
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh.Luhaga Mpina (mwenye miwani) akiangalia maboksi ya samaki aina ya Migebuka yenye kilo 240 yaliyokamatwa katika kituo kikuu cha mabasi cha mjini Kagera hapo jana.
Na.Mwandishi Wetu, Kagera.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Mpina amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Yohana Budeba kumsimamisha kazi mara moja Afisa wa Kitengo cha Doria na Udhibiti wa Uvuvi wa mpakani katika Mkoa wa Kagera bwana Ayoub Ngoma kwa tuhuma za kushiriki katika utoroshaji wa samaki.
Kwa mujibu wa Waziri Mpina, samaki waliotoroshwa ni kilo 2,530 wenye thamani ya Tsh. 20,850,000/= ambao walitoroshwa kwenda nchini Burundi.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina (mwenye miwani) akitoa tamko la kumsimamisha kazi mara moja Afisa wa Kitengo cha Doria na Udhibiti wa Uvuvi wa mpakani katika Mkoa wa Kagera bwana Ayoub Ngoma kwa tuhuma za kushiriki katika utoroshaji wa samaki wenye kilo 2530 kwenda nchini Burundi zenye thamani ya shilingi 20,850,000/= hapo jana.
Akizungumza katika ofisi ya Kitengo hicho iliyopo mjini Kagera, Mpina alisema mnamo tarehe 03/12/2017 majira ya Saa 03:00 asubuhi, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Ngara ilikamata gari lenye namba za uasajili T 614 CLQ aina ya Mitsubishi Canter likiwa limepakia samaki zenye uzito wa kilo 2,000 aina ya Sangara na kilo 530 wa aina ya Sato kwenye mpaka wa Murusagamba wilayani Ngara.
“Katika kipindi cha uongozi wangu, tayari nimesha waagiza Makatibu Wakuu waliopo katika Wizara yangu kutembea na barua zilizozosainiwa za kusimamisha kazi watumishi wote wanaohujumu jitihada za Serikali ibaki kujaza jina tu. Kwa sasa hatuna hata nusu dakika ya uvumilivu kwa watu kama hawa, tutawaondoa mara moja.” Alisisitiza Mpina
Aidha, Waziri alisema Afisa huyo na Dereva wa gari hilo bwana Ayuob Sanga wanashikiliwa na polisi kwa hatua za kisheria kwa kuhusika na tukio hilo, na kuongeza kwamba samaki hao walikuwa wakitoroshwa kwenda nje ya nchi bila ya kufuata Sheria ya Uvuvi Na 22 ya 2003 na taratibu mbalimbali za usafirishaji wa samaki na mazao yake nje ya nchi.

Moja ya boti inayotumika kwenye doria katika ziwa Viktoria na Kitengo cha Doria na Udhibiti wa Uvuvi wa mpakani katika Mkoa wa Kagera.
Afisa Mfawidhi wa Kanda wa Kitengo cha Doria na Udhibiti wa Uvuvi wa mpakani katika Mkoa wa Kagera bwana Gabrieli Mageni alimweleza Waziri Mpina baadhi ya taratibu zilizokiukwa kuwa ni pamoja na samaki hao kutopaswa kuvuliwa kwa kuwa walikuwa wakubwa zaidi ya sentimeta 85 na wadogo chini ya sentimeta 50.
Taratibu nyingine zilizokiukwa ni, msafirishaji kutokuwa na kibali cha kusafirisha mazao ya uvuvi, kutolipia ushuru na mrabaha wa Serikali, kutokuwa na cheti cha afya pamoja na leseni ya kuuza mazao ya uvuvi nje ya nchi.
Waziri Mpina alisema samaki hao walitaifishwa na kugawanywa kwa wananchi wa Murusagamba, Kiteule cha Jeshi la Wananchi la Tanzania Murusagamba, Kituo cha Polisi Murusagamba pamoja na Shule ya Sekondari Murusagamba baada ya kupata kibali cha Mahakama.
Alisema kazi hiyo ilifanyika chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ngara. Luteni kanali,Michael Mtenjele.
Ametaja baadhi ya matukio yaliyotokea hivi karibuni kuwa ni pamoja na kukamatwa kwa furu kilo 9100 zilizokuwa zinatoroshwa kwenda nchini Uganda ambapo zilitaifishwa na kuuzwa kwa amri ya mahakama,pamoja na kukamatwa kwa uduvi kilo 5000.
Waziri Mpina amewaomba wavuvi kuzingatia Sheria na taratibu mbalimbali za uvuvi nchini ili sekta hiyo iwe na tija na kuchangia katika uchumi wa kati wa viwanda ifikapo 2025.
Waziri Mpina alitoa wito kwa Halmashauri zote nchini kushiriki kikamilifu katika kulinda raslimali za majini na baharini kwa kuwa licha ya raslimali hizo kutoa mchango mkubwa wa uchumi kwa taifa pia manufaa yake ni makubwa kwao.
Pingback: cialis from canada
Pingback: generic cialis canada
Pingback: Overnight delivery viagra
Pingback: Buy cheap viagra now
Pingback: order cialis online
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: viagra 50mg
Pingback: viagra for sale
Pingback: erectile dysfunction medication
Pingback: sale cialis
Pingback: rx pharmacy
Pingback: Cialis in usa
Pingback: levitra 20 mg
Pingback: vardenafil 10 mg
Pingback: casino slots gambling
Pingback: play for real online casino games
Pingback: online pharmacy viagra
Pingback: real money online casinos usa
Pingback: online casino games for real money
Pingback: payday advance
Pingback: no credit check loans
Pingback: viagra 100mg
Pingback: cialis buy
Pingback: cialis 20
Pingback: cialis internet
Pingback: online us casinos that accept mastercard
Pingback: wind creek casino online play
Pingback: olympic casino online download
Pingback: online casinos usa
Pingback: real money online casinos usa
Pingback: slot machine
Pingback: online casinos usa
Pingback: best generic viagra
buy cialis http://lm360.us/
Every weekend i used to go to see this web page, as i wish for enjoyment, as
this this web page conations truly good funny stuff too.
Here is my web blog – bovada referral email
Excellent send. I was checking unendingly this web log and I am
impressed! Extremely helpful info peculiarly the final
role 🙂 I claim give care of such info a hatful. I was quest this
sure info for a real lengthy clock time. Thanks and outdo of circumstances. http://www.stdstory.com/
Your way of telling all in this paragraph is genuinely good,
every one can without difficulty know it, Thanks a lot. https://azhydroxychloroquine.com/
I used to be able to find good information from your blog posts. https://buszcentrum.com/
Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew
of any widgets I could add to my blog that automatically tweet
my newest twitter updates. I’ve been looking for a plug-in like
this for quite some time and was hoping maybe you would have some experience with something like this.
Please let me know if you run into anything.
I truly enjoy reading your blog and I look forward to
your new updates. https://www.wisig.org/
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
drug pharmacy best online pharmacy best online pharmacy
how much does viagra cost buy ed pills online cheapest generic viagra
viagra over the counter usa 2020 viagra viagra amazon
best ed treatment pills cheap ed pills online canadian drugstore
best drugstore setting powder pharmacy online drugstore best online canadian pharmacy
discount rx drugs from canada online canadian pharmacy