[caption id="attachment_30158" align="aligncenter" width="800"] Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maj. Gen Gaudence Milanzi (wa kwanza kulia) akikabidhiwa nakala ya Rasimu ya mwisho ya Sera ya Taifa ya Misitu na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) hapa nchini, Fred Kafeero (wa pili kushoto) katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika makao makuu ya ya Wizara mjini Dodoma. Wa kwnza kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki.[/caption]
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utal...
Read More