Jonas Kamaleki.
Chama cha Labour cha nchini Uingereza kimepongeza juhudi za Rais John Pombe Magufuli na Serikali yake kwa utendaji mzuri katika kulinda na kugawanya rasilimali kwa watu wake.
Pongezi hizo zimetolewa hivi karibuni na Viongozi wa Labour Party katika Mkutano na vyama mbali mbali vya kisiasa vikiwemo vya Kiafrika vya SWAPO, ANC na CCM, uliofanyika Uingereza kama anavyoeleza Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa kimataifa, Kanali (Mstaafu) Ngemela Lubinga katika mahojiano maalum na mwandishi wa habari hii.
“Chama cha Labour kinataka haki sawa kwa wote, kwa hiyo kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kusimamia rasilimali na kuhakikisha rasilimali zetu zinazoibiwa zisiibiwe tena, kimewapa faraja,” alisema Lubinga.
Lubinga amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Tano inasimamia rasilimali kitendp ambacho kitaleta maandeleo kwani hakuna maendelo yanyowezakupatikana bila usimamizi wa rasilimali.
“Chama cha Labour kinapigana kuhakikisha wananchi wake wanapata makazi bora, hivyo suala la Accacia ambao walikuwa wakifanya vitendo visivyoendana na hali halisi ya rasilimali hasa kwetu sisi walengwa kimewafurahisha sana na kuona kuwa mazungumzo yamekamilika katika mazingira ya kukubaliana namna ya rasilimali hizo zinavyotumika kuwanufaisha watanzania,”alisema Lubinga.
Kuhusu mwelekeo wa uchumi, Kanali (Mstaafu) Lubinga amesema kuwa uchumi wa Tanzania unakua na utakuwa wa kuvutia kwani juhudi za makusudi zinafanyika hivyo amewataka wanachi wawe na subira.
Ameongeza kuwa wazazi wawaandae watoto wao kufanyakazi na wasiwaachie tu kwenda wanavyotaka. Ametoa mfano kuwa mtu akiona mtoto wake amenunua gari la kifahari inabidi amuulize fedha ametoa wapi za kununua gari hilo wakati mshahara wake unajulikana na ni mdogo.
Amewataka watanzania wawe wavumilivu kwani mabadiliko huleta kiwewe kwa wat na yakishaleta matokeo chanya, watu hao husahau walioleta maendeleo hayo.
Serikali ya Awamu ya Tano imetimiza miaka miwili tangu iingie madarakani tarehe 5 Novemba, 2015. Katika kipindi hiki watanzania wameshuhudia miradi mikubwa ya maendeleo ikianzishwa na kutekelezwa, mfano ujenzi wa barabara,madaraja, ununuzi wa ndege sita, ujenzi wa reli ya kisasa, (standard gauge), utengenezaji wa madawati na elimu bure kwa elimu ya msingi na mwisho nidhamu ya kazi imerejea katika utumishi wa umma.
Pingback: how to get viagra
Pingback: viagra 100mg
Pingback: rx pharmacy
Pingback: canadian online pharmacy
Pingback: canada pharmacy
Pingback: cialis visa
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: vardenafil coupon
Pingback: vardenafil 20 mg
Pingback: order vardenafil
Pingback: best real casino online
Pingback: online slots for real money
Pingback: real money online casino
Pingback: casinos
Pingback: cialis generic date
Pingback: cash loan
Pingback: online payday loans
Pingback: short term loans
Pingback: viagra prescription
Pingback: play real las vegas slots online
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: cialis internet
Pingback: generic for cialis
Pingback: Planet7
Pingback: online casino paypal singapore
Pingback: best online casino usa
Pingback: viagra pill
Pingback: viagra online pharmacy
Pingback: buy cialis online overnight shipping
Pingback: tadalafil reviews
Pingback: online casinos real money
generic of cialis http://lm360.us/
Pingback: Viagra 120mg nz
buy hydroxychloroquine https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Pingback: Viagra 25mg pharmacy
generic viagra no prescription discover card
https://cialisaaap.com/
buy viagra jordan Situg Kig
Pingback: Cialis 10mg australia
Whitethorn I just allege what a alleviation to receive a somebody that actually understands what they’re
discussing o’er the internet. You actually interpret how to get a job to spark and earn it important.
More citizenry should translate this and see this side of meat of the news report.
I can’t consider you aren’t to a greater extent popular apt that you well-nigh for sure receive the
endow. http://www.stdstory.com/
viagra prices from walgreens
buy viagra online
how to buy cialis usa Situg Kig
Very good post. I will be experiencing many of these issues as well.. https://buszcentrum.com/
Pingback: where to buy allopurinol 300mg
Its like you read my mind! You seem to know so much about this, like you wrote the
book in it or something. I think that you can do with some pics to
drive the message home a little bit, but instead of that, this is fantastic blog.
A great read. I’ll certainly be back. http://grassfed.us/
Howdy very cool site!! Man .. Excellent .. Superb .. I’ll bookmark your web site and take
the feeds also? I am satisfied to find numerous helpful information right here in the submit, we
want develop extra strategies on this regard, thanks for sharing.
. . . . . https://www.wisig.org/
Pingback: augmentin 875/125 mg canada
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
are there any suppliers of generic viagra in canada
order viagra pills
buy ciprofloxacin 500mg Situg Kig
goodrx viagra buying viagra online goodrx viagra
buy generic viagra buy generic viagra online viagra generic
buy lisinopril 5mg
viagra for sale in the uk
strattera purchase Situg Kig
pharmacy drugs pharmacy medications prescription drugs online
how much is viagra buy viagra generic viagra for sale
medications online
Pingback: slot games
buy viagra amex
buy brand viagra online
buy generic viagra safe Situg Kig
buy cialis super active plus
viagra availability in delhi
buy propranolol tablets Situg Kig
24 hours pharmacy usa pharmacy best online canadian pharmacy
legit online pharmacy best ed medication ed treatment
cheap generic keppra
natural viagra
buy arimidex online uk Situg Kig
Pingback: loratadine cost