
Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla za uzinduzi wa kampeni za kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstf) Emmanuel Maganga na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mhe. Anne Makinda wakiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa Kigoma waliokata Bima ya Afya kupitia mfumo wa Vifurushi.
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wamesema kuwa mpango wa Vifurushi vya Bima ya Afya ni mpango mzuri unaolenga kuwakomboa wananchi kwa kuwahakikishia upatikanaji wa huduma za matibabu wakati wowote wanapopatwa na magonjwa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa halfa ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya Mkoani Kigoma , wakati hao wamesema kuwa mpango wa vifurushi unampa mwananchi fursa ya kuchagua huduma anazotaka kwa gharama nafuuu na kuwa na uhakika wa kupata matibabu katika mkoa wowote nchini.
Mkazi wa maeneo ya Mwanga Bw. Nobert Makofi alisema kuwa awali hakuona umuhimu wa kuwa na Bima ya Afya lakini kwa mpango huu amechukua hatua za kujiunga na kuahidi kuwa balozi wa uhamasishaji wa wananchi wengine kujiunga na huduma hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mstf) Emmanuel Maganga , akiongea na wakazi wa Kigoma wakati wa hafla za uzinduzi wa kampeni za kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya, ambapo alisema kuwa mpango wa vifurushi vya bima ya afya ni mfumo bora ambao umejaribiwa duniani unaotumiwa kwa ajili matibabu na kuwataka viongozi wa Mkoa kwenda nyumba kwa nyumba kuhakikisha wananchi wanajiunga na mpango huu wa vifurushi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mhe. Anne Makinda, akiongea na wakazi wa Kigoma wakati wa hafla za uzinduzi wa kampeni za kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya ambapo alisema kuwa bila bima hauna maisha, gharama za matibabu kwa sasa ni kubwa sana, Bima inakufanya uwe salama, Bima ni mlinzi kwako na familia yako, leo mkoani Kigoma
“Najitolea kuwa balozi wa kuhamasisha wananchi wenzangu wajiunge, kuna hatari kubwa ya mwananchi kuishi bila kuwa na uhakika wa kupata matibabu kupitia bima ya afya, wengi tunapoteza maisha kutokana na kukosa fedha za kugharamia matibabu lakini mpango huu unatupa fursa kubwa ya kujikinga afya zetu kwa kujiunga na kifurushi,” alisema Bw. Makofi.
Mwanachama mwingine Bi. Tausi Kitumbo ambaye amepokea kadi yake wakati wa uzinduzi ametoa wito kwa akina mama kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha jamii kujiunga na vifurushi hivyo ili kuhakikisha familia zao zinakuwa na uhakika wa matibabu wakati wowote.
“Mwanamke ndio mwangalizi wa familia hivyo kama mama ni vyema ukawa mstari wa mbele kuhakikisha familia yako unailinda kwa kuikatia kifurushi chochote na gharama hii inawezekana hata kama kwa kuweka fedha kidogo kidogo,” alisema Bi. Tausi.

Mwenyekti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Huduma za Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba akiongea na wakazi wa Kigoma wakati wa hafla za uzinduzi wa kampeni za kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya, ambapo alisema kuwa Ukiona mwanasiasa anapinga vifurushi, ujue huyo ni mwanasiasa uchwara, huyo ni mwanasiasa ambaye haendi hospitali kuona watu wanavyopata shida, leo mkoani Kigoma

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bernard Konga akiongea na wakazi wa Kigoma wakati wa hafla za uzinduzi wa kampeni za kuhamasisha wananchi kujiunga na vifurushi vya Bima ya Afya, ambapo alisema mnufaika wa vifurushi hivi atapata huduma kuanzia ngazi ya zahanati mpaka taifa kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa, leo mkoani Kigoma.
Aidha, Bi Tausi Saidi amesema kuwa hakuwa amejiunga na mpango wa vifurushi ila kutokana na hamasa aliyoipata katika uzinduzi wa kampeni hizi atahakikisha anajiunga na mpango huu kutokana na umuhimu wake kwa afya yake na anauhakika atakata na kuwa balozi wa mpango huo.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Huduma za Maendeleo ya Jamii, Mhe. Peter Serukamba alisema kuwa suala la afya sio la mchezo na ukikutana na mwanasiasa anayefanya upotoshaji kwenye afya huyo ni mwanasia uchwara na ambaye hatembelei wagonjwa hospitali na kuona wanavyopata shida.
Akizindua mpango wa uhamasishaji Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga aliagiza viongozi wote mkoani humo kuhakikisha wanasimamia suala hilo kwa kufanya kampeni ya nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na uelewa na wanachukua hatua ya kujiunga.
