Katibu Mkuu (Sekta ya Uchukuzi), Gabriel Migire amemtaka Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kuhakikisha anaweka mpango mkakati wa ujenzi wa uzio imara wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba ili kuongeza usalama kiwanjani hapo.
Ametoa kauli hiyo mjini Kagera mara baada ya kutembelea kiwanja hicho na kubaini changamoto ya uzio iliyotokana na changamoto za tabianchi na kuwataka kuzingatia kanuni na taratibu zinazoongoza usafiri wa anga.
“Ni jukumu lako kama Meneja kuwasilisha changamoto hii Makao Makuu ili waje na mipango endelevu kwa changamoto hii sababu kwenye wizara hii tuna taasisi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), zungumzeni nao ili kupata taarifa za nyuma ili kuweka mipango ambayo itanusuru miundombinu hii”, amesema Katibu Mkuu Migire.
aol slots lounge
play caesars online slots for fun
free casino games
Minute clinic business plan https://divulgaaqui.online/author/engineskirt05/