
Naibu Waziri-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akizungumza na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Manispaa,Majiji na Halmshauri wakati akifungua mafunzo ya siku tano yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi leo Mjini Dodoma.

Mtendaji MKuu wa Uongozi Institute Prof Joseph Semboja akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Uongozi kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Manispaa,majiji na Halmshauri leo Mjini Dodoma.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ally Hapi akitoa neno la shukurani kwa niaba ya Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Manispaa,Majiji na Halmshauri katika ufunguzi wa Mafunzo ya siku tano yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi leo Mjini Dodoma.

Baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa,Majiji na Halmshauri wanaohudhuria mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi wakisikiliza mada mbalimbali katika mafunzo hayo leo Mjini Dodoma.

Naibu Waziri-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akizungumza jambo na Naibu Katibu Mkuu-TAMISEMI Mhe.Dkt Zainabu Chaula wakati wa mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Manispaa,Majiji na Halmshauri yanayofanyika Mjini Dodoma na kuendeshwa na Taasisi ya Uongozi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Josephine Matiro na Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Richard Kasesela wakimsikiliza Naibu Waziri-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo (hayupo pichani) wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Manispaa,Majiji na Halmshauri leo Mjini Dodoma. (Picha na: Daudi Manongi)
Pingback: viagra in australia
Pingback: how much is cialis
Pingback: Price check 50mg viagra
Pingback: cialis generic name
Pingback: buy generic cialis
Pingback: best ed medication
Pingback: canadian online pharmacy
Pingback: Buy cialis
Pingback: levitra vardenafil
Pingback: gambling casino online
Pingback: viagra from india
Pingback: real casino online
Pingback: casino moons online casino
Pingback: instant loans
Pingback: cialis to buy
Pingback: cialis buy
Pingback: generic for cialis
Pingback: cialis 5 mg
Pingback: online casino real money paypal
Pingback: casino slot
Pingback: casino slot games
Pingback: viagra online canada
Pingback: cialis 20mg