Na Mwandishi Wetu, Lindi
Mkoa wa Lindi umetumia zaidi ya bilioni 10.4 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi cha miaka minne kuboresha sekta ya afya.
Akizungumza katika kipindi cha ‘TUNATEKELEZA’ Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi amesema kuwa baadhi ya miradi iliyonufaika na fedha hizo ni pamoja na ujenzi wa Hosptali za Wilaya, Vituo vya Afya, na Zahanati ili kuwawezesha wananchi kupata huduma bora za afya.
“Ujenzi wa miundombinu katika sekta hii umeenda sambamba na upatikanaji wa dawa ambao umefikia zaidi ya asilimia 95 katika maeneo yote ya kutolea huduma katika mkoa wetu,” alisisitiza Zambi.
Akifafanua,amesema kuwa kuimarishwa kwa huduma za afya katika mkoa huo kumesaidia kuwawezesha wananchi kushiriki katika kukuza uzalishaji wa mazao ya biashara na chakula, hivyo kukuza uchumi wa mkoa huo na Taifa kwa ujumla.
Akizungumzia elimu bure Mhe. Zambi amesema kuwa zaidi ya shilingi bilioni 4 zimetolewa kugharamia elimu bure katika mkoa huo hali iliyowezesha kuongeza maradufu kiwango cha wanafunzi wanaosajiliwa kujiunga na shule za msingi.
Kwa upande wa chuo cha ualimu Nachinge, Mhe. Zambi amesema kuwa zimetumika kukarabati chuo hicho kwa kuboresha miundombinu yake ikiwemo mabweni, maktaba na madarasa.
Katika sekta ya maji, Mradi wa Ngapa umewezesha uzalishaji wa maji kufikia lita milioni 7.5 ikilinganishwa na lita milioni 2 zilizokuwa zikizalishwa awali kabla ya kutekelezwa kwa mradi huo.
Mhe. Zambi amebainisha kuwa mkoa huo umepiga hatua katika sekta ya uwekezaji kutokana na kuwepo kwa nishati ya uhakika baada ya mkoa huo kuunganishwa na gridi ya Taifa hali inayowezesha wawekezaji kuwekeza katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, gesi na uchimbaji wa madini.
“Mkoa wa Lindi umepata wawekezaji katika sekta ya uchimbaji wa madini ya graphite na bado tunaendelea kuwakaribisha wawekezaji wengine kuja kuwekeza katika mkoa wetu kutokana na kuimarishwa kwa miundombinu na upatikanaji wa umeme wa uhakika,” alisisitiza Zambi.
Mkoa wa Lindi ni moja ya mikoa iliyofanikiwa katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayolenga kuleta mageuzi na ustawi wa wananchi katika sekta za afya, elimu, maji, barabara na nyingine zinazolenga kukuza uchumi.
Mwisho
- Vijana Nchini Wamehimizwa Kushiriki Kuchagua Viongozi wa Serikali za Mitaa
- Majaliwa Afungua Kongamano la Biashara na Wakandarasi Kanda ya Kusini.
hbCALE http://pills2sale.com/ levitra nizagara
I’d like to open an account how much tylenol pregnancy safe The documents outline how the Iranian political earthquake was to be undertaken. One paper titled âCampaign to Install Pro-Western Government in Iran Authorityâ lists the objectives as âthrough legal, or quasi-legal, methods, to effect the fall of the Mossadegh governmentâ including âexposing his collaboration with the Communistsâ and âto replace it with a pro-Western government under the Shahâs leadership.â
I can’t stand football tylenol cold and flu pills review The results lend further weight to earlier studies showing that gut bacteria, which are more numerous than the cells of the human body, probably play a significant role in raising or lowering the risk of someone putting on weight.
I’m unemployed minoxidil 5 barba yahoo The United States and other Western powers shut their diplomatic missions across the Middle East, Africa and Asia after Washington said it had information about unspecified terrorist threats. Most legations have since reopened.
Go travelling apo escitalopram 10 mg Peña Nieto's major security proposal at the start of his term was the creation of a paramilitary force, modeled on France's gendarmerie and the national police of several South American countries, that would eventually replace the more than 40,000 troops now in the field. But initial plans for 10,000 gendarmes that would quickly expand to 40,000 have now been slashed to just 5,000 officers.
I didn’t go to university can trazodone get you high reddit “We’re attempting to understand as best we can his life up until the moment of that shooting, which would include trying to understand whether there were any issues related to work. That’s work that’s underway now. … We’re doing a lot of work to understand his electronic [communications].”
I can’t get a dialling tone masteron results forum The 17-year-old aspiring model â the only child of actors Kim Basinger and Alec Baldwin â posted an open letter online to her new half-sister, Carmen Gabriela, who was born Friday evening to Alec Baldwin and his second wife, yoga instructor Hilaria Baldwin, 29.
I’d like to tell you about a change of address does aleve contain sulfa “Attempts to bypass the security council, once again to create artificial groundless excuses for a military intervention in the region are fraught with new suffering in Syria and catastrophic consequences for other countries of the Middle East and North Africa,” a foreign ministry spokesman said.
Highly descriptive post, I loved that bit. Will there be a part 2?|
Hey there, You’ve done a great job. I’ll certainly digg it and individually recommend to my friends. I’m sure they’ll be benefited from this site.|
Thanks for your personal marvelous posting!
I genuinely enjoyed reading it, you might be a great author.
I will make certain to bookmark your blog and will
eventually come back later in life. I want to encourage that you
continue your great writing, have a nice afternoon!
This is my first time go to see at here and i am really impressed to read all at one place.|
Hi there, just wanted to say, I enjoyed this post. It was practical. Keep on posting!|
When I originally left a comment I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on whenever a comment is added I receive 4 emails with the exact same comment. There has to be a means you are able to remove me from that service? Thank you!|
Hi! This post couldn’t be written any better! Reading through this post reminds me of my previous room mate! He always kept chatting about this. I will forward this article to him. Fairly certain he will have a good read. Thanks for sharing!|
You really make it appear so easy along with your presentation however I in finding this topic to be really one thing that I feel I might never understand. It kind of feels too complex and extremely vast for me. I’m looking forward for your next put up, I’ll attempt to get the cling of it!|
Very great post. I simply stumbled upon your weblog and wished to say that I have really enjoyed browsing your weblog posts. In any case I’ll be subscribing on your rss feed and I hope you write once more very soon!|
Nice response in return of this difficulty with real arguments and telling all about that.|
I am actually thankful to the holder of this site who has shared this enormous piece of writing at here.|
I visited several sites but the audio quality for audio songs current at this website is actually fabulous.|
I was curious if you ever thought of changing the page layout of your blog? Its very well written; I love what youve got to say. But maybe you could a little more in the way of content so people could connect with it better. Youve got an awful lot of text for only having one or 2 images. Maybe you could space it out better?|
That is very fascinating, You are a very professional blogger. I have joined your feed and look ahead to looking for more of your excellent post. Also, I’ve shared your site in my social networks|