
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiandika katika kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22, 2019 kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Athuman Hassan Ngwilizi aliyefariki dunia hospitalini hapo Mei 20, 2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Athuman Hassan Ngwilizi katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 ,marehemu alifariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Athuman Hassan Ngwilizi katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 ,marehemu alifariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Shekhe Mkuu wa Dsm Alhaji Mussa Salum baada ya kuwasili katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Athuman Hassan Ngwilizi aliyefariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo mara baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Athuman Hassan Ngwilizi katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 , marehemu alifariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameungana na viongozi wengine na ndugu kusindikiza kwenye gari mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali Athuman Hassan Ngwilizi kutoka katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 kuelekea Mlalo Lushoto Mkoani Tanga kwa ajili ya mazishi ,Marehemu alifariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa pole kwa Familia ya marehemu mara baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Brigedia Jenerali Athuman Hassan Ngwilizi katika Hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo Jijini Dar es Salaam Mei 22,2019 ,marehemu alifariki dunia hospitalini hapo Mei 20,2019.
Pingback: canadian viagra
Pingback: goodrx cialis
Pingback: buying ed pills online
Pingback: best erectile dysfunction pills
Pingback: erectile dysfunction pills
Pingback: generic cialis online
Pingback: pharmacy online
Pingback: online pharmacy
Pingback: generic cialis online
Pingback: vardenafil usa
Pingback: vardenafil 10mg
Pingback: buy vardenafil
Pingback: betfair casino online
Pingback: online slots real money
Pingback: canadian pharmacy viagra
Pingback: real money online casino
Pingback: best online casino real money
Pingback: pay day loans
Pingback: personal loans
Pingback: viagra for sale
Pingback: red dog casino
Pingback: cialis generic
Pingback: new casino
Pingback: cialis internet
Pingback: cialis 20
Pingback: 20 cialis
Pingback: sugarhouse casino online
Pingback: jeannine
Pingback: online casino gambling
Pingback: real casino online
Pingback: online slots real money
Pingback: gambling games
Pingback: viagra pill
Pingback: buy real cialis online
Thank you, I have just been searching for info approximately this subject for a while and yours is the greatest I’ve came
upon till now. However, what about the conclusion? Are you sure about the source?
Also visit my blog – bovada sports locked bet