Na Mwandishi Wetu-DODOMA
Amani na utulivu vimetawala nchi nzima wakati watanzania wakijitokeza kupiga kura kuwachagua viongozi mbalimbali akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Zanzibar, Wawakilishi, Wabunge na Madiwani.

Jijini Dodoma, katika vituo mbalimbali vya kupigia kura vikiwemo Kilimani, Chang’ombe, Ipagala, Nzuguni, Kisasa na maeneo mengi ya Dodoma hali imeonekana kuwa yenye utulivu na wananchi wakipiga kura bila kuwa na msongamano au changamoto zenye kuathiri upigaji kura.
Pages: 1 2
what is the cost of tadalafil https://cialzi.com/
brand tadalafil online pharmacy https://cialis.buszcentrum.com/