
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, akifuatilia mada mbalimbali kwenye kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dkt.Bashiru Ally na kulia ni Mkurugenzi Mkuu Takukuru, Diwani Athuman.
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), George Mkuchika amesema Tanzania inaendelea kupata heshima kubwa katika Jumuiya ya Kimataifa katika vita vya mapambano dhidi ya rushwa kutokana na mshikamano na nguvu ya pamoja iliyopo katika vyombo na taasisi zinazosimamia utawala bora nchini.
Akizungumza katika kongamano la siku maalum dhidi ya rushwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam leo Jumatano (Julai 3, 2019) Waziri Mkuchika alisema utafiti uliofanywa na taasisi hizo zimesifu juhudi za zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano na kuitaja Tanzania kuwa ni nchi ya mfano katika vita vya mapambano dhidi ya rushwa.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, akifurahia jambo katika kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Assad, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dkt.Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dkt.Bashiru Ally, akiteta Jambo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Assad, kwenye kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius NyerereJijini Dar es Salaam,
Mkuchika aliasema taasisi hizo zikiwemo MO Ibrahim, Transparency International, APRM na taasisi nyingine kubwa duniani zinazosimamia masuala ya utawala bora zimefanya utafiti na kusifu juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Tanzania chini ya Rais Dkt. John Magufuli katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo tafiti mbalimbali zimeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili nyuma ya nchi ya Rwanda.
Waziri Mkuchika alisema Serikali ya Awamu ya tano imeendelea kuweka mkazo na msukumo katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo taasisi zote zinazosimamia masuala ya utawala bora zimekuwa zikiunganisha nguvu ya pamoja na kulifanya suala la rushwa sasa kuwa na nguvu na msukumo mpya wa mapambano katika jamii.
“Kwa sasa vyombo vyetu vyote serikalini si TAKUKURU pekee bali pia polisi, tiss (usalama wa taifa), Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ICAG) na vingine vyote, vimeendelea kuunga katika kusimamia masuala ya utawala bora na hili limeleta msukumo na hamasa mpya katika vita dhidi ya rushwa hapa nchini” alisema Waziri Mkuchika

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dkt.Bashiru Ally, akiteta Jambo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Assad, kwenye kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius NyerereJijini Dar es Salaam,

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika akufuatilia mijadala mbalimbali kwenye kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Assad (wa kwanza kushoto), Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dkt.Bashiru Ally.
Akizungumzia rushwa katika sekta ya viwanda na biashara, Waziri Mkuchika alisema Serikali imeendelea kuweka mikakati mbalimbali katika kupunguza tatizo hilo ambalo limekuwa likiathiri sekta binafsi ambayo imekuwa mshirika wa karibu wa serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Kwa mujibu wa Waziri Mkuchika alisema rushwa katika sekta biashara imekuwa ikiathiri sana masuala ya uwekezaji wa kigeni, ambapo eneo lililonyesha kutawala kwa rushwa ni katika eneo la utoaji wa vibali na leseni kutoka katika taasisi na idara muhimu za serikalini na hivyo serikali imeendelea kulifanyia kazi ili kuhakikisha kuwa vikwazo hivyo vinaondolewa kwa wawekezaji na hivyo kuharakisha ukuaji wa uchumi.
