kazi ndani na nje ya nchi, elimu imeboreshwa kwa kujenga na kukarabati shule na vyuo mbalimbali, kujenga zaidi ya vituo 360 vya afya, ujenzi wa hospitali 70 za wilaya, kuongeza bajeti ya dawa kutoka shilingi bilioni 31 hadi bilioni 270 na kuongeza ukusanyaji wa mapato kwa njia ya kodi toka shilingi bilioni 800 kwa mwezi hadi wastani wa shilingi trilioni 1.5 kwa mwezi na kuongezeka kwa upatikanaji wa maji safi na salama mijini na vijijini.
Thanks for sharing your thoughts on web hosting services.
Regards
I used to be able to find good information from your blog articles.
Asking questions are truly good thing if you are not understanding anything totally,
but this article offers good understanding yet.
Hello There. I found your blog using msn. This is a really well written article.
I will be sure to bookmark it and return to
read more of your useful information. Thanks for the post.
I will certainly return.
I must thank you for the efforts you have put in penning this website.
I’m hoping to see the same high-grade blog posts from you later on as well.
In truth, your creative writing abilities has inspired me to get
my own website now 😉
I just could not depart your web site before suggesting that
I really enjoyed the usual info an individual supply on your guests?
Is going to be back ceaselessly in order to inspect new posts
Spot on with this write-up, I absolutely think this amazing site
needs a lot more attention. I’ll probably be
returning to read more, thanks for the information!
Yesterday, while I was at work, my cousin stole my iPad and tested to see if it can survive
a twenty five foot drop, just so she can be a youtube sensation. My iPad is now broken and she has 83 views.
I know this is entirely off topic but I had to share
it with someone!
WOW just what I was searching for. Came here by searching for link