Na Jonas Kamaleki- MAELEZO, Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa shilingi bilioni 10 ili
ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinziwa Taifa uanze eneo la Kikombo, Wilaya ya Chamwino, Dodoma.
Rais Magufuli amesema kuwa uamuzi wa kujenga Makao Makuu hayo Jijini Dodoma ni jambo la
kizalendo ambalo linatimiza ndoto ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya
kuhamishia Makao Makuu Dodoma.
“Mwaka 2015 wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015 nilitoa ahadi ya kuhamishia Makao Makuu ya
nchi Dodoma ili kutimiza ndoto ya miaka zaidi 40 ya Baba wa Taifa, sasa imetimia na jeshi limehamia
Dodoma,”alisema Rais Magufuli.
Amiri Jeshi Mkuu amesema kuwa Jeshi la Wananchi limesaidia sana kuleta amani na si kwa Tanzania tu
bali Lebanon, Uganda, Jumhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na nchini nyingine nyingi Duniani.
Akiweka jiwe na msingi la ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, Rais aliamuru maandalizi ya ujenzi
ya barabara ya kuelekea eneo hilo yaanze wiki ijayo ili barabara ijengwe kwa kiwango cha lami.
Kuhusu fidia ya waliokuwa wakazi wa eneo ambalo limetwaliwa na Serikali kwa ajili ya ujenzi huo, Rais
Magufuli amemwagiza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi kuanza kuwalipa fidia kuanzia
tarehe 1, Desemba, 2019.
Mkazi wa Kijiji cha Kikombo, Paul Andrew amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuagiza walipwe fidia
na kuwajengea barabara kwa kiwango cha lami.
“Kwa kweli tunamshukuru Mhe. Rais kwa uamzi wake wa kutufidia kwani tumekaa miaka miwili bila
kulima kwenye maeneo yetu na bila kulipwa chochote,” alisema Andrew.
Ujenzi huu ni wa kihistoria kwani tangu Uhuru wa Tanganyika, Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa
unajengwa na Serikali ya Tanzania.
nevCfZ http://pills2sale.com/ viagra cialis buy
Im obliged for the blog post.Much thanks again. Keep writing.
I value the post.Really thank you! Will read on
Thank you for another great article. Where else could anybody get that kind of info in such a perfect way of writing? I have a presentation next week, and I am on the look for such information.
There is certainly a lot to know about this topic. I love all the points you made.
Very neat blog.Really looking forward to read more. Really Great.
I truly appreciate this post. I?аАТаЂаve been looking all over for this! Thank goodness I found it on Bing. You ave made my day! Thanks again
Very informative post.Really thank you! Fantastic.
together considerably far more and a lot more typical and it may very well be primarily an extension of on the internet courting
It as hard to come by well-informed people in this particular subject, however, you sound like you know what you are talking about! Thanks
Major thanks for the blog.Really thank you! Really Great.
There is definately a great deal to know about this subject. I love all the points you made.
Thanks for the blog post.Really looking forward to read more. Much obliged.
Major thankies for the blog article.Thanks Again. Really Great. this site
you may have an important blog here! would you prefer to make some invite posts on my blog?