
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bi Sarah Kibonde akisisitiza umuhimu wa maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kutumia mbinu za kisasa katika kutangaza mafanikio ya Serikali , hayo yamejiri June 25, 2019 Jijini Dodoma wakati wa ziara ya ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari- MAELEZO walipotembelea Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa lengo la kujionea utendaji wa Kitengo Cha mawasiliano Serikalini cha Tume hiyo ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha mawasiliano ya Serikali kwa Umma.
Na Frank Mvungi- Dodoma
Kada ya Mawasiliano Serikalini imetajwa kuwa chachu ya kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano .
Akizungumza wakati wa ziara yakuwatembelea na kuona utendaji wa maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wa Mashirika na Taasisi zilizopo Dodoma, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano (TAGCO) Bi Sarah Kibonde amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa kwa maafisa hao kutumia mbinu za kisasa kutangaza mafanikio ya Serikali.
“Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wanalojukumu kubwa la kuhakikisha kuwa wanatangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano hasa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa kwa manufaa ya wananchi hivyo tunawakumbusha wajibu huu wa msingi ” Alisisitiza Bi Kibonde

Naibu Msajili wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania Bw. Charles Malunde akisisitiza jambo kwa ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari- MAELEZO walipotembelea Tume hiyo wakati wa ziara yakutembelea Taasisi na Mashirika ya Umma yaliyopo Jijini Dodoma ili kujionea utendaji kazi wa vitengo vya Mawasiliano Serikalini vya Taasisi hizo.
Akifafanua Bi Kibonde amesema kuwa kwa sasa Serikali imewekeza katika miradi mingi ya maendeleo katika sekta zote zinazolenga kuleta ustawi wa wananchi na jukumu la kuitangza ni la kada hiyo.
Kwa upande wake muwakilishi wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO katika ziara hiyo Bw. Casmir Ndambalilo amesema kuwa Idara hiyo imejipanga na iko tayari kuendelea kuwajengea uwezo maafisa habari wote pale wanapohitaji ili kuwaongezea ujuzi zaidi.
Pia aliahidi kuwa Idara hiyo itaendelea kuhakikisha kuwa Maafisa hao wanatekeleza majukumu yao kwa weledi na hasa katika kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano.

Naibu Msajili wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania Bw. Charles Malunde akisisitiza jambo kwa ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari –MAELEZO walipotembelea Tume hiyo leo Jijini Dodoma.
Ziara ya kutembelea Vitengo vya Mawasilaino Serikalini imefanyika katika taasisi za Serikali na Mashirika yaliyopo Dodoma kwa siku tano ikilenga kuona utendaji wa vitengo hivyo hasa katika kutekeleza jukumu la kuisemea Serikali kwa kutangaza mafanikio yake.

.Ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari MAELEZO ukiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Mhandisi Dkt Everest Makene(katikati) na watendaji wengine wa Taasisi hiyo June 25, 2019 wakati wa ziara yakufuatilia utendaji wa kitengo cha mawasiliano Serikalini katika Taasisi hiyo ili kujionea utendaji wake.

Afisa Habari wa Jiji la Dodoma Bw. Denis Gondwe akisisitiza jambo kwa ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari MAELEZO walipotembelea Ofisi za Jiji la Dodoma leo kwa lengo la kuona utendaji wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Jiji hilo ikiwa ni sehemu ya juhudi zakuhimiza utoaji wa taarifa za miradi ya maendeleo kwa wananchi.

Ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari MAELEZO ukiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Bw. Baltazar Ngowi leo Jijini Dodoma wakati wa ziara yakutembelea Kitengo cha mawasiliano Serikalini cha Jiji hilo ili kujionea utendaji wake.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Bi Sarah Kibonde akifurahia jambo na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Bw. Baltazar Ngowi Jijini Dodoma wakati wa ziara ya ujumbe wa TAGCO na Idara ya Habari- MAELEZO kutembelea Kitengo cha mawasiliano Serikalini cha Jiji hilo ili kujionea utendaji wake.

