
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi (katikati), akifurahia jambo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndungulile (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Ally Possi, mara baada ya kuwasili katika Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi, baada ya kuwasili katika Sherehe za Kuadhimisha ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Novemba 20, 2019, ambako alialikwa kuwa mgeni Rasmi.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi (kulia), akiteta jambo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndungulile, baada ya kuwasili katika Sherehe za Kuadhimisha ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere, leo Novemba 20, 2019, ambako alialikwa kuwa mgeni Rasmi.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi, akipata maelezo kutoka kwa mtalaam kutoka Shirika la Watoto Duniani (UNICEF), katika moja ya banda lililokuwepo kwenye Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndungulile, akizungumza na Washiriki wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Ally Possi, akizungumza na Washiriki wa Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala mwaka wa Tatu, Rose Mweleka, akiwasilisha mada kuhusu jinsi ya kutekeleza haki za watoto wa kike ikiwemo kuwafundisha hatua za makuzi ili kuwawezesha kukabiliana na hali wakifikia umri husika, Mada hiyo iliwasilishwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Mwakilishi wa Wanafunzi kutoka Zanzibar, Abdulatif Hassan, akiwasilisha mada kuhusu jinsi ya kuwasaidia watu wenye UKIMWI (hasa watoto), ili kuwawezesha kukabiliana na hali bila kuwanyanyapaa, Mada hiyo iliwasilishwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Wanafunzi wakionyesha bango lenye ujumbe wa haki za watoto mara baada ya kuzindua ajenda kuhusu haki za watoto uliofanyika kwenye Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Watoto kutoka Shule mbalimbali za Jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Watoto kutoka Shule mbalimbali za Jijini Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi, na viongozi wengine wa Serikali katika Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.

Watoto kutoka Kikundi cha Safi Theater cha Jijini Dar es Salaam, wakionesha jinsi watoto wa shule wanavyofanyiwa ukatili wa kijinsia na waendesha Bodaboda na Daladala na kukatishwa masomo, igizo lilitolewa katika Maadhimisho ya Siku ya Haki ya Mtoto Duniani iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere.
Pingback: viagra vs levitra
Pingback: Discount viagra online
Pingback: cialis from canada
Pingback: when will generic cialis be available
Pingback: cialis pills
Pingback: viagra 100mg
Pingback: men's ed pills
Pingback: gnc ed pills
Pingback: cheap erectile dysfunction pills online
Pingback: generic cialis online
Pingback: canada pharmacy
Pingback: cvs pharmacy
Pingback: Buy cialis online
Pingback: cialis mastercard
Pingback: levitra usa
Pingback: vardenafil 20mg
Pingback: vardenafil canada
Pingback: hollywood casino online
Pingback: buy viagra
Pingback: cash loan
Pingback: online loans
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: online casino real money usa
Pingback: real casino
Pingback: slots online
Pingback: buy viagra online cheap
Pingback: cialis 5 mg