WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama, (pichani), ameziagiza taasisi za umma na binafsi nchini zinapotoa fedha za kusaidia jamii (CSR), zikumbuke kuna kundi maalum la walemavu nchini ambao nao wanahitaji huduma maalum kama wanavyohitaji wengine.
Mheshimiwa Waziri aliyasema hayo jioni ya Septemba 17, 2018 wakati akipokea mashine maalum za kuandika kwa wanafunzi wasioona (Braille Machines) kutoka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwenye chuo cha walemavu Yombo jijini Dar es Salaam.
“Tunapoona kwenye shule za msingi wanahitaji madawati, tukumbuke kwamba, wapo wanafunzi kwenye vyuo, wapo wanafunzi kwenye shule za msingi, ambao ni wenye ulemavu ambao pengine badala ya madawati, wao wanahitaji viti vya kuwaongezea mwendo, au kama tunatoa computer mpakato, tukumbuke kwamba tunazo shule na vyuo watoto wetu, vijana wetu wanasoma wenye ulemavu wangehitaji mashine hizi zenye kuandika nukta nundu ili kuwasaidia wenye ulemavu ili na wao wafaidike na elimu katika nchi yetu ya Tanzania.” Alisema Mheshimiwa Waziri Jenista Mhagama wakati akihutubia kwenye hafla ya kukabidhi mashine hizo.
Alisema, Amefarijika kuona maagizo ya Ofsii ya Waziri Mkuu, yameweza kutekelezwa na taasisi ambayo iko chini ya ofisi ya Waziri Mkuu, kwa kusaidia kundi hilo la wenye ulemavu.“Vifaa nitakavyovikabidhi leo ni maalum kwa wenzetu wasioona na ni vya wanafunzi walioko katika vyuo mbalimbali kwenye nchi yetu siyo hapa Yombo peke yake.” Alifafanua.
Aliupongeza Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa msaada huo mkubwa na kwamba fedha walizotumia kununua vifaa hivyo ni kuwekeza kwa vijana ili kujiandaa kuwa na utashi na weledi na kujiandaa kuingia kwenye soko la ajira nchini.
Akimkaribisha Mheshimiwa Waziri Jenista Mhagama, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu, Mhe. Stella Ikupa, ameitaka jamii ya watu wenye ulemavu nchini kujiamini, kujitambua, kujikubali na kuongeza bidii katika kazi wanazofanya.“Kama ni mwanafunzi weka bidii katika masomo, na kama ni mwajiriwa weka bidii katika kazi yako kwani huo ndio ukombozi kwa mtu mwenye ulemavu.” Alisema Mhe. Ikupa.
Alisema vifaa vilivyopokelewa ni muhimu sana kwa watu wenye ulemavu hususan kwa kundi la wasioona, kwani vitawawezesha katika dhana nzima ya ujumuishwaji mtu mwenye ulemavu anapopatiwa vifaa vinavyoweza kutekeleza majukumu yake anakuwa anawezeshwa kuwa katika ujumuishwaji kwa hiyo atajumuishwa katika elimu lakini hatimaye atajikuta amefikia kwenye eneo la ajira na hatimaye kujikomboa na kuon dokana na utegemezi na uombaomba.“Nikiwa kama Naibu Waziri ninayeshughulikia masuala ya watu wenye ulemavu, nitoe pongezi za kipekee kwa uongozi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa tendo hili kubwa ambalo mmelifanya.” Alipongeza.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF) Bw. Masha Mshomba alisema, Mwaka jana (2017) WCF ilifanya Mkutano wa kwanza wa mwaka na katika mkutano ule Mfuko uliahidi kupitia mpango wake wa kusaidia jamii (CSR) utasaidia watu wenye ulemavu na kwamba ahadi hiyo imetekelezwa.
“Tumetoa msada wa mashine hizi maalum (Braille Machines) 13 zenye thamani ya Shilinhgi Milioni 33.8 na tunaimani kwamba zitawasaidia sana wenzetu wasioona ili kuwafanya washiriki kwa ufanisi katika kujifunza.” Alisema.
Alisema, Sekta ya Hifadhi ya Jamii, WCF ikiwa ni miongoni mwa sekta hiyo, moja ya majukumu ambayo serikali inasisitiza ni kuhakikisha ushiriki wa sekta katika kuondoa changamoto kwenye makundi maalum na hatua hiyo ya kutoa msada ni utekelezaji wa maagizo hayo ya serikali.
