Na Mwandishi Wetu, Arusha
SERIKALI imewataka Watoa Huduma waliosajiliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuachana na udanganyifu katika utoaji wa huduma kwa wanachama wake kwa kuwa jambo hilo ni kurudisha nyuma maendeleo ya Mfuko ambao ni nguzo kubwa katika utoaji wa huduma za matibabu.
Akifungua kikao cha Wadau wa NHIF, Mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo amesema kuwa udanganyifu katika huduma ni adui mkubwa wa uimarishaji wa chombo hicho ambacho kwa sasa kinahudumia wananchi wengi na wanaohitaji huduma ambazo gharama zake ni kubwa.
“Niwaombe sana wadau wote hususan wanachama wa Mfuko, ni vyema kila mmoja kwenye nafasi yake akawa mlinzi wa huduma anazopata ili Mfuko huu uwe imara zaidi na uendelee kuhudumia wananchi, mimi binafsi nikiri tu kwamba bila ya kuwa na kadi ya NHIF nisingeweza kumudu gharama za matibabu, nimemuuguza Mama yangu na alihitaji matibabu yenye gharama kubwa lakini kwa kuwa na kadi ya NHIF ilinisaidia kwa kiasi kikubwa sana, hivyo ili Mfuko huu uendelee kuwepo ni lazima sote kwa pamoja tuulinde,” alisema Bw. Gambo.

Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Bw. Bernard Konga akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji ya Mfuko kwa wadau wake.
Kwa upande wa watoa huduma aliwataka kuwa wakweli na kuwa wazalendo katika vipimo na dawa wanazowaandikia wanachama ili Mfuko uweze kulipa gharama halisi na sio kulipa fedha ambazo huduma zake hazikuwa sahihi.
“Lengo la Serikali inayoongozwa na Rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli ni kuona kila wilaya nchini inakuwa na Hospitali na kata inakuwa na kituo cha Afya na Kijiji kinakuwa na Zahanati ili upatikanaji wa huduma za matibabu uwe rahisi na bora zaidi na kwa kutumia mfumo wa Bima ya Afya wananchi watakuwa na uhakika wa kupata huduma za matibabu wakati wote,” alisema Bw. Gambo.
Meneja wa NHIF Mkoa wa Arusha Bw. Isaya Shekifu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Mkoa.
Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, Bi. Anne Makinda amesema kuwa Mfuko umejipanga kuhakikisha mpaka ifikapo mwakani zaidi ya asilimia 50 ya Watanzania iwe inahudumiwa na Mfuko na kwa upande wa huduma, Mfuko umejipanga kuhakikisha wanachama wake wanapata huduma katika maeneo yao na kwa ubora unaotakiwa.
Awali akizungumza kwenye mkutano huo Mkurugenzi wa NHIF, Bw.Bernad Konga amebainisha kuwepo kwa mifumo mizuri ya udhibiti wa udanganyifu ambayo mpaka sasa imeleta matokeo makubwa kwa kuokoa zaidi ya shilingi Bilioni 4 ambazo zingeweza kulipwa kutokana na vitendo vya udanganyifu vya baadhi ya watoa huduma.
Pingback: viagra discount
Pingback: buying cialis cheap
Pingback: cialis coupon
Pingback: cialis 10mg
Pingback: Levitra or viagra
Pingback: buying cialis cheap
Pingback: cialis
Pingback: cheap viagra
Pingback: viagra 50mg
Pingback: male ed pills
Pingback: over the counter erectile dysfunction pills
Pingback: erectile dysfunction drug
Pingback: canadian online pharmacy
Pingback: pharmacy online
Pingback: Viagra or cialis
Pingback: Buy cheap cialis
Pingback: levitra usa
Pingback: vardenafil 20 mg
Pingback: levitra usa
Pingback: casino games online
Pingback: sildenafil viagra
Pingback: online slots real money
Pingback: parx casino online
Pingback: instant loans
Pingback: cash loan
Pingback: loans for bad credit
Pingback: 20 cialis
Pingback: 5 mg cialis
Pingback: cialis internet
Pingback: number one us online casino
Pingback: cialis 20
Pingback: vegas casino online
Pingback: jodie
Pingback: online gambling
Pingback: slots real money
Pingback: best online casino real money
Pingback: casino games
Pingback: generic sildenafil
Pingback: canadian viagra
Pingback: catapres without a doctor prescription
Pingback: ceftin 250mg pills
Pingback: ocean casino online nj
Pingback: wellbutrin generic
Pingback: zestril 5 mg cheap
Pingback: read the full info here
Pingback: zocor tablets
Pingback: sildenafil uk
Pingback: spironolactone 100 mg cost
Pingback: fexofenadine australia
Pingback: cheap olmesartan
Pingback: clindamycin coupon
Pingback: clozapine 100 mg pharmacy
Pingback: warfarin 1 mg price
Pingback: order desmopressin