Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa akiwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu Kijaji pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato wakiwa katika Kikao cha majadiliano ya Wadau mbalimbali katika Sekta ya Uwekezaji wa Mafuta katika Jiji la Kampala nchini Uganda tarehe 11 Mei, 2022.
Pages: 1 2