Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewashukuru Mabalozi wanaoziwakilisha nchi mbalimbali hapa nchini kwa ushirikiano mkubwa walioutoa kwa Serikali ya Awamu ya Tano na hivyo kuwa Sehemu ya mafanikio makubwa ya yaliyopatikana nchini Tanzania katika miaka 4 iliyopita.
Mhe. Rais Magufuli ametoa pongezi hizo leo tarehe 21 Januari, 2020 katika hafla ya kuukaribisha Mwaka Mpya aliyowaandalia Mabalozi na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa (Sherry Party) na kufanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Katika hotuba yake, Mhe. Rais Magufuli amesema miaka 4 ya tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani Tanzania imepiga hatua kubwa katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025, Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 – 2020, mipango ya kimataifa na kikanda na Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka 5 (2016/17 – 2020/21) iliyolenga kujenga uchumi wa viwanda utakaochochea mageuzi ya kiuchumi na maendeleo ya watu.
Ametaja baada ya mafanikio hayo kuwa ni kulinda na kudumisha amani na usalama wa nchi, kuimarisha Muungano ambao Aprili 2020 utatimiza miaka 56, ukuaji mzuri wa uchumi wa wastani wa asilimia 7, kudhibiti mfumuko wa bei hadi kufikia asilimia 3.5 na kuongeza akiba ya fedha za kigeni kutoka Dola za Marekani Bilioni 4.123 hadi kufikia Dola za Marekani 5.579 zinazotosheleza kuagiza bidhaa na huduma kwa kipindi kisichopungua miezi 6.3.
Mafanikio mengine ya kiuchumi ni kuongezeka kwa ukusanyaji wa mapato kutoka wastani wa shilingi Bilioni 850 kwa mwezi hadi kufikia shilingi Trilioni 1.5 (ambapo Desemba 2019 ilifikia shilingi Trilioni 1.9), kuvutia uwekezaji wenye thamani ya shilingi Trilioni 30 uliozalisha ajira laki 1, kuogeza biashara ya nje kutoka shilingi Trilioni 11.5 hadi kufikia shilingi Trilioni 16.6, kuongeza uzalishaji wa mazao ya biashara kutoka tani 796,512 hadi kufikia tani 1,141,774 (ongezeko la asilimia 43.3) na kujenga viwanda vipya 4,877.
Aidha, katika kipindi hicho mauzo ya dhahabu nje ya nchi yameongezeka kutoka Dola za Marekani Bilioni 1.469 hadi kufikia Bilioni 1.743, mapato ya Serikali kutokana na madini yameongezeka kutoka shilingi Bilioni 168 hadi kufikia shilingi Bilioni 346, idadi ya watalii imeongezeka kutoka watalii Milioni 1.1 hadi kufikia Milioni 1.5 na mapato yatokanayo na utalii yameongezeka kutoka Dola za Marekani Bilioni 1.9 hadi kufikia Bilioni 2.488.
Mhe. Rais Magufuli ameongeza kuwa katika kipindi hicho Serikali imetekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa (standard gauge railway) kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma utakaogharimu zaidi ya shilingi Trilioni 7, ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere litakalozalisha megawati 2,115 za umeme utakaogharimu shilingi Trilioni 6.5, ujenzi wa kilometa 2,500 za barabara za lami na nyingine 2,400 zikiendelea kujengwa, kilometa 7,087 la barabara za lami zikiwa katika maandalizi ya kuanza kujenzi na kukamilisha ujenzi wa madaraja makubwa 8.
Miradi mingine ni kufufua reli ya Dar es Salaam – Tanga – Moshi iliyokuwa haitoi huduma tangu miaka zaidi ya 20 iliyopita, kupanua bandari za Dar es Salaam, Mtwara na Tanga, kukarabati meli 7 katika maziwa makuu, kukamilisha ujenzi wa jengo la 3 la abiria katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (Terminal III), kujenga viwanja vya ndege 11, kununua rada 4, na kufufua Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) baada ya kununua ndege mpya 11.
Kwa upande wa huduma za kijamii amesema mbali na kujenga Bwawa la Mwalimu Nyerere, Serikali imejenga njia ya umeme ya Iringa – Shinyanga, Makambako – Songea na Lindi – Mtwara, kupeleka umeme vijijini ambapo idadi ya vijiji vilivyofikiwa na umeme imeongezeka kutoka 2,018 hadi kufikia 8,587, kujenga vituo vya afya 352 na Hospitali za Wilaya 69, kuajiri watumishi wa afya 8,000 na kuongeza bajeti ya dawa na vifaa tiba kutoka shilingi Bilioni 31 hadi kufikia shilingi Bilioni 270 kwa mwaka.
Amebainisha kuwa Serikali inatoa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari ambapo imeshatumia shilingi Trilioni 1, mikopo ya elimu ya juu imeongezeka kutoka shilingi Bilioni 341 hadi kufikia shilingi Bilioni 450, imetekeleza miradi ya maji yenye thamani ya shilingi Trilioni 3 na hivyo kuongeza upatikanaji wa maji kutoka wastani wa asilimia 56 hadi kufikia asilimia 71, kuongeza mapambano dhidi ya rushwa na Serikali kuhamia Dodoma.
