
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimueleza jambo Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Cyril Ramaphosa kabla ya kumpa zawadi ya Kinyago cha mpingo Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemuomba Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Matamela Cyril Ramaphosa kuwahamasisha zaidi wafanyabiashara wa Afrika Kusini kuja kuwekeza hapa nchini kwa kuwa Tanzania inayo dhamira ya dhati ya kuongeza ushirikiano wake na nchi hiyo katika nyanja mbalimbali za kiuchumi.
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 15 Agosti, 2019 Ikulu Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari muda mfupi baada ya kufanya mazungumzo na Mhe. Rais Ramaphosa ambaye amewasili hapa nchini jana jioni kwa Ziara ya Kitaifa ya siku 3 na baadaye kuhudhuria Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika Jijini Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo yaliyotanguliwa na mapokezi rasmi yaliyofanyika katika viwanja vya Ikulu, Mhe. Rais Magufuli amesema katika kutekeleza mipango yake ya maendeleo na dira ya kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 Tanzania inawakaribisha wawekezaji mbalimbali, na kwa kuwa Afrika Kusini imepiga hatua kubwa katika viwanda amewaalika wafanyabiashara wa nchi hiyo kuja kujenga viwanda vya kuzalisha bidhaa mbalimbali zikiwemo dawa na vifaa tiba, kuchakata madini na kwamba Serikali itatoa ushirikiano wowote utakaohitajika.
Mhe. Rais Magufuli pia amemuomba Mhe. Rais Ramaphosa kuongeza ushirikiano na Tanzania katika utalii, hasa ikizingatiwa nchi hiyo inapokea watalii zaidi ya Milioni 10 kwa mwaka ikilinganishwa na Watalii Milioni 1.5 wanaoingia hapa nchini, na katika hilo ametoa wito kwa Afrika Kusini kuongeza safari za treni ya watalii na kwa wawekezaji wake kuja kuwekeza katika hoteli na fukwe za Tanzania.
Kwa upande wa biashara, Mhe. Rais Magufuli amesema Afrika Kusini ni nchi inayoongoza kwa kufanya biashara na Tanzania ikilinganishwa na nchi nyingine za SADC ambapo asilimia 70 ya bidhaa za Tanzania zinazokwenda SADC huenda Afrika Kusini na kwamba biashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini imeendelea kukua ambapo katika mwaka 2018 ilikuwa na thamani ya shilingi Trilioni 2 na Bilioni 687 ikilinganishwa na mwaka 2017 ilipokuwa na thamani ya shilingi Trilioni 2 na Bilioni 528.
Amempongeza Mhe. Rais Ramaphosa kwa kuja na wafanyabiashara ambao wanajadiliana na wafanyabiashara wa Tanzania juu ya kushirikiana kibiashara, na amemhakikishia kuwa Tanzania itakuwa tayari kuhakikisha ushirikiano huo unafanikiwa.
“Sisi Tanzania tumeamua kuwa tunanunua bidhaa zetu Afrika Kusini badala ya kununua bidhaa hizo huko mbali, na kwa kuanzia pikipiki za kuongozea misafara ya viongozi tutakazotumia wakati huu wa Mkutano wa 39 wa SADC tumenunua Afrika Kusini” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.
Kwa upande wake Mhe. Rais Ramaphosa amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kumwalika kufanya Ziara ya Kitaifa hapa nchini na amemhakikishia kuwa wananchi Afrika Kusini wanaiona Tanzania ni nyumbani kwao na hivyo Serikali yake ipo tayari kuuendeleza na kuukuza uhusiano mzuri kati yake na Tanzania.
Mhe. Rais Ramaphosa ameelezea kufurahishwa kwake na kuwepo kwa kampuni 228 za Afrika Kusini zilizowekeza nchini Tanzania na kuajiri wa zaidi ya watu 21,000 na ameahidi kwenda kuwahimiza zaidi wafanyabiashara na wawekezaji wa Afrika Kusini kuja kuwekeza nchini Tanzania huku akiwakaribisha wawekezaji wa Tanzania kwenda kuwekeza Afrika Kusini.
Ameipongeza Tanzania kwa kuzalisha mazao mengi ya chakula na ameahidi kuwa Afrika Kusini itaendelea kununua mazao kutoka Tanzania.
Aidha, Mhe. Rais Ramaphosa amesema Afrika Kusini ipo tayari kushirikiana na Tanzania katika nyanja nyingine mbalimbali zikiwemo afya, ulinzi na usalama, utalii na amekubaliana na mapendekezo ya Tanzania juu ya mpango wa kufundisha lugha ya Kiswahili nchini Afrika Kusini hasa wakati huu ambapo SADC inatarajia kuifanya kuwa lugha rasmi ya 4.
Katika ziara hii, Mhe. Rais Ramaphosa ameongozana na Mkewe Mhe. Dkt. Tshepo Motsepe ambaye wakati wa mazungumzo rasmi ya Waheshimiwa Marais amekuwa na mazungumzo na Mke wa Rais wa Tanzania Mhe. Mama Janeth Magufuli.
Pingback: viagra online us
Pingback: cialis price costco
Pingback: is there a generic cialis
Pingback: cialis on line
Pingback: when will cialis be over the counter
Pingback: viagra 50mg
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: buy ed pills
Pingback: over the counter erectile dysfunction pills
Pingback: ed pills otc
Pingback: cvs pharmacy
Pingback: cialis visa
Pingback: vardenafil pills
Pingback: levitra 10 mg
Pingback: sildenafil dosage
Pingback: play online casino real money
Pingback: no credit check loans
Pingback: pay day loans
Pingback: viagra cost
Pingback: cialis generic
Pingback: best online casinos match
Pingback: buy cialis
Pingback: online casino
Pingback: casino
Very nice post. I just stumbled upon your weblog and wanted to say that
I’ve really enjoyed browsing your blog posts.
In any case I will be subscribing to your feed and I hope you write again soon!
My family members every time say that I am killing my time here
at web, but I know I am getting experience daily by
reading such good articles or reviews. adreamoftrains web hosting companies
I seriously love your website.. Excellent colors & theme.
Did you create this site yourself? Please reply back as I’m attempting to create my own personal site and want to find out
where you got this from or exactly what the theme is called.
Appreciate it!
Pingback: online casinos real money
Peculiar article, exactly what I needed.
cheap flights 34pIoq5
Why users still use to read news papers when in this technological globe
everything is presented on net? 3aN8IMa cheap flights
Your style is very unique in comparison to other people I have read stuff from.
Many thanks for posting when you’ve got the opportunity, Guess I will just
book mark this web site.
We are a gaggle of volunteers and opening a brand new scheme in our community.
Your web site offered us with valuable info to work on. You have done an impressive job and our
entire group will likely be thankful to you.