Na. Paschal Dotto-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa upanuzi wa Uwanja wa Ndege Mtwara na kuagizi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Philipo Mpango, wakutane ndani ya siku tano ili kutoa pesa ya mradi wa ujenzi huo kwa Mkandarasi.
Rais Magufuli alisema kuwa aslimia 15 ya pesa za mradi huo ambazo ni sawa na shilingi Bilioni 7.5, zinatakiwa kutolewa ndani ya siku tano ili kumwezesha mkandarasi kuendelea na kazi na kumaliza kazi kwa muda uliopangwa kwenye mkataba wa mradi huo.
“Mimi leo naagiza, wewe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano na Waziri wa Fedha na Mipango, asilimia 15 ya pesa za mradi huu ambazo ni sawa na shilingi Bilioni 7.5,ziwe zimefika hapa ndani ya siku tano, kwa sababu najua fedha hizo zipo sasa kwa nini mkandarasi hajaletewa pesa hizo”, Rais Magufuli alisema.
Rais Magufuli amlitaka Mkandarasi huyo kufanya kazi yake kwa umakini mkubwa mara atakapopata pesa hizo za mradi asilimia 15, huku ikielezwa kuwa mradi mzima utagharimu Shilingi bilioni 50.4 mpaka kukamilika kwa mradi mwaka 2020, pia imeelezwa mradi uko nyuma ya muda.
“Nataka akishapata pesa hizo afanye kazi usiku na mchana na siyo kubabaisha kama alivyofanya katika Uwanja wa Ndege Mwanza, ingawa sasa yuko asilimia 98 kumalizia mradi ule, ila mwanzoni alisuasua, sasa nakueleza Waziri wa Ujenzi, Mkurungezi Mtendaji, Tanroad na Mkandarasi wa mradi huu, mfanye kazi usiku na mchana, najua mpaka sasa hivi mmeishachelewa siku kadhaa, lakini wananchi wa Mtwara wanataka kuona uwanja umekamilika”, Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli alieleza utekelezaji wa miradi mingine ya Serikali kwa wananchi wa Mtwara, ikijumuisha ujenzi wa mradi wa barabara ya Mikindani, kilometa 3, stendi, kadhalika maeneo ya kupumzikia, soko, pamoja na mfereji wa maji, itagharimu Tsh.bilioni 23.843.
Miradi mingine ni ukarabati ama ujenzi wa vituo vya afya, utakaogharimu Tsh.bilioni 10.3, lakini pia utekelezaji wa mradi wa maji wa Makonde ambao utakarabatiwa na kuwa nguzo ya upatikanaji wa maji katika miji ya Newala, Nanyumbu, Tandahimba, Mtwara na vijiji 309.
“Nafahamu kuwa moja ya changmoto katika mkoa huu ni upatikanaji wa maji kwani kwa sasa ni asilimia 4, ingawa kwa mjini ni asilimia 80, lakini tatizo hili linasababishwa na uchakavu wa miundombinu katika mradi wa maji wa makonde, kwani mahitaji ya maji katika meneo haya ni lita za ujazo milioni 18.3 wakati mradi una uwezo wa kuzalisha lita milioni 24.3, lakini kutokana na uchakavu, mradi huu hutoa lita milioni 6.7, kwa hiyo asilimia 60 ya maji inapotea”, Rais Magufuli alisema.
Katika utekelezaji wa miradi ya maji kwa miji 28 nchini, ambapo Serikali inapata mkopo wa kugharamia miradi hiyo kutoka Serikali ya India, zikiwa zaidi ya Trioni 1.2, mradi wa maji makonde umetengewa dola za Kimarekani milioni 70, sawa na Tsh.bilioni 160.
Rais Magufuli pia alisema kuwa Serikali inaendelea na utekelezaji wa kuwalipa wakulima wa korosha katika mikoa ya kusini wanakozalisha korosho, huku wakulima 39,765 waliokuwa na korosho chini ya kilo 1500 ambazo zilikuwa ni tani 16,669.3, walitengewa Tsh.Bilioni 521.8 na baada ya uhakiki walilipwa pesa zao.
“Watanzania sisi ni wataalam kwenye hewa, kwa hiyo ilibidi tukae macho tusije tukawa na korosho hewa tukalipa malipo hewa, ndiyo maana tulihakikisha kila mkulima anafanyiwa uhakiki ili kupata haki yake”, Rais Magufuli
Rais Magufuli aliongeza kuwa wakulima 373,149 wamelipwa, kwa hiyo asilimia 99 ya wakulima wenye korosho chini ya kilo 1500 wamelipwa, huku uhakiki wa wakulima wenye kilo zaidi ya 1500 ambao walikuwa 18,103, waliobainiwa kwenye uchambuzi wa pili umekamilika na wataanza kulipwa, lakini katika hao, majina 780 walikuwa hawana mashamba wala mikorosho.
