
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa
nchini Balozi Manfredo Fanti aliyeongozana na Balozi Emilio Rosetti
alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa nchini Balozi
Manfredo Fanti aliyeongozana na Balozi Emilio Rosetti alipokutana naye
Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 05 Februari, 2020 amekutana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mhe. Dkt. Stergomena Tax, Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini Mhe. Manfred Fanti na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Baada ya mazungumzo yake na Mhe. Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa SADC, Dkt. Stergomena Tax amesema alikuja kutoa taarifa ya utekelezaji wa masuala mbalimbali ya SADC ikiwemo uendelezaji wa viwanda na kanda huru ya biashara ambapo wamekubaliana kuendelea kuhamasisha nchi wanachama kuendeleza viwanda ili kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi.
Ameelezea baadhi ya maeneo yaliyopo katika mkakati wa kukuza uchumi wa SADC kuwa ni kuendeleza miundombinu hasa ya usafiri na nishati ambayo bado ni changamoto kwa nchi za SADC, lakini ameipongeza Tanzania kwa hatua madhubuti zinazoendelea kuchukuliwa ikiwemo ujenzi wa barabara, reli na kuongeza uzalishaji wa umeme.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa nchini Balozi
Manfredo Fanti baada ya kukutana naye Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 5, 2020
Kwa upande wake Balozi wa EU hapa nchini Mhe. Manfred Fanti amesema mazungumzo yake na Mhe. Rais Magufuli yamekuwa na manufaa makubwa ambapo wamejadili maendeleo mazuri ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na EU, na kwamba katika siku za karibuni wamekamilisha mazungumzo yaliyoruhusu kuendelea kwa mpango wa EU kuchangia bajeti ya maendeleo ya Tanzania ambapo shilingi Bilioni 132 zilizokuwa zimezuiwa zimeruhusiwa na sasa wanaandaa mpango mwingine wa miaka 7 utakaoanza mwaka huu.
Mhe. Manfred Fanti amesema kwa jinsi anavyoyaona maendeleo ya Tanzania ana matumaini adana seo makubwa kuwa EU itaendelea kufanya kazi kwa ukaribu zaidi na Tanzania ili kufanya vizuri zaidi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke
alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 5, 2020
Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Mhe. Balozi Fanti kwa juhudi zake za kuimarisha uhusiano wa Tanzania na EU na amemhakikishia kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na EU katika masuala mbalimbali yenye maslahi kwa pande zote mbili.
Aidha, Mhe. Rais Magufuli amekutana na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke na kumkabidhi barua aliyomwandikia Rais wa China Mhe. Xi Jinping akimpa pole kwa janga la homa ya virus vya Corona lililolikumba Jiji la Wuhan nchini humo na kusababisha vifo vya mamia ya watu.
Pamoja na kukabidhi barua hiyo, Mhe. Rais Magufuli amesema Tanzania imeguswa na kulipuka kwa janga hilo na ipo tayari kutoa ushirikiano wowote ambao Serikali ya China itahitaji katika jitihada za kukabiliana na homa hiyo.
“China ni ndugu zetu ni marafiki zetu, tunatoa pole kwa Mhe. Rais Xi Jinping na Wachina wote waliopatwa na madhara ya homa hii, daima Tanzania tupo pamoja na China na katika hili tupo pamoja pia” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.
Kwa upande wake, Balozi Wang Ke amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuguswa na janga hilo na kuungana na China katika kipindi hiki kigumu. Ametumia nafasi hiyo kueleza hali ilivyo nchini China ambapo amesema Serikali ya China imeanza kupata mafanikio katika kukabiliana na homa hiyo, imefanikiwa kuzuia isienee katika nchi zingine kwa ushirikiano na Shirika la Afya Duniani (WHO) na nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax aliyeongozana na Afisa
wake mwandamizi Bw. Mkundi Mutasa alipokutana na kufanya naye
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020
Aidha, amemhakikishia Mhe. Rais Magufuli kuwa licha ya Tanzania kutokuwa na mtu yeyote aliyethibitika kuambukizwa homa ya Corona, pia Watanzania 400 waliopo katika Jiji la Wuhan ambao wengi wao ni wanafunzi hawajaambukizwa homa hiyo na jitihada za kuhakikisha wanakuwa salama zinafanyika.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
05 Februari, 2020
Pingback: Buy viagra professional
Pingback: cialis otc
Pingback: cheap cialis online
Pingback: viagra 50mg
Pingback: ed pills otc
Pingback: impotence pills
Pingback: best ed pills
Pingback: sale cialis
Pingback: canadian pharmacy
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: best online casino real money
Pingback: online slots for real money
Pingback: parx casino online
Pingback: online slots
Pingback: canadian pharmacy cialis
Pingback: quick cash loans
Pingback: loans online
Pingback: loan online
Pingback: viagra pills
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: cialis buy
Pingback: generic for cialis
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: Planet7
Pingback: slot machines online for real money
Pingback: online casino gambling
Pingback: golden nugget online casino
Pingback: online casino games real money
Pingback: casino online real money
Pingback: tadalafil reviews
Pingback: viagra vs cialis
Pingback: casino slot games
cialis 20mg tadalafil http://lm360.us/
hydroxychloroquine over the counter https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Pingback: Cialis 20mg usa
whoah this weblog is fantastic i really like studying your posts.
Stay up the good work! You know, a lot of individuals are looking around for this info, you could help them greatly. https://www.wisig.org/
It’s an awesome article designed for all the internet people; they will take advantage from it I am sure. http://grassfed.us/
what works better viagra or cialis or levitra http://cialistodo.com/ where to buy over the counter cialis
buy cialis daily dose
viagra effects on women
levitra 20mg best price Situg Kig
best prices on viagra
cialis drug interactions
buy cheap cialis australia Situg Kig
cost of cephalexin at walmart https://keflex.webbfenix.com/
viagra 50mg tablets uk
less expensive male viagra
cialis 10 mg packungsgro e Situg Kig
cialis paypal
to buy cialis in toronto
pink pill for women viagra Situg Kig
Pingback: buy celexa
Pingback: hollywood casino online real money
sildenafil citrate 20mg generic brand http://cavalrymenforromney.com/
Pingback: zyvox 600mg cost
Pingback: tadalafil 60mg australia
erection pills pharmacies near me best drugstore eyebrow pencil
ed meds online http://pharmacy-onlineasxs.com/ best drugstore setting spray
Pingback: glimepiride 4 mg uk
indian pharmacy rx pharmacy coupons approved canadian online pharmacies
rx ed drugs online pharmacy
drugstore drug store news ce online pharmacy reviews
Pingback: atomoxetine cheap
medicamento lasix furosemida lasix to buy in the uk administra??o de lasix ev
prednisone treatment for nerve pain buy prednisone 10mg online prednisone 30 days
neocalis cialis buy cialis online europe buying cialis in kuala lumpur
buying ampicillin
canada pharmacy daily tadalafil
generic viagra release Situg Kig
how long does cialis 20mg last buy cialis mastercard
cialis distributor cialis vente de cialis en espagne
combien coute le cialis 20mg en pharmacie