Katika awamu hii ya kwanza taasisi zilizofaidika ni pamoja na Chuo cha Ufundi kwa Walemavu Yombo Dar es Salaam na Sabasaba kilichoko Singida, Shule za Uhuru Mchanganyiko ya Dar es Salaam, Shule ya Msingi Ndanda, iliyoko Mkoani Mtwara, Shule ya msingi Biharamulo, Shule ya Msingi Mgeta Mseto iliyoko Bukoba Mkoani Kagera.
Pingback: buy sildenafil
Pingback: medicine for impotence
Pingback: best ed pills online
Pingback: male ed pills
Pingback: buy generic cialis
Pingback: canada pharmacy
Pingback: cvs pharmacy
Pingback: cialis mastercard
Pingback: generic cialis online
Pingback: levitra pill
Pingback: buy levitra
Pingback: cheap levitra
Pingback: slot games online
Pingback: real money online casinos usa
Pingback: viagra sildenafil
Pingback: online casino games
Pingback: online casinos for usa players
Pingback: cash loan
Pingback: instant loans
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: earl
Pingback: best casino online
Pingback: cialis 20
Pingback: betfair casino online nj
Pingback: online casino us deposits
Pingback: casino online
Pingback: casino online
Pingback: free slots online
Pingback: non prescription viagra
Pingback: buy viagra
Pingback: viagra prices
Pingback: viagra for men
Pingback: buy viagra no prescription
Pingback: viagra cost
how to make viagra more potent
generic viagra for sale viaonlinebuy.us buy viagra on line
how to get free viagra samples
vietnamese viagra recipe
directions for taking viagra
how does viagra feel for a younger person
Pingback: confirmed place to buy viagra online
how to climax when taking viagra
viagra dosage
viagra supplement
where to buy viagra connect usa
canadian viagra
how long does a viagra tablet last
how do nurses stop an erection after viagra
where do you go to get viagra
splitting viagra
Hey there! Someone in my Myspace group shared this site with us so I came to take a look. I’m definitely enjoying the information. I’m book-marking and will be tweeting this to my followers! Exceptional blog and brilliant style and design.
when should i take my viagra
viagra without doctor prescription http://www.v1agrabuy.com when to buy viagra
why does viagra cost so much
viagra how to use the first time
buy viagra online canada https://www.v1agrabuy.com buy viagra new york
what does.it feel like wheb you use viagra
making viagra work better
best online pharmacy for viagra
what are the side effects of taking 2 50 mg viagra
I really like what you guys are usually up too. This type of clever work and exposure! Keep up the terrific works guys I’ve added you guys to my personal blogroll.
viagra and pulmonary hypertension
viagra extra super active
who sells viagra non prescription viagra over the counter in louisville, kentucky?
watermelon viagra drink
viagra buy https://viaonlinebuy.us/ buy viagra online
viagra thailand
Pingback: generic viagra
what is the name of the company that makes viagra
viagra https://viaonlinebuy.us generic viagra
will half a viagra work
can get viagra over counter
https://cialisaaap.com/
costo cialis forum Situg Kig
I just could not depart your site before suggesting that I really enjoyed the usual info an individual supply for your visitors? Is going to be back steadily in order to investigate cross-check new posts
Pingback: cialis pills
how to get a sample of viagra
viagra generic https://jtbtigers.com/3f0rj cialis 20mg
levitra cialis yohimbine viagra what do they have in common
buy sildenafil citrate 100mg online uk
viagra usa pharmacy
viagra cialis levitra cost comparison Situg Kig
viagra generic viagra viagra pills
Pingback: side effects of viagra
cialis professional cialis 20mg real cialis without a doctor’s prescription
when viagra fails to work
generic viagra 100mg tadalafil tablets https://ingogf.com/ viagra dosage
how many erections from a dose of viagra can you cut viagra in half
buy online drugs new erectile dysfunction treatment viagra without a doctor prescription walmart
Pingback: voltaren 50 mg coupon
pain meds without written prescription buy prescription drugs without doctor viagra without doctor prescription
generic zantac online generic zantac recall
cost of ventolin ventolin over the counter usa
prednisone cost 10mg prednisone over the counter south africa
valtrex over the counter uk over the counter valtrex cream
canada pharmacy online erection pills erectile dysfunction causes
Pingback: cheap pioglitazone 30 mg