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unaendelea na uhamasishaji wa wananchi kujiunga na mpango wa vifurushi vipya ili kuwafikia wananchi wengi zaidi.
Pingback: prices of cialis
Pingback: online cialis
Pingback: Discount viagra without prescription
Pingback: cialis without dr prescription
Pingback: cialis
Pingback: viagra for sale
Pingback: viagra 100mg
Pingback: best ed pills non prescription
Pingback: ed meds online without doctor prescription
Pingback: cheap erectile dysfunction pill
Pingback: cialis 10 mg
Pingback: real money casino online usa
Pingback: sugarhouse casino online nj
Pingback: viagra without doctor prescription
Pingback: real money online casino
Pingback: online casinos for usa players
Pingback: cash advance
Pingback: payday advance
Pingback: no credit check loans
Pingback: cialis 20
Pingback: Bovada
Pingback: united healthcare viagra
Pingback: cialis buy
Pingback: generic for cialis
optional health care viagra abortion https://10mgxviagra.com/
Pingback: generic for cialis
Pingback: birgit
Pingback: chumba casino
Pingback: buy chloroquine phosphate
Pingback: casino gambling
Pingback: buy cheap viagra
Pingback: viagra online canada
Pingback: tadalafil cialis
Pingback: cialis online pharmacy
buy hydroxychloroquine https://chloroquine1st.com/
Pingback: casino slots
cialis online https://www.wisig.org/
Pingback: sildenafil citrate 100mg for sale
viagra.com https://www.jueriy.com/
Pingback: droga5.net
cheapest viagra http://viagraeiu.com/
buy hydroxychloroquine https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Viagra and tadalafil are as well used to delicacy pulmonic arterial hypertension (PAH) nether the trade in names Revatio (Viagra 20-mg
tablets and 10-mg/12.5-mL single-employment ampoule injections) and Adcirca (Cialis 20-mg
tablets).
Although option roles live for these agents, PDE5 inhibitors for
the discourse of ED are the stress of this brush up. http://lm360.us/
Good post. I’m facing many of these issues as well.. http://grassfed.us/
canadian pharmacy http://viaciabox.com – canada pharmaceutical online ordering canadian pharmacies
what are functions of viagra tablet
cialis bayer 20
viagra singapore pharmacy to buy Situg Kig
https://www.withoutvisit.com viagra without doctor prescription
http://www.loansonline1.com loans online
best soft viagra prices
pfizer viagra online pharmacy
buy perfect health cialis Situg Kig
http://cialiswlmrt.com – cialis
Pingback: catapres 100 mcg united states
amoxycillin1st.com https://amoxycillin1st.com/
std in the mouth
http://canadianpharmacy-md.com – best online pharmacy
Pingback: claritin online
Pingback: hollywood casino online real money
Pingback: slots real money
viagra amazon buy viagra online viagra without a doctor prescription canada
Pingback: veterans car insurance quotes usaa
levitra 10mg fta
best buy on cialis online
sildenafil citrate 100mg kamagra Situg Kig
Pingback: wellbutrin 300mg tablets
Pingback: zanaflex 4mg united states
comfortis for dogs without vet prescription https://canadianpharmacyvikky.com canadian drug prices
Pingback: visit this site right here
Pingback: zocor 20 mg united kingdom
best medicine for ed medications for
levitra 10 mg tablets
viagra professional basso costo
viagra online for cheap Situg Kig
valtrex pills where to buy valtrex generic price canada
vacuum therapy for ed erectile dysfunction cure
canadian online pharmacy med rx pharmacy rx pharmacy online
Pingback: pioglitazone 30mg online pharmacy
http://bambulapharmacy.com
Pingback: glimepiride purchase
cialis haplar buy cialis without perscription cialis posologie
Pingback: atomoxetine 10 mg united kingdom
Amazing lots of valuable advice. where to buy viagra without a prescription
t?c d ng ph c a amoxicillin purchase amoxil amoxicillin holistic alternatives
does lasix increase creatinine lasix pills for sale water pills lasix weight loss
where to buy erectile dysfunction products viagra online
http://withoutscript.com – how do i talk to my doctor about viagra
natural alternative to prednisone for rash prednisone sale online quando assumere il prednisone
sildenafil en generico
tadalafil pills online
vardenafil pillole Situg Kig
cialis preis generika buy cialis online europe cialis unruhe
http://canadianvolk.com
how to get ciails without a doctor cialis impotence
buy cialis united kingdom is cialis good for health
canadian pharmacy cialis 20mg cialis bestellen legal