Mhe. Rais Magufuli amesema kwa kuongozwa na sera ya diplomasia ya uchumi, Tanzania imeendeleza na kukuza zaidi uhusiano wake na nchi mbalimbali duniani ambapo pamoja na kufanya ziara katika nchi mbalimbali, Balozi mpya 7 zimefunguliwa na kushiriki katika shughuli na mipango mbalimbali ya kimataifa ikiwemo ulinzi wa amani ambapo kwa sasa askari 2,297 wa Tanzania wapo katika ulinzi wa amani katika nchi mbalimbali.
Ameahidi kuwa katika mwaka 2020 Serikali imejipanga kuendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano, kudumisha amani na usalama, kukuza zaidi uchumi, kuimarisha akiba ya fedha za kigeni, kuongeza ukusanyaji wa mapato, kukuza sekta kuu za uzalishaji yaani kilimo, viwanda, ujenzi, madini na utalii pamoja na kuboresha mazingira ya kufanyia biashara ambapo amewaomba Mabalozi hao kuwashawishi wafanyabiashara wa nchi zao kuja kuwekeza nchini Tanzania.
Pia, amewahakikishia kuwa katika mwaka 2020 ambapo Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu, Serikali imejipanga kuhakikisha unafanyika kwa misingi ya kidemokrasia na katika mazingira ya amani, uhuru na haki, na amezikaribisha nchi na taasisi mbalimbali kuja kuangalia jinsi Tanzania ilivyokomaa kidemokrasia pindi wakati ukifika.
Ameahidi kuwa Tanzania, itaendelea kukuza ujirani mwema, kushirikiana na nchi mbalimbali na kutekeleza majukumu ya kimataifa ikiwemo kuwahudumia wakimbizi na kuwarejesha makwao kwa hiari, lakini ameeleza kusikitishwa na hujuma na propaganda zinafanyika kwa lengo la kukwamisha zoezi hilo.
Akizungumza kwa niaba ya Mabalozi hao, Kiongozi wa Mabalozi (Dean of Diplomatic Corps) Mhe. Ahamada El Badaoui Mohamed Fakih amempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa uongozi mzuri aliouonesha katika kipindi cha miaka minne ambapo miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa, kukua kwa uchumi, ustawi wa watu na ameahidi kuwa Mabalozi wataendelea kutoa ushirikiano wowote utakaohitajika.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
21 Januari, 2020
Pingback: viagra online ordering
Pingback: cialis walmart
Pingback: cialis professional
Pingback: canada online pharmacy
Pingback: rx pharmacy
Pingback: Real cialis online
Pingback: vardenafil canada
Pingback: vardenafil 20mg
Pingback: vardenafil online pharmacy
Pingback: buy cialis
Pingback: cialis buy
Pingback: tadalafil cost
Pingback: online casino games
buy viagra online cheap http://viagraeiu.com/
Pingback: Viagra 25 mg without a doctor prescription
Pingback: Viagra 200mg online pharmacy
hydroxychloroquine 2020 https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
whoah this weblog is excellent i really like reading your articles.
Keep up the good work! You realize, many persons are searching around for this info, you could help them greatly. https://www.wisig.org/
Pingback: cheap Viagra 25 mg
levitra 20 mg generico
https://cialisaaap.com/
safe buy cialis Situg Kig
Pingback: Cialis 40mg cost
Erectile dysfunction (ED) is the haunting unfitness to attain or
observe an erecting sufficient for acceptable intimate performance.1 According
to data from the Massachusetts Male person Ageing
Study, up to 52% of men betwixt the ages
of 40 and 70 are affected by ED.2 Founded on findings from the
2001–2002 Internal Wellness and Nutriment Testing Resume (NHANES),
it is estimated that 18.4% of manpower in the U.S.
World Health Organization are 20 age of old age and aged get ED. http://lm360.us/
Pingback: Cialis 40mg pills
Pingback: cheapest Cialis 40 mg
Pingback: sildenafil 120mg online pharmacy
Pingback: levitra 10mg nz
Remarkable! Its really awesome piece of writing,
I have got much clear idea regarding from this piece of writing. http://grassfed.us/
Pingback: lexapro 10 mg without a doctor prescription
Pingback: order abilify 10mg
Pingback: ampicillin 500 mg otc
Pingback: strattera 10mg usa
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
Pingback: how to purchase avapro 300 mg
Pingback: cheap avodart 0,5mg
Pingback: cost of buspar 5 mg
cialis generic compare prices
cialis 10mg
viagra ire the counter Situg Kig
buy viagra limerick
viagra last longer
buy viagra in nottingham Situg Kig
Pingback: cephalexin cheap
casino online sugarhouse casino online nj best online casino
free casino games virgin casino online nj login rivers casino
Pingback: zithromax 100 mg usa
macrobid tablet macrobid without prescription macrobid 50 mg medication
best free wordpess themes parallax why not try here which wp theme
cheap cialis rx
viagra sydney
generic viagra from uk review Situg Kig
luvox medication luvox 50mg coupon luvox without prescription
order provigil provigil 100 mg pharmacy where to buy provigil 100mg
herbal viagra 8000mg sex pills
viagra kgr 100
buy valacyclovir valtrex Situg Kig
cheap viagra online canadian pharmacy discount pharmacy card pharmacies