Mwakilishi wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Casmir Ndambalilo akisisitiza jambo kwa Naibu Msajili wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania Bw. Charles Malunde wakati wa ziara ya ujumbe wa Idara hiyo na Chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini (TAGCO) leo Jijini Dodoma.
(Picha zote na Frank Mvungi)
Pingback: where to buy viagra
Pingback: viagra samples
Pingback: erectile dysfunction viagra medicines
Pingback: erection pills
Pingback: male erection pills
Pingback: men's ed pills
Pingback: chloroquine 250 mg
Pingback: buy cialis
Pingback: online canadian pharmacy
Pingback: cialis online
Pingback: levitra price
Pingback: levitra
Pingback: caesars casino online
Pingback: viagra prices
Pingback: doubleu casino online casino
Pingback: best online casino usa
Pingback: cheap careprost from india
Pingback: cialis without doctor prescription
cheapest viagra 50 mg https://cleverviagra.com/
Pingback: cash advance
Pingback: online loans
Pingback: installment loans
Pingback: viagra for sale
Pingback: cialis to buy
Pingback: winston cowan
Pingback: best online casino for money
Pingback: cialis buy
brand viagra over the net
canada viagra generic
Pingback: internet gambling internet
Pingback: play online casino real money
Pingback: buy hydroxychloroquine online
generic for januvia 50 mg http://lm360.us/
cialis online no prescription http://cialisoni.com/
Pingback: casino game
hydroxychloroquine buy on line https://webbfenix.com/
antibiotics for animals for sale https://keflex.webbfenix.com/
Pingback: casino games
Pingback: online casino games for real money
Pingback: buy viagra online
Pingback: cheapest viagra
Pingback: viagra price
Pingback: cialis buy
azithromycin bronchitis
certified canadian viagra
no prescription cheap cialis
viagra pills online Situg Kig
Pingback: mymvrc.org
how long does viagra 50 mg last for
https://cialgetusa.com/
wholesale 60 c viagra Situg Kig
good family doctors near me
canadian pharmacy uk delivery
Hi, I do believe this is an excellent blog. I
stumbledupon it 😉 I’m going to return once again since
I bookmarked it. Money and freedom is the greatest way to change,
may you be rich and continue to help others. http://cleckleyfloors.com/
Pingback: order sildenafil 200 mg
how to buy online viagra in india
viagra without prescription
buy viagra online buy Situg Kig
Thanks for the marvelous posting! I seriously enjoyed reading it, you might be a great author.
I will make certain to bookmark your blog and may come back someday.
I want to encourage that you continue your great job, have a nice weekend! http://www.bee-rich.com/
Pingback: how to purchase actos 30 mg
Pingback: cheapest aldactone 100 mg
Pingback: how to buy allegra 120 mg
viagra what the pills look like
viagra vision loss
viagra what is the price Situg Kig
canadian pharmacies https://canadiantrypharmacy.com – canadian pharmacies
buying viagra mail in china
how to buy cialis em toronto
viagra professional usa Situg Kig
chinese health care reform kamagra comprar https://www.goldkamagra.com – kamagra
http://www.loansonline1.com installment loans
cialis pills nz
viagra usa 100mg
comprar viagra en farmacias sin receta Situg Kig
Pingback: avodart 0,5 mg australia
Pingback: where can i buy bactrim 800/160mg
http://www.loansonline1.com personal loans
where to buy viagra buy sildenafil viagra 100mg price
Pingback: casodex united kingdom
cialis without doctor prescription cialis vidalista free cialis medication for providers
where can buy viagra in dubai
cialis generic version
buy viagra american express Situg Kig
cenforce pills without doctor’s prescription http://cavalrymenforromney.com/
generic levitra online reviews
viagra professional vs
viagranoprescriptionsx.com Situg Kig
viagra mexico city
viagra young man
tadalafil otc Situg Kig
http://bambulapharmacy.com
viagra sale online uk
to buy viagra in toronto
online provera tiketa mozzart Situg Kig
best drugstore shampoo online pharmacy no prescription the pharmacy
lasix side contraindications order lasix water pills cramping from lasix