“Najua kuna watu wamenunua korosho tangu zikiwa mashambani, ninafahamu imekuwa ni biashara ambayo inaendelea huko japo siyo biashara nzuri kwa sababu imekuwa ikiwadhulumu wananchi, kwa wale watakaokiri kwamba wao ni makagomba Serikali itawasamehe na kuwalipa pesa zao”, alisema Rais Magufuli
Akihimiza malipo kwa wakulima, Rais Magufuli alitoa maagizo kwa Waziri wa Kilimo kupeleka bilioni 50 kuanzia kesho ili wakulima wenye korosho zaidi ya kilo 1500 waanze kulipwa mara moja.
MWISHO
Pingback: Order Viagra Online
Pingback: top ed pills
Pingback: erection pills online
Pingback: erectile dysfunction medication
Pingback: cialis 10mg
Pingback: pharmacy online
Pingback: cialis visa
Pingback: levitra pill
Pingback: buy levitra online
Pingback: vardenafil pill
Pingback: real money casino games
Pingback: san manuel casino online
Pingback: instant loans
Pingback: online payday loans
Pingback: viagra pills
Pingback: buy cialis
Pingback: viagra no prescription
buy prescription drugs from canada – cheap pills online
Pingback: discount viagra
medication for ed dysfunction – errectile dysfunction
Pingback: online viagra
Pingback: generic cialis
viagra cost: viagra prices
Pingback: buy viagra online canada
viagra craigslist
levitra viaonlinebuy.us buy viagra without prescription
viagra us
http://ventolintop.com/ – ventolin prescription cost
Pingback: canadian pharmacy viagra
cellairis vs viagra
levitra https://viaonlinebuy.us/ buy viagra cheap
aloe vera is better than viagra
my husband went for over an hour using viagra
how to make viagra work
which viagra best fot recreational use
high blood pressure and cialis – buy cialis
where to order viagra pills
https://viaonlinebuy.us/# – buy viagra new york
how to buy viagra online without getting ripped off
Pingback: best store to buy generic viagra
male viagra
sildenafil
viagra 100 milligrams
liquid cialis: buy cialis
all natural viagra
online viagra http://www.v1agrabuy.com viagra prices
pfizer viagra free trial
cheapest propecia for sale: propecia.com
Pingback: how to buy viagra online in australia
I could not resist commenting. Exceptionally well written!
the best way to get erection whe viagra an cialis do not work
how to buy viagra online
how much is a viagra
viagra no prescription: generic viagra viagra pills
Pingback: cheap viagra
how much does cialis cost at walmart buy cialis – cialis without doctor prescription
natural ed cures https://canadianpharmacystorm.com drugs and medications
viagra walmart
what is the differene between viagra and cialis
how available is generic viagra and cialias us pharmacies
viagra achat en france viagra sans ordonnance en pharmacie viagra sans ordonnance en belgique
generic cialis available nose congested when taking cialis online cialis
how often to take 10mg cialis cialmen.com
buying viagra online canada
viagra
what is better viagra or priligy
how does viagra help a man
viagra without a doctor prescription usa
where to buy viagra in cancun mexico
Pingback: viagra erection
generic for viagra buy generic viagra online viagra online
viagra for sale generic viagra cheap generic viagra
how old should you be to take viagra what kind od viagra cam you buy ocer the counter
generic viagra available https://cialisdendi.com/ how much does viagra cost
what is expiration length of viagra can you take viagra when on high blood pressure medicine
generic viagra without a doctor prescription how much viagra should i take the first time? generic viagra cost
where to buy viagra canadian pharmacy viagra viagra generic
buy prescription drugs online legally
cheap kamagra uk paypal
buy cialis links appear in my webpage
cheap viagra cialis tablets Situg Kig
how much are viagra pills on the street
different type of viagra
costo cialis generico farmacia Situg Kig
cialis 5mg erfahrung
viagra facts
viagra 100mg wiki Situg Kig
pharmacy online pharmacy coupons global pharmacy canada
free dating online,free dating
free dating,free online dating websites http://freedatingste.com/
viagra online generic canadian
cialis tablets 20mg australia
buy viagra and dapoxetine with Situg Kig