Akifafanua zaidi Mkuchika anasema kutokana na serikali kutambua mchango wa sekta ya viwanda na biashara katika kukuza uchumi na uzalishaji wa ajira nchini ili kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, Serikali imekuwa ikifanya marekebisho mbalimbali ya sheria na sera mbalimbali ambazo zimekuwa ni sehemu ya mianya ya rushwa nchini ikiwemo eneo la kodi.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Takukuru, Diwani Athuman akisisitiza jambo wakati wa kuwasilisha Mada yake kuhusu Mwelekeo wa Taasisi hiyo katika mapambano dhidi ya Rushwa, katika kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

wa kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa lililofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakifuatilia kwa makini kongamano hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Takukuru, Diwani Athuman akiwasilisha Mada mbele ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maanajimenti ya Utumishi na Utawala Bora, Kapt.Mstaafu George Mkuchika, kuhusu Mwelekeo wa Taasisi hiyo katika mapambano dhidi ya Rushwa, kongamano la siku maalum dhidi ya Rushwa iliyofanyika katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam huku kauli Mbiu yake ikiwa ni ‘Usindikazi wa Mazao ya Kilimo kwa Maendeleo Endelevu ya Viwanda’ (Picha na Paschal Dotto-MAELEZO)
“Kutokana na kudhibiti rushwa kwa sasa kiwango cha ukusanyaji wa mapato ya mwezi yameweza kuongezeka kutoka Tsh Bilioni 800 kwa mwezi hadi kufikia Tsh trilioni 1.3 hii inaoyesha kuwa kulikuwa na maeneo ambayo kulikuwa na uvujaji wa mapato ya serikali kulikochangiwa na sababu mbalimbali ikiwemo rushwa”
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Diwani Athumani alisema serikali imeendelea kushirikiana na wadau wa sekta binafsi kupitia Mpango Mkakati dhidi ya mapambano ya rushwa (NASCAP III) ili kuhakikisha kuwa mapambano na vita dhidi ya rushwa yanapata mafanikio nchini.
Anaongeza kuwa kupitia NASCAP III, ofisi yake imeendelea kutekeleza masuala mbalimbaliu ikiwemo kufanya tafiti kubaini ukubwa na kiwango cha rushwa nchini, kupokea maoni, kutoa elimu kwa umma kupitia makongamano, rushwa pamoja na kufanya uchunguzi na kufungua mashtaka kwa watu mbalimbali wanaopatikana na hatia dhidi ya rushwa.
Pingback: viagra coupon cvs
Pingback: viagra generic
Pingback: erection pills that work
Pingback: erectile dysfunction medication
Pingback: best over the counter ed pills
Pingback: buy generic cialis
Pingback: rx pharmacy
Pingback: canada pharmacy
Pingback: canadian online pharmacy
Pingback: order vardenafil
Pingback: levitra coupon
Pingback: betfair casino online
Pingback: online slots real money
Pingback: viagra dosage
Pingback: hollywood casino online real money
Pingback: real money casino app
Pingback: cialis generic name
Pingback: online loans
Pingback: installment loans
Pingback: pay day loans
Pingback: online casino for real cash
Pingback: emilia
Pingback: online roulette european
Pingback: 20 cialis
Pingback: 20 cialis
Pingback: new cialis
Pingback: LuckyCreek
Pingback: online casinos
Pingback: hollywood casino
Pingback: generic for viagra
Pingback: generic viagra cost
Pingback: when to buy viagra
Pingback: viagra generic
Pingback: where to buy viagra online
Pingback: viagra alternative
It’s the best time to make a few plans for the longer term and it is time to be happy. I have learn this submit and if I could I wish to counsel you few fascinating things or advice. Maybe you can write next articles regarding this article. I want to learn more issues about it!
how many milligrams in viagra
before and after viagra pictures
himalayan viagra
Pingback: cialis 20mg
webpage on google goes to viagra page
buy viagra uk
how dies viagra work
I simply couldn’t leave your web site before suggesting that I actually loved the usual info a person supply for your visitors? Is going to be again incessantly in order to inspect new posts
Pingback: buy viagra jelly online uk
Pingback: viagra best buy reviews
100 viagra pill
buy viagra uk http://www.v1agrabuy.com viagra online
how to hide the taste of viagra in a drink
Pingback: safest pharmacy to buy generic viagra
how to buy viagra online http://viagraeiu.com/
Pingback: Viagra 130 mg tablet
Pingback: viagra prices
viagra invted
online viagra https://viaonlinebuy.us/ viagra buy
usa viagra fast delivery
Pingback: Viagra 150mg without a prescription
Hey there! I just wish to give you a huge thumbs up for the excellent information you have
right here on this post. I will be returning to your website for more soon. http://grassfed.us/
I read this piece of writing fully on the topic of the comparison of latest and earlier
technologies, it’s awesome article. https://azhydroxychloroquine.com/
hydroxychloroquine pills https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
The exact values for Levitra ODT (Staxyn) suffer not been reported,
only this drug provides a higher systemic photo compared with the film-coated formulation (Levitra).
For this reason, these deuce formulations are non equivalent milligram for milligram and hence are not interchangeable.
