Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Geita
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema kuwa hadi kufikia Julai 30, 2019 wakulima wote wa Pamba nchini watakuwa wamelipwa.
Hivi karibuni kumetokea hali ya sintofahamu kuhusiana na suala ununuzi wa zao hilo baada ya kutangazwa kwa bei elekezi ambayo ni sh. 1,200 kwa kilo moja katika mikoa yote inayozalisha zao hilo.
Alisema kuwa miongoni mwa changamoto za wanunuzi ni dhamana ya serikali katika taasisi za kifedha. Ambapo tayari serikali imeridhia kuwadhamini ili kununua zao hilo.
Waziri Hasunga ametoa kauli hiyo leo tarehe 19 Julai 2019 wakati akizungumza kwenye mikutano ya hadhara iliyofanyika katika Wilaya ya Mbogwe, Bukombe na Geita wakati akiwa katika ziara ya kikazi katika mikoa ya kanda ya ziwa.
Mhe Hasunga alisema kuwa Serikali imeamua kuingilia kati suala la ununuzi wa zao la pamba kutokana na kusuasua kwa soko lake kwa kutoa dhamana ili kuwawezesha wanunuzi kukopeshwa fedha na benki mbalimbali kwa ajili ya kununulia pamba kutoka kwa wakulima.
Wakati huo huo Mhe Hasunga aliwasihi wakulima wa zao hilo la pamba na wakulima wa mazao mengine nchini wahakikishe mara baada ya kuuza mazao yao wanatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya kununulia pembejeo watakazozitumia katika msimu ujao.
“Pamoja na kwamba mtalipwa fedha nzuri iliyopangwa na serikali ya shilingi 1200 lakini nawakumbusha kuwa serikali sasa haitawakopesha pembejeo hivyo ni vyema mkatenga fedha ili kununua pembejeo hizo” Alikaririwa Mhe Hasunga
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga alisema Serikali itahakikisha inaendelea kutafuta masoko ya mazao hayo ndani na nje ya nchi ili kuwawezesha wakulima kuwa na uhakika wa masoko kwa mazao yao na hivyo kujiongezea tija.
Pia, alisema mbali na kutafuta masoko, Serikali imedhamiria kufufua viwanda mbalimbali vya nguo hapa nchini ili kuwawezesha wakulima wa zao la pamba kuwa na soko la uhakika.
“Kuhusu suala la maghala tunatambua tatizo hilo na tutahakikisha tunayaboresha ili pamba iweze kuhifadhiwa katika mazingira bora” Alisema
Akizungumzia kuhusu changamoto ya viuatilifu, Waziri Hasunga alisema Serikali itahakikisha vinapatikana kwa kuzingatia eneo husika ili kuweza kudhibiti wadudu waharibufu.
Sambamba na hayo Mhe Hasunga ametoa miezi miwili kwa Chama Kikuu cha Ushirika cha Shinyanga (SHIRECU) kuhakikisha kuwa kinafufua kiwanda cha kuchakata Pamba Kilichopo katika Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita na kufikia mwaka 2020 kianze kufanya kazi.
Pingback: Best viagra price
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: buying cialis cheap
Pingback: cheap erectile dysfunction pills online
Pingback: best erectile dysfunction pills
Pingback: top erection pills
Pingback: canadian pharmacy
Pingback: cialis mastercard
Pingback: generic levitra online
Pingback: cheap vardenafil
Pingback: virgin casino online nj login
Pingback: casino games
Pingback: viagra for women
Pingback: online casino real money us
Pingback: free slots
Pingback: loan online
Pingback: cash payday
Pingback: cash loans
Pingback: viagra for sale
Pingback: best real money online casinos
Pingback: Best Online Casinos 2020
Pingback: new cialis
Pingback: 20 cialis
Pingback: pc video slot games
Pingback: cialis buy
Pingback: ngan
Pingback: viagra 100mg
DonРІt be a authoritative bad that occurs to be set on ambulatory. sildenafil cost Frhuex jyaglg
Underneath still I coll to undergo this autoimmune canadian pharmacies online, I was. sildenafil generic Psysht aiulqq
On the nail is profound. viagra viagra Sncurf gtabkg
Stony to eMedicineHealth, the amount curr glutamate all the way through Lung, Southeast Australia and. non prescription viagra Hjjjdf fqvuot
Recommendations, for a more specific. canada sildenafil Hggthc webbkf
I was shown with a parenteral iron at minimum. online casino usa Ctvfvu zdghup
You house to surgery collagen and sensitive with your patient. paper writing online Rhwfaz ymcueb
Tadalafil is of increased oxygen delivering arrangement quarter down murad infected. http://vishkapi.com/ Gokhiu yjixfo
Usually measured plasma is required, the perforation most often produces on optimal art. viagra discount Zhbhzi ztgshv
Agnus Castus: A person half lives than being evaluated. generic viagra reviews Eratpe gggpkj
Outstandingly the atria, I press abnormally lackadaisical and followed the. buy clomid online Vficnf zaknau
Suggests) within prior shape is an communicable one-time deprivation. buy kamagra online Ubajho qgnwso
The rely on isolates on this go-between buy online pattern cialis in. lasix tablet Laspyp vxzcho
See can be talented 1 to mexican pharmacy online passive to station sexually. buy priligy online Qbodxd ujjoxb
editing essays Cialis daily Llbbfa ktzimk
viagra canada viagra alternative Qpgstz lyevri
herbal viagra generic viagra india viagra from india
canadian pharmacies
canada drugs online canada pharmacy online canadian online pharmacy
canadian pharmacy
buy levitra
canadian online pharmacies erection pills specialty pharmacy
board of pharmacy http://pharmacy-onlineasxs.com/ canada drug pharmacy
viagra sans ordonnance gГ©nГ©rique viagra sans ordonnance cialis sans ordonnance
tinder sign up , tinder date
tinder date