
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akisisitiza kuhusu umuhimu wa Taasisi na Mashirika ya umma kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli la kuhakikisha kuwa zinawakilisha gawio lao ndani ya siku 60 zilizotolewa.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Bw. Masanja Kadogosa ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa wakati akipokea gawio kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma Novemba 24, 2019 Jijini Dodoma.
Na. Immaculate Makilika
Saa chache baada ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoa siku 60 kwa Taasisi, Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache na Mashirika ya Umma 187 ambayo hayajatoa gawio au mchango kwa Serikali tayari Taasisi nne zimetekeleza agizo hilo leo.
Akizungumza leo, jijini Dodoma, wakati akipokea gawio na michango kutoka Shirika la Posta, Shirika la Reli (TRC), Self Microfinance Fund, na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ambapo jumla ya fedha zilizowasilishwa ni shilingi bilioni 2.75, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango alisema kuwa baada ya agizo la Rais alilolitoa jana, hakutakuwa na mzaha kwa Taasisi, Kampuni na Mashirika ambayo hayatekeleza agizo hilo ndani ya siku 59 zilizobaki

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Watendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).
“Nitasimamia kikamilifu agizo hili la Mheshimiwa Rais, itakapofika siku ya 60 nitatembeza panga bila uoga wala kupepesa macho kwa Taasisi, Kampuni na Mashirika ambayo hayatakuwa yametekeleza agizo hili, hatutanii katika hili” alisema Waziri Mipango.
Aidha, Waziri Mpango alizishukuru Taasisi hizo kwa kutekeleza agizo la Rais na kuongeza kuwa angependa kuona Mashirika yaliyobaki yakitekeleza agizo hilo kwa wakati, kwa kuwa fedha hizi si zake wala za Rais bali ni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo kwa faida ya watanzania wote.
Naye, Msajili wa Hazina, Athumani Mbutuka alisema kuwa alitekeleza agizo la Rais Magufuli la kumtaka kuzijulisha Taasisi, Kampuni na Mashirika 187 ambayo hayakuwa yametoa gawio na michango kufanya hivyo ndani ya siku 60, ambapo Taasisi za TRC, TIC, Shirika la Posta na Self Microfinance Fund wamekuwa wa kwanza kutekeleza agizo hilo.

Watendaji wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Umma wakionesha mfano wa hundi zao leo ambazo ni jumla ya shilingi bilioni 2.75, wakati wa hafla ya kuwasilisha gawio kwa Serikali ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jijini Dodoma.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana alipokea gawio na michango kutoka kwa Taasisi, Kampuni na Mashirika 79 ambayo yalitoa jumla ya shilingi trilioni 1.05, ambapo Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro, Wakala wa Huduma za Misitu na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) yalikabidhiwa cheti kwa kufanya vizuri. Aidha, TPA iliyotoa gawio la shilingi bilioni 169 na TPC iliyotoa shilingi bilioni 14 yalipewa tuzo kwa kutoa gawio kubwa zaidi.
Pingback: sildenafil online
Pingback: top rated ed pills
Pingback: best ed pills online
Pingback: cialis 20 mg
Pingback: online pharmacy
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: vardenafil 10 mg
Pingback: generic vardenafil
Pingback: online viagra
Pingback: best real casino online
Pingback: casino real money
Pingback: buy cialis
Pingback: best real money casinos
Pingback: cialis 20
Pingback: LuckyCreek
Pingback: usa online casino no download
Pingback: author: mariya b.
Pingback: hollywood casino
Pingback: online casino real money usa
Pingback: viagra online canadian pharmacy
tadalafil 20 mg cost http://lm360.us/
Pingback: www.jueriy.com
Hey there, I call up your website might be having web browser compatibility issues.
When I bet at your blog in Safari, it looks hunky-dory just when porta in Internet Explorer, it has more or less lap-streak.
I merely treasured to open you a prompt heads up!
Former and so that, cracking blog! http://www.stdstory.com/
Right now it seems like Drupal is the top blogging platform out
there right now. (from what I’ve read) Is that what you are using on your
blog? https://azhydroxychloroquine.com/
http://viagraeiu.com
I always used to read piece of writing in news papers but now as I am a user of net
so from now I am using net for articles, thanks
to web. https://www.wisig.org/
My brother suggested I may like this web site. He was totally right.
This put up actually made my day. You cann’t believe simply how so much time I had spent for this info!
Thank you! https://buszcentrum.com/
What’s Happening i am new to this, I stumbled upon this I have discovered It absolutely useful and it has helped
me out loads. I’m hoping to give a contribution & assist other customers like its helped me.
Good job. http://grassfed.us/
keflex.webbfenix.com https://keflex.webbfenix.com/
hydroxychloroquine dosing for covid 19 https://hydroxychloroquine4u.com/