In addition, scorn the percept that an ODT conceptualisation would take up effect more than quickly, both the film-coated tablets and the ODT
formulation give birth interchangeable onsets of carry through. http://lm360.us/
Pingback: sildenafil
Pingback: Cialis 10mg medication
can i bring viagra back from mexico
viagra
when did viagra go on the market
This is a topic that is near to my heart… Many thanks! Where are your contact details though?
Pingback: sildenafil 120 mg united states
scientific term for viagra
what to expect when you take viagra for the first time
how to order viagra from uk
Pingback: allopurinol 300mg cheap
how many pills come with a typical viagra perscription
http://due.im/short/2jrR# – sildenafil
how is viagra metabolized
NaeqKy http://pills2sale.com/ levitra nizagara
order viagra online fast shipping
can you buy viagra without prescription
taking viagra without Situg Kig
cvs generic viagra price
viagra substitutesildenafil coupons https://popularedstore.com/ tadalafil generic at walgreenscheap cialis
how long does viagra headache last
cialis australia buy
generic cialis daily use
cialis generic viagra Situg Kig
cephalexin 500 mg cap https://keflex.webbfenix.com/
viagra tablets kamagra
buy viagra overseas
buy erythromycin ophthalmic ointment Situg Kig
where to buy viagra in canadahow long does it take for viagra to become effective
how much does viagra cost https://aviib.com/ no prescription cialisover the counter viagra
viagra in mineral wellswhat happens when you take two viagra
Do you play any instruments? omeprazole dr tablets 20 mg dosage “Although they are less likely to be able to carry out spectacular homeland attacks like 9/11, they have the capacity to go after our embassies,” Obama said. “They have the capacity to go after our businesses. They have the capacity to be destabilizing and disruptive in countries where the security apparatus is weak. And that’s what we are seeing now.”
I’m unemployed viagra sales in london “Who knows when it will change up again?” she mused to me recently. Indeed, in step-families and adult step-families at that, whether they are royal or regular, the only constant is change. Flexibility about just about everything: what to be called, how and when to help, when to step back and when to step up – allows stepparents at every life stage retain their sanity, enjoy their marriages and handle the dynamic relationships that define their lives. Judging by her exciting life to date, and her own experiences of being a grandmother, I am sure the Duchess of Cornwall is more than up to the challenge of being step-grandmother to the future king.
viagra nerve damage repair
sildenafil 20 mg tablet reviews buy tadalafil https://edphrm.com/ when will generic viagra be available sildenafil citrate 100mg generic
canadian pharmacy viagra reviews
Pingback: levitra vs viagra
Pingback: celebrex over the counter
Pingback: cheapest cipro 750 mg
Pingback: casino
Pingback: wind creek casino online games
Pingback: casino gambling
Pingback: zestril coupon
cialis 2 5 mg vs 20 mg
what is the usa price for generic cialis
member php buy levitra Situg Kig
Pingback: zyvox purchase
Pingback: furosemide 40 mg pharmacy
online pharmacy canada texas state board of pharmacy best canadian pharmacy
canadian pharmacy online canadian pharmacy online ed meds online
Pingback: escitalopram 5mg canada
Pingback: order aripiprazole
Pingback: buy spironolactone
canada drug pharmacy mexican pharmacy online best drug store mascara
Pingback: meclizine 25 mg united states
Pingback: atomoxetine 25 mg nz
Pingback: cheap donepezil
mail order viagra online
cheapest prices on generic viagra
generic cialis online safe Situg Kig
long term lasix use lasix diuretic for sale how much potassium with lasix
Pingback: olmesartan 20mg united states
Pingback: celecoxib 200 mg united kingdom
free online dating websites,dating online free
free dating sites,dating sites http://freedatingste.com/
cheap cialis india can you buy cialis without a prescription
order cialis without a prescription cialis cure venous leak
Pingback: prochlorperazine price
buy cialis online in canada nouveau cialis
cialis krankenkasse erektionsmittel wo bekomme ich cialis
wann läuft der patentschutz für cialis ab
browse tinder for free , tinder website https://tinderdatingsiteus.com/
Pingback: cheapest tolterodine
can you buy cialis without a prescription donde consigo cialis generico