
Watumishi wapya wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakifuatilia mafunzo elekezi na upekuzi yaliyoanza leo kwenye Ukumbi mdogo wa Bunge, Dar es Salaam.

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (aliyesimama) akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi na upekuzi kwa watumishi wapya wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali yaliyoanza leo, Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, amewataka watumishi wapya kuwa waadilifu na kutumia weledi katika kutekeleza majukumu yao ndani ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.
Dkt. Mafumiko amesema hayo leo wakati akifungua mafunzo elekezi na upekuzi kwa watumishi wapya arobaini na sita wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Dar es Salaam.
“Taasisi hii inamajukumu makubwa kwa jamii na Serikali, hivyo mtumishi unapaswa kutumia weledi katika utekelekezaji wa majukumu yako na kuwa muadilifu na muaminifu katika kuyatekeleza majukumu utakayokabidhiwa.

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (aliyekaa katikati), Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara, Bw. George Kasinga (kushoto) na Meneja Rasilimali Watu na Kumbukumbu, Bi. Nancy Nombo (kulia) wakiwa pamoja na watumishi wapya wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali baada ya ufunguzi wa mafunzo elekezi na upekuzi.
Unapotumia taaluma yako katika kutekeleza majukumu ya kila siku fahamu unahusika moja kwa moja na maisha ya watu wengine, jamii na nchi, kwa sababu unahusika na usimamizi wa afya za binadamu na mazingira. Unapaswa kufahamu wewe kama mtumishi ni kioo cha taasisi na Serikali, hivyo unapotumia weledi na uadilifu katika kutimiza majukumu yako ya kiuchunguzi wa kimaabara na kutoa majibu yenye kuaminika kwa jamii na Serikali inasaidia kukupa heshima kama mtumishi pamoja na taasisi na Serikali kwa ujumla.”
Aidha, Mkemia Mkuu wa Serikali, aliwafahamisha watumishi hao kuwa majukumu yote yanayosimamiwa na Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali yapo kisheria ndio maana inasimamia utekelezaji wa Sheria nne za nchi kwa sasa.
“Kila kinachotekelezwa na Mamlaka hii kipo kisheria, hivyo mtambue tunatekeleza majukumu ya Sheria nne ambazo ni Sheria inayoiunda Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Na.8 ya 2016, Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Kemikali za Viwandani na Majumbani Na. 3 ya mwaka 2003, Sheria ya Vinasaba vya Binadamu Na. 8 ya mwaka 2009 na Sheria ya Wanataaluma wa Kemia Na. 9 ya mwaka 2016, hivyo tunapaswa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia Sheria hizo pia kufuata Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma.”
Pingback: price of viagra
Pingback: levitra vs cialis
Pingback: order cialis online
Pingback: cheap viagra
Pingback: gnc ed pills
Pingback: gnc ed pills
Pingback: best over the counter ed pills
Pingback: cialis for sale
Pingback: canadian pharmacy online
Pingback: vardenafil canada
Pingback: online casinos
Pingback: casino online slots
Pingback: canada viagra
Pingback: online slots
Pingback: online casino for real cash
Pingback: cialis professional
Pingback: personal loan
Pingback: online payday loans
Pingback: free slots online
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: generic for cialis
Pingback: generic cialis
Pingback: sylviawal
Pingback: us online casinos that accept echeck
Pingback: casino
Pingback: viagra sildenafil
Pingback: non prescription viagra
Pingback: best online casino usa
Pingback: where can i buy Premarin 0,3mg
over the counter viagra cheap generic viagra viagra amazon
Pingback: cheapest celebrex 100 mg
Pingback: online slots for real money
Pingback: doubleu casino
Pingback: alliance car insurance quotes
Pingback: wellbutrin 300mg over the counter
Pingback: zanaflex 2mg price
Pingback: zestril without prescription
Pingback: zithromax medication
Pingback: this content
Pingback: cheap zovirax 400 mg
Pingback: cost of pioglitazone
pet antibiotics without vet prescription https://canadarx24.com/#
prescription drugs without prior prescription
cvs prescription prices without insurance
https://canadarx24.com/#
prescription drugs online without doctor
Pingback: cost of glimepiride 1mg
Pingback: atomoxetine australia
cost of cialis 20mg tablets
http://edcheapgeneric.online/
cialis professional
Pingback: buspirone 5mg canada
Pingback: cefuroxime cost
Pingback: where to buy celecoxib 200mg
real cialis without a doctor’s prescription
http://tadedmedz.online
what is cialis
Pingback: carvedilol pharmacy