
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge akifungua mkutano wa kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi uliofanyika leo Jijini Dodoma.
Frank Mvungi
Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge, ameongoza mkutano wa majadiliano ya Baraza la Biashara la mkoa huo ili kupitia na kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ili usaidie kukuza ushiriki wa sekta binafsi na kuchochea ukuaji wa sekta zinatoa ajira kwa wananchi walio wengi kama kilimo.
Akizungumza na wajumbe wa baraza hilo leo Jijini Dodoma na wadau wengine, Dkt. Mahenge amesema kuwa, mkutano huu una lengo la kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ngazi ya Mikoa na Wilaya.
“Tunategemea utakuwa rejea thabiti kwa viongozi na watendaji ambao wamekuwa wakibadilika mara kwa mara kutokana na uteuzi au chaguzi”. Alisisitiza Dkt. Mahenge

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith akiteta jambo na Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa huo anayeshughulikia Sekta za Uchumi na Uzalishaji Bi Aziza Mumba mara baada ya mkutano wa kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi katika mkoa huo.
Akifafanua zaidi, mkuu huyo wa mkoa wa Dodoma amesema mkutano huo wa majadiliano una lengo la kuhakikisha ushiriki wa sekta binafsi unaongozeka ili kuchochea maendeleo ya mkoa na taifa.
Aliongeza kuwa, majadiliano hayo yatasaidia kutatua changamoto zinazojitokeza mara kwa mara ambazo zimekuwa zikifubaza upatikanaji wa fursa za kiuchumi na kijamii na yanategemewa kutoa ufumbuzi wa changamoto hizo kwa kuzingatia maandalizi ya majadiliano, kanuni za majadiliano na utekelezaji baada ya majadiliano.
“Ninatambua kuwa Mabaraza ya biashara yapo katika Wilaya zote mkoani hapa hivyo naamini yatatumika ipasavyo na yatawezesha kuchochea Maendeleo katika Mkoa na Wilaya zetu kwa kushawishi ongezeko la biashara na uwekezaji”. Alibainisha Dkt. Mahenge.

Mhadhiri kutoka Chuo kikuu Mzumbe Prof. Honest Ngowi akiwasilisha rasimu ya mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi wakati wa kikao cha kujadili muongozo huo leo Jijini Dodoma.
Pia aliwahimiza viongozi wa kisiasa na watendaji wote wahakikishe mabaraza ya biashara yanakuwa hai katika maeneo yao ili kuchochea maendeleo na ustawi wa wananchi.
Aidha, aliwataka viongozi katika ngazi za Wilaya kuboresha mazingira ya biashara yatakayowezesha wananchi kutoa mchango kwenye pato la mkoa na taifa kwa ujumla.
Michango ya wadau itakuwa imejumuishwa ifikapo mwishoni mwa mwezi wa 10. Baada ya Mwongozo kukamilika utazinduliwa rasmi na Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani kwa tarehe itakayopangwa.

Sehemu ya wakuu wa Wilaya wa mkoa wa Dodoma wakifuatilia mkutano wa kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi uliofanyika leo Jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki mkutano wa kuhakiki mwongozo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi uliofanyika leo Jijini Dodoma.
(Picha zote na MAELEZO)
Pingback: where to buy viagra
Pingback: where to buy cialis
Pingback: viagra 50mg
Pingback: best ed medication
Pingback: erection pills that work
Pingback: cheap erectile dysfunction
Pingback: buy generic cialis
Pingback: levitra 10 mg
Pingback: casino online usa
Pingback: slot games online
Pingback: buy generic viagra
Pingback: real money online casino
Pingback: online slots real money
Pingback: cialis generic name
Pingback: personal loans
Pingback: online loans
Pingback: viagra prescription
Pingback: live casino slots online
Pingback: buy cialis
Pingback: casino casino gambling game internet online
Pingback: online casino us players welcome
Pingback: best real money online casinos
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: cialis to buy
Pingback: best online casino real money
Pingback: best online casino usa
Pingback: buy generic viagra online
Pingback: viagra from india
Pingback: generic cialis 20mg
Pingback: cialis online pharmacy
Pingback: online casinos usa
lm360.us http://lm360.us/
viagraeiu.com http://viagraeiu.com/
Pingback: Viagra 200mg tablets
Pingback: Viagra 130 mg without a doctor prescription
hydroxychloroquine pills https://www.herpessymptomsinmen.org/where-to-buy-hydroxychloroquine/
Pingback: Cialis 20 mg no prescription
cialis 10 mg prezzo in farmacia
viagra pills
generic viagra cheap shipping Situg Kig
I’m impressed, I must say. Rarely do I come across a blog that’s both educative and
interesting, and without a doubt, you’ve hit the nail on the head.
The issue is something that not enough people are speaking intelligently about.
I am very happy that I came across this during my
hunt for something relating to this. http://cleckleyfloors.com/
Pingback: Cialis 80 mg pharmacy
buy viagra without prescription
Pingback: actos 15 mg over the counter
Nice blog here! Additionally your website quite a bit up fast!
What web host are you the usage of? Can I get your associate
hyperlink on your host? I want my web site loaded up
as fast as yours lol http://www.bee-rich.com/
Pingback: allegra 180 mg united kingdom
cialis for daily use + canadian pharmacy
viagra in india hyderabad
order anafranil Situg Kig
Pingback: ashwagandha 60caps without a prescription
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
augmentin visas zales
cialis lilly
description of generic chewable viagra Situg Kig
Pingback: buy Premarin 0,3mg
viagra di farmasi
buy viagra perth
buying viagra over the counter in the uk Situg Kig
Pingback: catapres 100mcg price
Pingback: casino games online
Pingback: autoowners insurance
viagra does tablet look like
is generic viagra good
discount levitra 20 mg Situg Kig
Pingback: zovirax cost
Pingback: furosemide uk
drugs from canada canadian pharmacies online online pharmacy without scripts
Pingback: pioglitazone otc
Pingback: spironolactone united states
Pingback: glimepiride online pharmacy
Pingback: donepezil 10 mg price
Pingback: anastrozole for sale
Pingback: cefuroxime prices
artvigil vs modafinil provigil cost where to buy generic provigil
how long long after taking modafinil is birth control effectiveness reduced
cialis oder cialis cialis original gibt es cialis für die frau
wie oft cialis